Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Ndoa itakuja isha??

Mkuu unapohitaji ushauri wa masuala muhimu ya maisha yako jaribu kukaa na watu unaowaona maisha yao yalivyo na wanavyoyaendesha. Humu kijiweni kila mmoja alishazamia meli State tunapajua.

Kuanzia neno mkuu hadi tunapajua..ni kwa niaba ya mtoa mada.

Wewe niliyekuqoute ni kale kasentensi ka-juu.
Mkuu Daby vipi umeshakata shauri kuoa maana bado naukumbuka uzi wako ulee
 
Fuata ushauri huu mmoja tu. Ingia kwenye hii taasisi kwa lengo la kutoa na siyo kutaka kupokea au kufanyiwa zaidi
 
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Ndoa nyingi zinachangamoto kwa sababu wanawake wamegoma amri ya Mungu ya kuwa chini ya wanaume, sasa mafahari wawili hawawezi kukaa katika zizi moja, ndio hao utawasikia sipendi mtu anipangie cha kufanya, amesahau kuwa ameolewa, yaani huwezi kuwa umeolewa halaf hutaki kumsikiliza aliye kuoa halaf ndoa ikawa salama. Upande mwingine wanaume tumeshindwa kusimama kwenye nafasi yetu,mwanaume amepewa kummiliki mwanamke ukiwa ni pamoja na kumtimizia mahitaji yake ya msingi na familia kwa ujumla, mwanaume ukianza kuuliza mshahara wa mwanamke ndio tatizo linapoanzia hapo, kila mtu asimame kwenye nafasi yake ndoa itadumu Japo changamoto za hapa na pale hazikosekani kwakuwa hakuna binadamu aliyemkamilifu wote tunamapungufu hivyo kuchukuliana na kuvumiliana ni muhimu sana katika ustawi wa ndoa
 
kama uchumba mmekaa mwaka au miezi 6 utashindwa kuzijua tabia za mwanaume kweli?.......


mwanaume kiasili hana uwezo wa kuficha tabia zake kwa zaidi ya miez 3...............hasa km unakutana nae mara kwa mara!!!!


narudia tena,namna mlivyoanza uhusiano ina play part kubwa sn kwenye maisha yenu ya ndoa, ila km wote au mmoja alifake aiseee hapo utajuta!
Sijui Kama mwenzetu umeoa lkn haipo hivyo. Mara nyingi uchumba hamuishi wote mnakutana mara moja moja full mahaba, huwezi jua tabia za mtu ambaye hamuishi pamoja. Mkishaanza kulala na kuamka pamoja hapo ndipo mnapojuana.
Tena wanaume ndio pretenders wakubwa..kwa kuficha tabia wako vzr
 
mmmhh hapo penye kutafuta hela kumzidi panaweza kuleta mgogoro mkubwa sana km haafikiani na wewe........ most likely ndoa inavunjika!.............


unaweza nunua gari bila kumshirikisha akakwambia ili ndoa ibaki uza gari hela leta mezani,........


ni vyema wakaishi km watu wazima, sit down and talk, take time out uongee we na mmeo mjue suluhu na sio mashindano,.........


kushindana haijawahi kuwa afya ya ndoa,........ ondokeni nyumbani hata kwa siku moja, mkaongee yote na kuombana misamaha huko..........


hakuna mwanaume anaeweza kuwa jeuri mbele ya mwanamke anaeshuka na kumtii..... unless huyo mme ni mlevi na mvuta bangi
Sasa Kama mwanaume hatafuti kabweteka na hatimizi majukumu afanyweje? Bills lazima zilipwe na Mambo mengine yaende. Huwa tunatafuta hela ili kusaidiana, akitafuta ni lazima amshirikishe mumewe.
Nina mjomba wangu yaani ni kero tupu, ana Mambo ya kijinga jinga na hawajibiki ipasavyo anamkera mke kupitiliza na ni mtu wa dini kwa madai yake. Mke anasomesha watoto na nyumba pia kajenga mke. Ukisema ukae tu usubiri unaaibika mchana kweupe. Kuna watu hawapendi maendeleo yaani wanapenda maisha ya shida shida hata Kama uwezo wa kutafuta wanao.
 
Sasa Kama mwanaume hatafuti kabweteka na hatimizi majukumu afanyweje? Bills lazima zilipwe na Mambo mengine yaende. Huwa tunatafuta hela ili kusaidiana, akitafuta ni lazima amshirikishe mumewe.
Nina mjomba wangu yaani ni kero tupu, ana Mambo ya kijinga jinga na hawajibiki ipasavyo anamkera mke kupitiliza na ni mtu wa dini kwa madai yake. Mke anasomesha watoto na nyumba pia kajenga mke. Ukisema ukae tu usubiri unaaibika mchana kweupe. Kuna watu hawapendi maendeleo yaani wanapenda maisha ya shida shida hata Kama uwezo wa kutafuta wanao.
anyway,hii ni JF ngoja tuishie hapa.............


ila nimekuelewa sana, na hao watu wapo sana kweli......

lkn nilidhan there is a way ya kuwasaidia kuondokana na hilo....... hasa mwanaume kuwa mvivu!!!


mambo mengine ni rahisi kuyaongea na kuyajadili face-2-face......... kwa vile hii ni jf ngoja tu tuishie hapa!


