Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Unasema hivyo kwasababu labda umepata ambaye mnaelewana, mara nyingi mwanzo wa ndoa huwezi jua tabia halisi za mwenzako
hivi huez amini anajuaga ww mjeshi..niliopt kukutambulisha as mjeshi labda atatuheshim ndo nashangaa akakaa pale tukanywa wote aise4
 
naishiaga kucheka..delete hyo comment ulonikwot... namwambiaga anasema achana na marafiki zako uone km tutagombana... bas niwe na rafiki mie wala sna..khaa asikuone unaongea na mwanamke mjini anasema huy7 naye wale wale tu
Sidelete ng'oooo. Mbona na mimi ni hivyo hivyo jamani sina marafiki kwaajili yake. Nina rafiki yangu mmoja tangia chuo yupo huku, huwezi amini inaweza pita miaka zaidi ya miwili sijamuona, labda apate tatizo ndo niibie kwenda kumuona, yeye hajawahi kufika kwangu.
Rafiki mwingine siku moja alinitumia msg akaniita dear...weeee niliambiwa huyo sio mwanamke ni mwanaume, na km ni mwanamke basi mnasagana..imagine.
Basi marafiki zangu jinsi navyowasiliana nao ni kama michepuko vile. Ndio maana nilisema ili ndoa idumu ni lazima mmoja ajifanye kuwa boya, nimeamua kuwa boya nina sababu zangu..Ananijua vzr siku zikinitubuka nafanya kitu haamini...nasepa kusikojulikana atawasha gari mpk dar kunitafuta. Najua ananipenda lkn upendo wa hivi mmh..kuna shida mahali si bure!
 
Sidelete ng'oooo. Mbona na mimi ni hivyo hivyo jamani sina marafiki kwaajili yake. Nina rafiki yangu mmoja tangia chuo yupo huku, huwezi amini inaweza pita miaka zaidi ya miwili sijamuona, labda apate tatizo ndo niibie kwenda kumuona, yeye hajawahi kufika kwangu.
Rafiki mwingine siku moja alinitumia msg akaniita dear...weeee niliambiwa huyo sio mwanamke ni mwanaume, na km ni mwanamke basi mnasagana..imagine.
Basi marafiki zangu jinsi navyowasiliana nao ni kama michepuko vile. Ndio maana nilisema ili ndoa idumu ni lazima mmoja ajifanye kuwa boya, nimeamua kuwa boya nina sababu zangu..Ananijua vzr siku zikinitubuka nafanya kitu haamini...nasepa kusikojulikana atawasha gari mpk dar kunitafuta. Najua ananipenda lkn upendo wa hivi mmh..kuna shida mahali si bure!


si ndo maana siku ile nakupigia usk unakata ukasema my dear huyu yupo..hahaa unajua nilishangaa...huyu mm naongeaga nikiamua na marafiki..ila tuishie kwenye simu tu..msikutane..mie ashawatukana marafiki zangu wa4... yaan ile.konky kbs..uwii rafiki wa 3 ndo akamkuta kichwa moto..alimchamba kwa simu mpk.leo namuonaga kichwa imetulia kidg..akamwambia anampeleka polis amemwita malaya mbona aliomba msamaha na ilikua ampeleke kweli as mapolis anajuana nao....ht yy hanaga marafiki anaye m1 pampula mwenzake..anasema marafiki wanoko wanamchomea utambi.job kuwa anakunywa sana ht ukimkuta bar anajifichaga huyo😂😂😂... huyu wangu kazid aisee.. mie naondokaga sana demi nakaa ht 2wks ila anavyokubembeleza urudi sasa..anawapa simu watoto waniombe nirudi😊😊 kwa wanangu huwa naumiaaa...nawakutaga wamenyongeaaa..naye akiniona anakua ana adabu zote ananifata had toilet dadek ful tabasamu ananiona mpyaa na hasemi kitu😣😣 !mm huyu kasi ya kutafta hela nahakika hataki kbs ... na mm ndo natafuta kwa nguv ww😂
 
chizi wewe. Kha! Mjeshi gani ana nywele km zangu nae hajiongezi?

