manengelo njoo huku umsikie Heaven Sent anavokomelea, teh!!
Ila kusema kweli sijawahi ona aliyeachika akawa na nuru. Awe na kazi nono au sijui mali lakini wapii sionagi kama wana furaha, yaan hadi lotion zinadundaga kwenye ngozi zao, teh!
So ni muhimu tuendelee kumshauri Manengelo aendelee kuvumilia tu akiwa huko huko ndoani. Kiukweli ndoa zote zinachangamoto, sababu kubwa nayoiona mimi kwenye ndoa sehemu kubwa tunafanya majukumu, yaan mapenzi yana sehemu ndogo sana. So ukielewa uhalisia huu wala ndoa haikupi shida, unavumilia tu maisha yanasonga.
manengelo njoo huku umsikie Heaven Sent anavokomelea, teh!!
Ila kusema kweli sijawahi ona aliyeachika akawa na nuru. Awe na kazi nono au sijui mali lakini wapii sionagi kama wana furaha, yaan hadi lotion zinadundaga kwenye ngozi zao, teh!
So ni muhimu tuendelee kumshauri Manengelo aendelee kuvumilia tu akiwa huko huko ndoani. Kiukweli ndoa zote zinachangamoto, sababu kubwa nayoiona mimi kwenye ndoa sehemu kubwa tunafanya majukumu, yaan mapenzi yana sehemu ndogo sana. So ukielewa uhalisia huu wala ndoa haikupi shida, unavumilia tu maisha yanasonga.
Kuna ka kitu nimekanotice,; wanaume wengi wanaomistreat "wake wema", wakiachwaga; hawachukui round.mito niruhusu baadaye jion au usk nije piyemu kwako
!huyu@heaven sent huyu hahhaa...kuna kipindi yalinifika hapa...may hii hii nikaomba ruhusa nikaenda sehem kupumzika for 3 wks..huez amini nimerudi kwangu na baby face shavu lainiii mororooooooooo... kila kiungo kiko pahala.pake..nikawa naambiwa na majiran we mbn umependeza hvyo?kidogo nirudi
!kwahyo sio kweli unayosema..ila mie nikiamua kumuacha pampula hachukui round..na yy analijua hilo
![]()
Wanaume wengi wanaringa wakiwa na wake zao, wakiachwa wananyodoroka mbaya. Usimuache baba watotomito niruhusu baadaye jion au usk nije piyemu kwako
!huyu@heaven sent huyu hahhaa...kuna kipindi yalinifika hapa...may hii hii nikaomba ruhusa nikaenda sehem kupumzika for 3 wks..huez amini nimerudi kwangu na baby face shavu lainiii mororooooooooo... kila kiungo kiko pahala.pake..nikawa naambiwa na majiran we mbn umependeza hvyo?kidogo nirudi
!kwahyo sio kweli unayosema..ila mie nikiamua kumuacha pampula hachukui round..na yy analijua hilo
![]()
😂😂😂😂hakuna mning'inio mkuu sijui kama mzee baba kesho atatupa salali zetu tuendelee kudumisha umoja na amani..vile vile tukumbuke maendeleo hYna chama😂Umeamka poa lkn jirani?
Au bado hangover zinatingisha serikali ya kitongoji?
Kuna ka kitu nimekanotice,; wanaume wengi wanaomistreat "wake wema", wakiachwaga; hawachukui round.
Kweli umevurugwa.sifichi..mie nilikua mke mwema sana sana sana ...ila ss hv ht siko huko.. nilikua mwema sana jaman...mapenzi tele mwenzangu akaniona mie lofa tu..kumbe sio lofa...huo wema nw nimeukabidhi kwa wanangu tu!huyu ht 2020 hatafika...na anajua hilo pia
Wanaume wengi wanaringa wakiwa na wake zao, wakiachwa wananyodoroka mbaya. Usimuache baba watoto
Tangu jana natamani kukuandikia kigazeti, naishia njiani.. Ntajitahidi, sitaki tukupoteze kwenye list yetu ya wife materialssifichi..mie nilikua mke mwema sana sana sana ...ila ss hv ht siko huko.. nilikua mwema sana jaman...mapenzi tele mwenzangu akaniona mie lofa tu..kumbe sio lofa...huo wema nw nimeukabidhi kwa wanangu tu!huyu ht 2020 hatafika...na anajua hilo pia
Nakuelewa sana manengelo . Wengi tunapitia situation kama yako. Bas tusimuachi..nna moyo wa huruma sana sana..na ninajitahd nisisikize ushauri hata wa wazaz..la sivyo! dingi angu anavyonipe da sasa akianza nikomalia
anasema tafuta chumba nitakusaidia kulipa even a year hama hapo jinga sana ww
!mie nasema sawa tu baba!ila ipo siku
Tangu jana natamani kukuandikia kigazeti, naishia njiani.. Ntajitahidi, sitaki tukupoteze kwenye list yetu ya wife materials
Nakuelewa sana manengelo . Wengi tunapitia situation kama yako. Bas tu
Sisemi mengi ila trust me haupo peke yako. Kuna wanaume wapo kubomoa hata ujishushe vipi hawaridhiki, washamba sana some peoplebwana mie nahis nmezidi...sijui nawazaga au kwaajili naangalia ndoa ya wazaz wangu naona kuna makologesheni kibao..au sijui naangalia ndoa in a postive way zaid ila mwenzangu yupo busy kukosoa tu jaman..!sijajua!nikiuliza hana sabab zaid ya kukuambia sitak uwe na marafiki..chaa
Hahahaaa dahMimi ninakaribia kuzishindwa..mtu analazimisha uishi atakavyohela yako
simu yangu
!kumaaaninaa
sorry😑Hahahaaa dah
Uje tu tuyajenge mpenzi.acha nije jion piyemu unielewe..najua wengi wataninyooshea vidole ila nitakuelza ukweli km utaweza shauri haya hewala
Usijali, ila nimekuelewa sanasorry![]()
😂😂mie ni.mwanamke wa hustling..najua kuitafta heĺa km mchaga ila siku akicharuka..anakuambia kuna mtu amekufungulia ww biashara na anaenda kufunga..utamwambia nn .kuanzia tar10 ni full mikopo kwangu ya hela ila ss bas aheshim ht kabiashara mwenzako anaenda piga solex..unabak kusrma huyu mzima?!tiredSisemi mengi ila trust me haupo peke yako. Kuna wanaume wapo kubomoa hata ujishushe vipi hawaridhiki, washamba sana some people
Mmh. Ukisikia ya kwangu utazirai. Halafu bado nipo Kama boya vile.mie ni.mwanamke wa hustling..najua kuitafta heĺa km mchaga ila siku akicharuka..anakuambia kuna mtu amekufungulia ww biashara na anaenda kufunga..utamwambia nn .kuanzia tar10 ni full mikopo kwangu ya hela ila ss bas aheshim ht kabiashara mwenzako anaenda piga solex..unabak kusrma huyu mzima?!tired