Tulinganishe biashara na ajira hapa

Tulinganishe biashara na ajira hapa

Kwanza Ajira ni bora na pia biashara ni bora .

Kwa uelewa wangu IPO hivi unapokuwa unesoma na umepata Ajira doesn't matter how much you earn Ila unabidi kufikiria kuwa na biashara yako.

Kwakuwa ukifa
Ukiumwa ugonjwa endelevu
Ukifukuzwa Kazi
Ukistaafu

Yakitokea yote haya Familia yako haitoweza kurithi ujuzi wako , wala Elimu yako Ila familia inaweza kuendeleza baishara zako tena vizuri.


Kwahiyo Kazi ni bora Ila endapo ukiutambua ukweli kuwa you can't make rich in someone's office.

Ikiwa utafikiria hivyo unaweza ukaanza na Kazi then ikafata baishara au ukaanza na biashara na ikafata Kazi yote yanawezekana .


Nahitimisha kwa kusema biashara ni bora ikiwa una facilities zote za muhimu just do business
Security iendane na maendeleo kulingana na malengo mahsusi ya mtu itakuwa vizuri
 
Hakunielewa kitu kimoja, hapo nimeandika mtaji wa 500k-1mil

Means nikiwa na mtaji wa 500k uwezekano wa kufunga faida ya 300k mwisho wa mwezi upo

Pia nikiwa na mtaji wa 1m uwezekano wa kufunga 500k kwa mwezi upo

Ila kwa mitazamo ya waajiriwa niijuavyo kashapiga kama nikiwa na 500k napata faida ya 300k kwahiyo nikiwa na 5milion naweza pata faida mara nne ya faida ya awali kitu bila kujua kuwa wateja wangu ni walewale hata kama yanaongezeka mauzo ila ni kwa asilimia ndogo Sana

Naweza kusema kuna miezi mingine naweza kuwa na mtaji mkubwa ila mauzo yakawa madogo na nisipate faida hata nusu ya mtaji isifike hapa watanielewa wafanya biashara tu hususani wa mtaji tajwa hapo juu na kazi zinazofanana
Nimeshangaa sana kuona watu wanabeza mtaji wa 500k-1ml kuleta faida ya 300k-500k kwa mwezi.
Maana yake ni kwamba unalaza kuanzia 10k hadi 17k kwa siku.

Labda walielewa hiyo faida ya 500k unaipata kwa siku.
 
My POV

BIASHARA
-ina risk kubwa but also high return (profit)
-peronal freedom ya kujiamulia ni kubwa
-inahitaji consistency na personal supervision ili ikuwe
-inahitaji critical thinking sana (pasua kichwa)
-possibility ya kukua ni kubwa
-inakupa mwelekeo mzuri kama ukiimudu vizuri as kila kitu kinakuwa ndani ya control

AJIRA (SERIKALINI)
-haina risk ama low kama ipo
-kuna freedom lakini ya kuamuliwa unless uwe na cheo kikubwa ama maybe kuendana na ulipoajiriwa
-haiumizi kichwa just play your part
-constant income unless upige ama uvirige mambo au uwe kwenye taasisi zenye posho
-pasua kichwa after kustaafu kama haukuwa na side hustles nyingine

Summary
Kama una vision tayari ama una mpango thabiti wa kibiashara hata kama unaingiza 400k ama 500k monthly just pangilia vizuri mambo yako naamini biashara inakua ila kama huna mpango mzuri na elimu yako ni kubwa bora kuajiriwa
 
Kitu pekee ambacho mwajiriwa ana kosa ni "leverage power'

Formula ya faida ina kitu cha ziada ambacho hakipo kwenye formula ya mshahara.

Scenario 1
Mshahara =X/t(unalipwa Tsh x kwa mwezi)
njia pekee ya kupata hela nyingi ni kufanyakazi miezi mingi zaidi.

Scenario 2
Faida=QX/t(unapata faida kulingana na units ulizouza kwa muda flani)
Kuna njia mbili za kupata hela nyingi kwa mfanyabiashara,
ya kwanza ni kufanya biashara kwa muda mwingi zaidi(masaa,siku...ukiamua hata weekend,now nina wazo la kuanzisha biashara inayo operate 24 hrs kitu ambacho mwajiriwa hawezi)
Na njia ya pili,ni kwa kuongeza idadi ya bidhaa au huduma(Q) au kufungua matawi mengi zaidi kitu ambacho mwajiriwa hawezi.

