Hapa ndo changamoto ya biashara ilipo.Nilikua nafanya biashara kwakwel nilikua natumia nguvu kubwa sana ila nilikuja kujua umuhimu wa ajira baada ya kuugua ,mtaji unaweza ishia hospital
Hapa ndo changamoto ya biashara ilipo.Nilikua nafanya biashara kwakwel nilikua natumia nguvu kubwa sana ila nilikuja kujua umuhimu wa ajira baada ya kuugua ,mtaji unaweza ishia hospital
Ndio uhalisiaKabla sijachangia kwanza niseme mleta mada we ni muongo.
Baada ya hapo ndo nichangie sasa.
Mimi nimekosa ajira zaidi ya miaka 10 tangu nihitimu. Ninafanya biashara ndogo ndogo, nimeoa nina familia, nalipa kodi na ada. Nyumba yangu inasubiri kupauliwa. My class mates walioajiriwa wananipiga vibomu vya hapa na pale. Ila mpaka sasa sijaelewa kipi bora kujiajiri au kuajiriwa maana bado naaply
Huwezi kuwa Bilionea kwa mshahara...lakini waweza kwa biashara..muhimu kuwa na vyanzo zaidi ya viwili vya kipato hata kama ni vidogo kimtazamo,Wakuu hebu tujaribu kulinganisha kati ya biashara na ajira kwa upekee na kwa factor zinazofanana au watu wenye madaraja sawa ya vipato kwa upande wa ajira na mtaji au mapato tuone nani anajilipa/analipwa shingapi na amefanya nini hadi sasa
Nikianza mimi, ki status ni mfanyabiashara mdogo mtaji around 500k-1m return around 300k-500k per month hadi sasa sina nilichofanya zaidi ya kuanza msingi wa nyumba kwa miaka sita toka nianze biashara
Karibuni tushee uzoefu
Wapi uko labda sisi tupo kwenye wrong profession?Duh, kwamba huamini kuna ajira mtu analamba M5?
huyu aliomba ushauri. So maushauri meengi yatatolewa kwa misimamo tofauti. mwisho wa siku yeye ataamua kipi kinamfaa.Muache afanye kinachowezekana kwa wakati husika.
Mitazamo inatofautiana. Mwingine atakuuliza je nikiacha kujenga ili nikuze biashara na bahati mbaya biashara ikafa au malengo ya ukuaji yasifikiwe? Mwingine kipaumbele chake ni kuwa na makazi binafsi kwanza ili awe huru ndo apambane vizuri na biashara.
Kaka nipe direction ya hiyo ishu nafikilia kuifanya mwezi wa nane apo ila sina direction na connection no 0684008987Nauza vikorokoro vya simu chaja, airphones nk
Kwa Mwezi Mmoja,Mkuu kwa heshma ungefafanua kidogo hapa
Hii ni kweli kabisaKwa Mwezi Mmoja,
Mwajiliwa kipato chake ni kifupi (yaani Kiko limited)
Ila Kwa mfanyabiashara, Mwezi ni mrefu mno, ana uwezo wa kutengeneza pesa nyingi mno.
Ndo maana utashangaa wafanyabiashara wanakopa pesa za riba kubwa sn (25% plus) na wanarejesha fresh kabisa na hawawazi.
Ila watumishi wanaokopeshwa Kwa riba chee (below 17%) , Bado wanalalamika mabenki yanawanyonya.
Mifumo ya fedha kibongo bongo inaumiza.wafanyabiashara wanakopa pesa za riba kubwa sn (25% plus) na wanarejesha fresh kabisa na hawawazi.
Nakushauri uwekeze zaidi kuliko kufanya biashara, biashara inahitaji muda wako nawewe huna mudaMm napokea take home ya 750k kwa mwez......naomben wazo la biashara la kuingiza 20k per day.
Mm napokea take home ya 750k kwa mwez......naomben wazo la biashara la kuingiza 20k per day.
Tusilinganishe ajira na vitu vya hovyo. Labda kama una biashara kama za akina Mwamedi. Sasa biashara ya mtaji milioni 10 mkuu huwezi kulinganisha na ajira. My wife mke wangu naona pale anavyoteseka na biashara zake sitaki hata kufikria. Nilitaka kuacha ajira kwamba tukapambane na biashara alinigomea kabisa!Wakuu hebu tujaribu kulinganisha kati ya biashara na ajira kwa upekee na kwa factor zinazofanana au watu wenye madaraja sawa ya vipato kwa upande wa ajira na mtaji au mapato tuone nani anajilipa/analipwa shingapi na amefanya nini hadi sasa
Nikianza mimi, ki status ni mfanyabiashara mdogo mtaji around 500k-1m return around 300k-500k per month hadi sasa sina nilichofanya zaidi ya kuanza msingi wa nyumba kwa miaka sita toka nianze biashara
Karibuni tushee uzoefu
Mbona ajira nayo mkuu ndiyo inazaa biashara!Biashara inazaa ajira so biashara iheshimiwe ata kama ni ndogo.
Mtaji wa mkeo ni shingapi na wewe take home yako ni shingapi tuanzie hapoTusilinganishe ajira na vitu vya hovyo. Labda kama una biashara kama za akina Mwamedi. Sasa biashara ya mtaji milioni 10 mkuu huwezi kulinganisha na ajira. My wife mke wangu naona pale anavyoteseka na biashara zake sitaki hata kufikria. Nilitaka kuacha ajira kwamba tukapambane na biashara alinigomea kabisa!
Kwenye biashara hujafanikiwa Kwa sababu bado unamawazo ya kuajiriwaKabla sijachangia kwanza niseme mleta mada we ni muongo.
Baada ya hapo ndo nichangie sasa.
Mimi nimekosa ajira zaidi ya miaka 10 tangu nihitimu. Ninafanya biashara ndogo ndogo, nimeoa nina familia, nalipa kodi na ada. Nyumba yangu inasubiri kupauliwa. My class mates walioajiriwa wananipiga vibomu vya hapa na pale. Ila mpaka sasa sijaelewa kipi bora kujiajiri au kuajiriwa maana bado naaply