😂😂tena siu ile ile nikasema huyu dada mjeshi..arghhh.. huon harusini alikukalia kimya..angelianzisha pale pale ila anzisha zake huwa anaongea kwa utaratibu huez jua km katibuka..ingia naye kwa gari utajikuta unafunga mikanda.. full speed aah my dear nimechoka
 
tena siu ile ile nikasema huyu dada mjeshi..arghhh.. huon harusini alikukalia kimya..angelianzisha pale pale ila anzisha zake huwa anaongea kwa utaratibu huez jua km katibuka..ingia naye kwa gari utajikuta unafunga mikanda.. full speed aah my dear nimechoka
Alianzishe kwa kosa gani nilofanya wkt wewe ndo umemuacha hujaja nae? Pole bana. Nenda nae taratibu
 
Alianzishe kwa kosa gani nilofanya wkt wewe ndo umemuacha hujaja nae? Pole bana. Nenda nae taratibu

😂😂😂anasemaga kwan unamharibu mke wangu?😂😂kila mwanamke anasema ananitaftia mabwana😂😂namwambiaga hv ww ulitaftiwa au.ulinitongoza..nitaftiwe kwasabb zipi ?cha!harusinu aligoma kuja... imagine anatengua kuja dak za mwisho kns saa1 demi sababu hakuna..anasema mbn hyo harusi umeivalia kibwebwe hvyo?hakuna kwrnda..kwan lazima uende ht km.umechanga?,nijasema ungesema toka siku ile nisingetuma pesa hii hela inauma mie naenda au la twende wote nako kote hataki..namfanyaje??siku wanangu wakioa nan atahudhuria sasa jaman😏😏😏!
 
Kuondokana na changamoto za ndoa kama sio kuzipunguza, no wanandoa wenyewe kuamua jinsi ya kuishi. Na tendo la ndoa litolewe kikamilifu bila kupunjana. Mpe mwenzio kama vile hutampa tena na yeye mkeo hvyohvyo hizo changamoto zingine zitakua minor.
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vpQUOTE
 
uk
hahhaa mie mwenyrw najua kasie hayupo ndoan waliopo ndoan wanajulikana full woga hofu majuto stress kero vurugu mechi ik

kuact unafiki mradi kuchwe..sasa ww kat8 ya haya umeyaona wapi kwa kasie?😂😂kasie anajiachiaga balaa..na h8vi age yake ndo raha ya dudu anaifeel bas full raha .its likr pressing yhe button
Age of 30 and above kweli tunaenjoy dyudyu kukojoa kama kotee
 
Unasema hivyo kwasababu labda umepata ambaye mnaelewana, mara nyingi mwanzo wa ndoa huwezi jua tabia halisi za mwenzako
kama uchumba mmekaa mwaka au miezi 6 utashindwa kuzijua tabia za mwanaume kweli?.......


mwanaume kiasili hana uwezo wa kuficha tabia zake kwa zaidi ya miez 3...............hasa km unakutana nae mara kwa mara!!!!


narudia tena,namna mlivyoanza uhusiano ina play part kubwa sn kwenye maisha yenu ya ndoa, ila km wote au mmoja alifake aiseee hapo utajuta!
 
tufundishe bas tusiachike tukapaukiana..mashavu yakatushuka
nadhan ni mhimu sana ukaangalia nini kimesababisha abadilike au wewe ubadilike..........


jiulize, je mlivyoanza uhusiano wenu na baadae ndoa alikuaje na wewe ulikuaje, saizi yupoje na wewe upoje, anakutazamaje na wewe unamtazamaje..........


ukishapata majibu ya maswali hayo, njoo ujiulize je ndoa yenu imefika a point of no return?..........


kama jibu ni NO, jipige pige umwombe outing moja, mwende sehemu tulivu, huko ukamwambie ukweli vile unavoitazama ndoa yenu, ilikotoka na inakoelekea.........


usim'bebeshe yeye zigo la lawama, huko points zikawe ni way out kutoka hapo mlipo, zaidi sn hata akikulaumu 'jitwike' hizo lawama zake so long as anatoa way out kutoka hapo!..........


nina uhakika akiona umeshuka, lkn aibu itamshika na atatafuta namna ya kukuridhisha..........