either way, pole wote wanaopitia hali hio
 
karibu nakata tamaa... naweza tulia nikamuuliza nn shida anakuambia sitak marafiki zako.km.una shida na marfiki nitakitaftia..sijui shida nn jaman..ht yy simuion na rafiki kbs nadra sana ...huwa anajitenga tenga tu km lifisi hivi
hahahaha! Pole sana aiseee na hilo ni lifisi kabisa!!
 
anyway,hii ni JF ngoja tuishie hapa.............


ila nimekuelewa sana, na hao watu wapo sana kweli......

lkn nilidhan there is a way ya kuwasaidia kuondokana na hilo....... hasa mwanaume kuwa mvivu!!!


mambo mengine ni rahisi kuyaongea na kuyajadili face-2-face......... kwa vile hii ni jf ngoja tu tuishie hapa!


either way, pole wote wanaopitia hali hio
Nimekuelewa mkuu. Pia wanaume wazuri wapo jamani..wengi tu.
 
Changamoto gani kubwa....?
Kubwa zaidi huwezi kwenda sambamba na vituko vya wamama, zaidi kuvumilia
 
ndoa ione kwenye filamu za kifilipino & telemundo tu aisee
 
wakawaida sana sana mwaya... sema nina kabahati kakuangaliwa[emoji4]!ss niangaliwe aone aliyeniangalia ht km mmeagiza msos anakuambia twende nyumbani inaonekama ww hpa unakujga sana mbona yulr mwanaume anakuangalia sana!namwambia labda kanifananisha je..anakuambia unajifanya mjuaji eh?[emoji23]mtaondoka lazima
Hahahahaha Mumeo kiboko ya matatizo. Kwa jinsi nilivyosoma visa vyenu hapa (kama ni vya kweli) basi unaishi jenahanamu ya duniani. Maana Mzee kakaza uzi vibaya mno, hacheki na ngedere.

Sijawahi hata kuwaza kuwa na muda wa kufanya hata robo ya hayo.
 
Hahahahaha Mumeo kiboko ya matatizo. Kwa jinsi nilivyosoma visa vyenu hapa (kama ni vya kweli) basi unaishi jenahanamu ya duniani. Maana Mzee kakaza uzi vibaya mno, hacheki na ngedere.

Sijawahi hata kuwaza kuwa na muda wa kufanya hata robo ya hayo.

Namshangaaga alafu bora awe mzee ss..hatab35 hajafika..haha jana alikua hana raha anajua nitatoka..nikaishia kulala tu
 
Kama ni mwanaume njia sahihi ya kushinda changamoto za ndoa ni kuwa dictator la sivyo utapata tabu sana na utasoma kwenye ramani.
 
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Weka picha ya mke wako kwanza ndo nikushauri
 
Namshangaaga alafu bora awe mzee ss..hatab35 hajafika..haha jana alikua hana raha anajua nitatoka..nikaishia kulala tu
Mvumilie bwana akifika 45 hivi atakuwa amekuwa, ataanza kubadilika. Kijana mdogo bado utoto mwingi...kama unayosema ni ya kweli. Bado ana ile akili ya boyfriend na girlfriend.
 
Mvumilie bwana akifika 45 hivi atakuwa amekuwa, ataanza kubadilika. Kijana mdogo bado utoto mwingi...kama unayosema ni ya kweli. Bado ana ile akili ya boyfriend na girlfriend.

kweli kbs..utoto sana
 
kitu ambacho nakiwaza sikipatii jibu.
Unaweza vipi kudumu kufanya tendo la ndoa na mkeo kwa miaka yote bila kumchoka.
 
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Ndoa in issue mtambuka. Bahati mbaya yanayozungumzwa mengi kuhusu ndoa ni full nadharia. Ndoa nyingi ni unique na zina changamoto ambazo pia ni unique. Be positive pambana ...
 
Ukweli ni kuwa wapo wanaofurahia ndoa zao na wamekaa kimya kabisa. Tatizo ni wale wenye ndoa ndoano. Makelele mengi mpaka tunawatisha watoto waiogope ndoa. Changamoto za ndoa zinategemeana na ulipokosea. Swali kubwa ni ulikosea wapi? Na unakosea wapi?

Exactly mkuu, umenena vyema haswa!

Na niongeze kitu ukiona ndoa inakuwa ndoano ujue kuna mambo matatu hayapo sawa;

1. Kuna mmoja kajipachika kwenye position isiyo yake katika ndoa. Mf. Mume kuingilia shughuli za mama kama jikoni au mama kutaka awe kichwa badala ya baba.

2. Kuna mmoja hatimizi majukumu yake ipasavyo! Mf. Tendo la ndoa, mahitaji, etc

3. Kuna mmoja hayupo serious, kakubali kufunga ndoa ili mradi tu aonekane lakini hakuna mapenzi wa commitment!

NB:Kuna comments za watu hapa nimesoma unaona kabisa huyu ndiyo chanzo cha matatizo katika ndoa!! Wanasahau kuwa ndoa ni taasisi inayoundwa kupambana na changamoto zinazowakabili ili kuwa na maisha mnayoyahitaji, panahitajika nguvu ya pamoja nyote wawili na si swala la mtu mmoja!!
 
Back
Top Bottom