Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tunapoelekea hii kitu inaitwa ndoa itakuja isha kabisa maana nikitu kisichoeleweka ni full kuonyeshana ubabe
Ndoa itakuja isha??

Mkuu unapohitaji ushauri wa masuala muhimu ya maisha yako jaribu kukaa na watu unaowaona maisha yao yalivyo na wanavyoyaendesha. Humu kijiweni kila mmoja alishazamia meli State tunapajua.

Kuanzia neno mkuu hadi tunapajua..ni kwa niaba ya mtoa mada.

Wewe niliyekuqoute ni kale kasentensi ka-juu.
 
Ndoa ni mafunzo yasiyo na mwisho duniani, ndio maana mnakabidhiwa cheti kabisa mnapoanza.
Jifunze kujifunza na kubuni mambo mapya kila siku kuboresha ndoa yako.

Ndoa zina washauri tu lakini sio walimu, usikubali kupangiwa chakufanya.

Mkeo au mumeo sio ndugu yako, mlikutana tu na background na mambo mengine tofauti, Ujasiri ni namna ya kulink tofauti hizo mkatengeneza maisha yenu superb!

Ndoa ni wito, huingii kwenda ndoa kwenda kufaidika ili hali umejibetweka tu, ndoa hujengwa tena kwa jasho!

BTW. Nasikia watu husema ndoa ya mwenzako ndio nzuri (Mke/Mume wa mwenzako au maisha yao)! Ni kweli hayo?
 
Yaani namaanisha itafika kipindi watu watakutana kuX ilikutoa handasi nakuuweka mwili safi ila ndoa litakua suala LA wenye kipato kikubwa sana
Ndoa itakuja isha??

Mkuu unapohitaji ushauri wa masuala muhimu ya maisha yako jaribu kukaa na watu unaowaona maisha yao yalivyo na wanavyoyaendesha. Humu kijiweni kila mmoja alishazamia meli State tunapajua.

Kuanzia neno mkuu hadi tunapajua..ni kwa niaba ya mtoa mada.

Wewe niliyekuqoute ni kale kasentensi ka-juu.
 
Back
Top Bottom