Hitimisho
Ajira ni safe zaidi kuliko biashara,hivyo kuchagua njia ipi upite itategemea risk tolerance yako,but all of all, running for business and entrepreneurship,it worth a shot!
Security iendane na maendeleo kulingana na malengo mahsusi ya mtu itakuwa vizuri zaidi
 
sio kusitisha. ACHA. hivyo unavyositisha kwa muda unandelea na biashara na baada ya kuingiza pesa kidogo unazitoa na kuendeleza ujenzi kidogo UNADHOOFISHA BIASHARA. utashindwa kuifanya biashara ikue... itadumaa kila siku utakuwa hapo hapo... acha biashara ikue. Fikiria biashara kuzalisha biashara nyingine. muda wa kujenga ukifika utajenga bila kuathiri biashara na bila kusitisha sitisha...... understand????
Muache afanye kinachowezekana kwa wakati husika.
Mitazamo inatofautiana. Mwingine atakuuliza je nikiacha kujenga ili nikuze biashara na bahati mbaya biashara ikafa au malengo ya ukuaji yasifikiwe? Mwingine kipaumbele chake ni kuwa na makazi binafsi kwanza ili awe huru ndo apambane vizuri na biashara.
 
Nimeshangaa sana kuona watu wanabeza mtaji wa 500k-1ml kuleta faida ya 300k-500k kwa mwezi.
Maana yake ni kwamba unalaza kuanzia 10k hadi 17k kwa siku.

Labda walielewa hiyo faida ya 500k unaipata kwa siku.
Exactly kiongozi labda wao walielewa vibaya
 
Security iendane na maendeleo kulingana na malengo mahsusi ya mtu itakuwa vizuri
Unapokuwa unatazama mafanikio katika biashara usingalie tu returning

Ila lazima uangalie na mambo kama
Uzoefu
Changamoto
Ujuzi wa kuuza na kununua
Mahusiano ambayo umeshayajenga kati yako na wateja .


Ikiwa Una six years in business na umepata yote hayo unakuwa umefanikiwa kwa asilimia fulani.

Hii ni tofauti na MTU mwenye pesa nyingi Ila hana hayo yote hayo anaweza kuingiza mtaji na akapotez.

Mfano wastaafu wengi huwa wanapoteza mtaji as well wanopataga hela za urithi na wanaoshinda lottery .

So tusiangalie mafanikio kwa angle moja pekee ya kuwa na Cash.(Currency)

Hata unapohesabu utajiri wa MTU huwa hauangalii Currency pekee unaangalia Assets anazomiliki huyo MTU na hii ndo tofauti ya Wealthiest person and richest person.
 
Unapokuwa unatazama mafanikio katika biashara usingalie tu returning

Ila lazima uangalie na mambo kama
Uzoefu
Changamoto
Ujuzi wa kuuza na kununua
Mahusiano ambayo umeshayajenga kati yako na wateja .


Ikiwa Una six years in business na umepata yote hayo unakuwa umefanikiwa kwa asilimia fulani.

Hii ni tofauti na MTU mwenye pesa nyingi Ila hana hayo yote hayo anaweza kuingiza mtaji na akapotez.

Mfano wastaafu wengi huwa wanapoteza mtaji as well wanopataga hela za urithi na wanaoshinda lottery .

So tusiangalie mafanikio kwa angle moja pekee ya kuwa na Cash.(Currency)

Hata unapohesabu utajiri wa MTU huwa hauangalii Currency pekee unaangalia Assets anazomiliki huyo MTU na hii ndo tofauti ya Wealthiest person and richest person.
Umeongea vizuri kiongozi 💯
 
My POV

BIASHARA
-ina risk kubwa but also high return (profit)
-peronal freedom ya kujiamulia ni kubwa
-inahitaji consistency na personal supervision ili ikuwe
-inahitaji critical thinking sana (pasua kichwa)
-possibility ya kukua ni kubwa
-inakupa mwelekeo mzuri kama ukiimudu vizuri as kila kitu kinakuwa ndani ya control

AJIRA (SERIKALINI)
-haina risk ama low kama ipo
-kuna freedom lakini ya kuamuliwa unless uwe na cheo kikubwa ama maybe kuendana na ulipoajiriwa
-haiumizi kichwa just play your part
-constant income unless upige ama uvirige mambo au uwe kwenye taasisi zenye posho
-pasua kichwa after kustaafu kama haukuwa na side hustles nyingine

Summary
Kama una vision tayari ama una mpango thabiti wa kibiashara hata kama unaingiza 400k ama 500k monthly just pangilia vizuri mambo yako naamini biashara inakua ila kama huna mpango mzuri na elimu yako ni kubwa bora kuajiriwa
Target yangu sio security but development and success njia ipi itanifikisha mapema? Je katika hali sawa kati ya mfanyabiashara na muajiriwa kunaweza kuwa na gap? Ni nani yupo juu
 
Back
Top Bottom