Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Usijali, ila nimekuelewa sana
wabheja sana..bora umenielewa aisee..
Usijali, ila nimekuelewa sana
😂😂😂😂pole... mimi ni zaid ya boya atleast nw naamka ss kuamka kwangu ndo anataka kunionesha ubabe...alafu mie ni muwaz sna kwake ila bado haamini anajua kuna mtu nyuma yangu..jaman nachoka mm mjue!poleMmh. Ukisikia ya kwangu utazirai. Halafu bado nipo Kama boya vile.
Wabheja ilumbuye!wabheja sana..bora umenielewa aisee..
Mimi sipewi uhuru hata wa kawaida. Nikianza kujishughulisha anaanza figisufigisu wivu wa kijinga, naona isiwe taabu nakaa kimya sifanyi chochote. Akiishiwa hela anaanza kuhaha nimsaidie kukopa hata kidogo tutarudisha, nikope kwa Nani kwa mfano, sina friends Wala jirani hataki marafiki. Nabaki kumcheck sina cha kumsaidia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole... mimi ni zaid ya boya atleast nw naamka ss kuamka kwangu ndo anataka kunionesha ubabe...alafu mie ni muwaz sna kwake ila bado haamini anajua kuna mtu nyuma yangu..jaman nachoka mm mjue!pole
Hapo kwenye kutafuta amani ya moyo ndo ubinafsi unapoanzia sasa. Ni kweli utapata hiyo amani ya moyo wako kwa kuvunja ndoa, lakini ukweli ni kwamba umehamisha majonzi kwa watoto, ila ikiwa hamna watoto, ni sawa kutafuta amani na furaha yako huko kwingineMe nimeona ambao wameachika na wanaishi kwa amani mno, japo wengine kimaendeleo ndo wameanza na moja tena; ila wanaenjoy maisha. Kuna ndoa kama usipotoka huko, basi umauti utakutoa kinguvu. Si vyema watu kuachana, but kuna wakati kwa ajili ya amani ya moyo na kulinda maisha ya mwanandoa; talaka ihusike tu. Amani ya moyo ni bureeee, ila ukiikosa unapoteza hadi purpose ya kuishi
Ila wajinga ni wale wanaoondoka kisa tu kadanganywa huko nje anapendwa sana, au kwa sababu tu she is financially independent, hata kosa la kuongea mkaonyana tu, anaondoka as anajua anaweza akahandle maisha on her own.
Hivi ushawahi ona situation inafikia watoto ndo wanaamua kuwatenganisha wazazi wao?Hapo kwenye kutafuta amani ya moyo ndo ubinafsi unapoanzia sasa. Ni kweli utapata hiyo amani ya moyo wako kwa kuvunja ndoa, lakini ukweli ni kwamba umehamisha majonzi kwa watoto, ila ikiwa hamna watoto, ni sawa kutafuta amani na furaha yako huko kwingine
Watoto wanaathirika kutokana na maisha mnayoishi, mnagombana na kutukanana, mama au baba hana raha kila siku. Bora nini? Hata watoto wataona sawa mkiseparate ili mradi tu kila mmoja awe anawaona kwa wakati wakeHapo kwenye kutafuta amani ya moyo ndo ubinafsi unapoanzia sasa. Ni kweli utapata hiyo amani ya moyo wako kwa kuvunja ndoa, lakini ukweli ni kwamba umehamisha majonzi kwa watoto, ila ikiwa hamna watoto, ni sawa kutafuta amani na furaha yako huko kwingine
Karibu sana manengelo, pyemu yangu iko wazi though sometimes inazingua kufunguka, ukiniPM ukaona kimya sana (say 2 days kimya) nistue huku ukumbini nikafukunyue vizuri[emoji28][emoji28][emoji28]mito niruhusu baadaye jion au usk nije piyemu kwako[emoji52]!huyu@heaven sent huyu hahhaa...kuna kipindi yalinifika hapa...may hii hii nikaomba ruhusa nikaenda sehem kupumzika for 3 wks..huez amini nimerudi kwangu na baby face shavu lainiii mororooooooooo... kila kiungo kiko pahala.pake..nikawa naambiwa na majiran we mbn umependeza hvyo?kidogo nirudi[emoji57]!kwahyo sio kweli unayosema..ila mie nikiamua kumuacha pampula hachukui round..na yy analijua hilo[emoji846]
Hahaaaa usinichekeshe mkuu, japo si mazuri kuchekaMmh. Ukisikia ya kwangu utazirai. Halafu bado nipo Kama boya vile.
Cheka tu mkuu hakuna namnaHahaaaa usinichekeshe mkuu, japo si mazuri kucheka
Mmh hiyo sijawahi ona kwa kweli, duuh!!Hivi ushawahi ona situation inafikia watoto ndo wanaamua kuwatenganisha wazazi wao?
Ungekuwa mtoto ningekwambia "kua uyaone" hahaha. Basi zipo situation kama hizoMmh hiyo sijawahi ona kwa kweli, duuh!!
Tupatie changamoto hizo za Ndoa tuzijueNiko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Kasie huko kwetu ni nzige mtamu sana VIP huko kwenuNimeona mahali unakunywa Imagi, inauzwa shilingi ngapi hiyo chupa? Ni PM namba ya muamala nikurushie ufurahie maisha kwa koo.
Cheers.
Hahaaaaaa ngojanicheke tu maana nakumbana nayo sana hayaMimi ninakaribia kuzishindwa..mtu analazimisha uishi atakavyo😏😏hela yako😏😏😏simu yangu😏😏😏!kumaaaninaa
Mimi yameshanifika hapa..najikuta nachrlewa tu kurudi hom😏🙊ila nataman nimwambie anipe tu space..sijui km new yr itafika sijasema..mtu unakuwa badly treated sana sana..nimechoka...sijui tungekutwa mabikra ingekuwaj jaman😏😏😏Hahaaaaaa ngojanicheke tu maana nakumbana nayo sana haya
wewe haukuhusu mkuu?
Hapana mkuu. Niko Single badowewe haukuhusu mkuu?