kwa maelezo yako aliyoya-quote demi sidhan kama ndoa yako ipo hatarini kihivyo, ila nadhan umeolewa na mwanamme mwenye wivu au hajiamini!
 
nadhan ni mhimu sana ukaangalia nini kimesababisha abadilike au wewe ubadilike..........


jiulize, je mlivyoanza uhusiano wenu na baadae ndoa alikuaje na wewe ulikuaje, saizi yupoje na wewe upoje, anakutazamaje na wewe unamtazamaje..........


ukishapata majibu ya maswali hayo, njoo ujiulize je ndoa yenu imefika a point of no return?..........


kama jibu ni NO, jipige pige umwombe outing moja, mwende sehemu tulivu, huko ukamwambie ukweli vile unavoitazama ndoa yenu, ilikotoka na inakoelekea.........


usim'bebeshe yeye zigo la lawama, huko points zikawe ni way out kutoka hapo mlipo, zaidi sn hata akikulaumu 'jitwike' hizo lawama zake so long as anatoa way out kutoka hapo!..........


nina uhakika akiona umeshuka, lkn aibu itamshika na atatafuta namna ya kukuridhisha..........


kwa maelezo yako aliyoya-quote demi sidhan kama ndoa yako ipo hatarini kihivyo, ila nadhan umeolewa na mwanamme mwenye wivu au hajiamini!


nakosa la kuandika kwa sasa nitakijibu later
 
nina shogangu yupo veta yy amesarenda asbh nimejikuta namwambi aisee hongera uliweza kudivorce..mie sipend mtu anipangie maisha ya kuishi while najitambua
Ungejitambua ungeishi peke yko
 
Hapana, wewe ndo unamjua vzr mi siwezi mtetea, nahisi umeumizwa sana my dear ila usifanye maamuzi magumu.
Kama ulivyosema kwenye comment yako moja dawa ya hawa watu ni kutafuta hela upate zako na ikiwezekana kumzidi. Ila kama anaingilia utafutaji wako sasa ni issue nyingine.
Nakuelewa maana tunafanana kidogo.
mmmhh hapo penye kutafuta hela kumzidi panaweza kuleta mgogoro mkubwa sana km haafikiani na wewe........ most likely ndoa inavunjika!.............


unaweza nunua gari bila kumshirikisha akakwambia ili ndoa ibaki uza gari hela leta mezani,........


ni vyema wakaishi km watu wazima, sit down and talk, take time out uongee we na mmeo mjue suluhu na sio mashindano,.........


kushindana haijawahi kuwa afya ya ndoa,........ ondokeni nyumbani hata kwa siku moja, mkaongee yote na kuombana misamaha huko..........


hakuna mwanaume anaeweza kuwa jeuri mbele ya mwanamke anaeshuka na kumtii..... unless huyo mme ni mlevi na mvuta bangi
 
Sidelete ng'oooo. Mbona na mimi ni hivyo hivyo jamani sina marafiki kwaajili yake. Nina rafiki yangu mmoja tangia chuo yupo huku, huwezi amini inaweza pita miaka zaidi ya miwili sijamuona, labda apate tatizo ndo niibie kwenda kumuona, yeye hajawahi kufika kwangu.
Rafiki mwingine siku moja alinitumia msg akaniita dear...weeee niliambiwa huyo sio mwanamke ni mwanaume, na km ni mwanamke basi mnasagana..imagine.
Basi marafiki zangu jinsi navyowasiliana nao ni kama michepuko vile. Ndio maana nilisema ili ndoa idumu ni lazima mmoja ajifanye kuwa boya, nimeamua kuwa boya nina sababu zangu..Ananijua vzr siku zikinitubuka nafanya kitu haamini...nasepa kusikojulikana atawasha gari mpk dar kunitafuta. Najua ananipenda lkn upendo wa hivi mmh..kuna shida mahali si bure!
bottom line hakuamini..............


ndoa ya aina hii na mwanaume wa aina hii ni vyema ukawa wazi kwake,....... hata simu awe na ruksa kuishika mda wowote na isiwe na paswedi asiyoijua!......


wapo wanaume wa hivi, wapo sana!
 
Back
Top Bottom