Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Kwajinsi mnavyonitisha na hizo ndoa, ndo nazidi kuongeza sababu ya kutofika hukoo!!!

Wala usiogope, kabla ya ndoa unapaswa kujua unataka kuishi maisha gani katika ndoa.

Baada ya hapo ndipo utafute mke kuendana na unavyotaka uwe!!

NB: Tunapokosea vijana ni katika kupata mke, huwezi kumpata mke mzuri kwa jicho lako pekee!! Shirikisha watu wako wa karibu hasa waliokuzidi umri na walio kwenye ndoa imara.

Wewe peke yako utaangalia jicho, takko, mguu, halafu utasema tabia mbaya unayoiona utaivumilia!! Never
 
Sasa Kama mwanaume hatafuti kabweteka na hatimizi majukumu afanyweje? Bills lazima zilipwe na Mambo mengine yaende. Huwa tunatafuta hela ili kusaidiana, akitafuta ni lazima amshirikishe mumewe.
Nina mjomba wangu yaani ni kero tupu, ana Mambo ya kijinga jinga na hawajibiki ipasavyo anamkera mke kupitiliza na ni mtu wa dini kwa madai yake. Mke anasomesha watoto na nyumba pia kajenga mke. Ukisema ukae tu usubiri unaaibika mchana kweupe. Kuna watu hawapendi maendeleo yaani wanapenda maisha ya shida shida hata Kama uwezo wa kutafuta wanao.

Naiona position yako kama mke japo sometimes wanaume tunawaangusha sana!
 
Ndoa ainaga maujanja ingia kwenye ndoa pata cheti chako cha ndoa alafu mtiani badae alafu utajua kwa nn chuma ukichomelea kinatoa cheche papo hapo lakini ndoa unafunga ila cheche badae sana
 
hahaa unadhan nna kiburi sasa...sina ht kiburi mkuu..sema nimeamua kudharau tu maisha yaende...

Sorry nami nimesoma sana comments zako katika huu uzi, nimegundua pia kuna kitu kinakupa jeuri kiasi kwamba unahisi ndoa ni kifungo, karaha, mateso, chuki na kila kitu kibaya!

Japo kwa haraka haraka nimegundua ni kazi au chanzo cha kipato chako binafsi ndiyo inakupa jeuri kiasi utaanza kuona hata mumeo kama mshikaji flani hivi aliyefeli kimaisha 😂

Narudia tena uniwie radhi kwa comment hii ila nimeona pia sitakuwa sawa nisipoweka neno.

Nilichogundua kwenye comment yako ingine ni "chako ni chako na cha mumeo ni cha kwenu" na mbaya zaidi jibu la "sina" hulipendi kweli kweli.

Swali: 50/50 hapa umeitupia wapi?

Tuache hayo ya 50/50, nadhani elimu ya ndoa inahitajika.
 
Sorry nami nimesoma sana comments zako katika huu uzi, nimegundua pia kuna kitu kinakupa jeuri kiasi kwamba unahisi ndoa ni kifungo, karaha, mateso, chuki na kila kitu kibaya!

Japo kwa haraka haraka nimegundua ni kazi au chanzo cha kipato chako binafsi ndiyo inakupa jeuri kiasi utaanza kuona hata mumeo kama mshikaji flani hivi aliyefeli kimaisha 😂

Narudia tena uniwie radhi kwa comment hii ila nimeona pia sitakuwa sawa nisipoweka neno.

Nilichogundua kwenye comment yako ingine ni "chako ni chako na cha mumeo ni cha kwenu" na mbaya zaidi jibu la "sina" hulipendi kweli kweli.

Swali: 50/50 hapa umeitupia wapi?

Tuache hayo ya 50/50, nadhani elimu ya ndoa inahitajika.


sasa nikuambie ukweli wote..sipo hapa kutafuta nitetewe...yaan kwa taarifa yako ni mm ni mwamamke wa aina yake... naishia hapa!...wachche sana wenye moyo km wangu...hahhaa !lete hyo elimu ya ndoa nipo tayari kuipokea..
 
sasa nikuambie ukweli wote..sipo hapa kutafuta nitetewe...yaan kwa taarifa yako ni mm ni mwamamke wa aina yake... naishia hapa!...wachche sana wenye moyo km wangu...hahhaa !lete hyo elimu ya ndoa nipo tayari kuipokea..

Hakuna anayekutetea zaidi tunakukandamiza 😂😂😂

Shida ni kwamba tunajadili upande mmoja thus why inabidi twende kiakili sana.

Nina mkakati huo wa kuanzisha elimu ya ndoa! Ndoa zinaangamia kwa mambo madogo sana yanayotatulika lakini kwa kuwa mtu ana sumu ya maneno juu ya ndoa! Zinakufa
 
Hakuna anayekutetea zaidi tunakukandamiza 😂😂😂

Shida ni kwamba tunajadili upande mmoja thus why inabidi twende kiakili sana.

Nina mkakati huo wa kuanzisha elimu ya ndoa! Ndoa zinaangamia kwa mambo madogo sana yanayotatulika lakini kwa kuwa mtu ana sumu ya maneno juu ya ndoa! Zinakufa

sawa
 
sasa nikuambie ukweli wote..sipo hapa kutafuta nitetewe...yaan kwa taarifa yako ni mm ni mwamamke wa aina yake... naishia hapa!...wachche sana wenye moyo km wangu...hahhaa !lete hyo elimu ya ndoa nipo tayari kuipokea..

Ndoa yenyewe shule ukienda kupokea elimu nyingine utaoverdose
 
Mwanaume usiwe bubu kwenye ndoa hao watu wanahitaji elimu yetu Massa 24...ukiona unaambiwa una gubu ujue we mi mwalimu mzuri.
 
Oi mie hapana aisee
Hapo mtu anakufundisha kumbe ya kwake inapumulia mashine

😷😷kuna kipindi niliwah kutana na mchungaj m1 uwii yaan ni bora mm😂😂kifupi mwsho wa siku aliishia kujielezea ndoa yake had na ushahid wa txt😂😂...hawa watu bwana!...mie naaaangalia tu hapA
 
[emoji40][emoji40]kuna kipindi niliwah kutana na mchungaj m1 uwii yaan ni bora mm[emoji23][emoji23]kifupi mwsho wa siku aliishia kujielezea ndoa yake had na ushahid wa txt[emoji23][emoji23]...hawa watu bwana!...mie naaaangalia tu hapA

Pambania taji lako
Kila mtu na mzigo wake na uwezo wake wa kuubeba
 
Back
Top Bottom