Kitu pekee ambacho mwajiriwa ana kosa ni "leverage power'
Formula ya faida ina kitu cha ziada ambacho hakipo kwenye formula ya mshahara.
Scenario 1
Mshahara =X/t(unalipwa Tsh x kwa mwezi)
njia pekee ya kupata hela nyingi ni kufanyakazi miezi mingi zaidi.
Scenario 2
Faida=QX/t(unapata faida kulingana na units ulizouza kwa muda flani)
Kuna njia mbili za kupata hela nyingi kwa mfanyabiashara,
ya kwanza ni kufanya biashara kwa muda mwingi zaidi(masaa,siku...ukiamua hata weekend,now nina wazo la kuanzisha biashara inayo operate 24 hrs kitu ambacho mwajiriwa hawezi)
Na njia ya pili,ni kwa kuongeza idadi ya bidhaa au huduma(Q) au kufungua matawi mengi zaidi kitu ambacho mwajiriwa hawezi.
Hitimisho
Ajira ni safe zaidi kuliko biashara,hivyo kuchagua njia ipi upite itategemea risk tolerance yako,but all of all, running for business and entrepreneurship,it worth a shot!