Unawafahamu wafanyabiashara wakubwa?Inadepend ni biashara gani piah na ajira umeajiriwa sehemu gan au kitengo gan kama waliopo tbs au tira hao labda wafanyabiashara wakubwa ndio wa kulinganisha nao
Nipe mfano wa ajira ilozaa biashara mkuu na mimi nikupe mifano lukuki ya biashara zilizojaza ajira duniani.Mbona ajira nayo mkuu ndiyo inazaa biashara!
Mkuu mbona hii iki obvious! Hujasikia mfanyakazi katumia mshahara wake kama mtaji wa biashara? Tuache hizo mkuu!Nipe mfano wa ajira ilozaa biashara mkuu na mimi nikupe mifano lukuki ya biashara zilizojaza ajira duniani.
Unataka kuja kuniteka?Mtaji wa mkeo ni shingapi na wewe take home yako ni shingapi tuanzie hapo
Na huo mshahara alotumia mfanyakazi kama mtaji ni malipo aliyopata kutoka kwa faida ya mfanyabiashara alomuajiri uyo mfanyakazi.Mkuu mbona hii iki obvious! Hujasikia mfanyakazi katumia mshahara wake kama mtaji wa biashara? Tuache hizo mkuu!
Mifumo ya fedha kibongo bongo inaumiza.
South Africa,Average business loan interest rates at banks range from 6.6% to 11.5% ila bongo inaenda mpk 25-30% hii ni komesha,2025/26 tunahitaji mapinduzi makubwa kwenye financial sector.
Ha ha ha haaaa!Nikuteke kwa take home ya 750k? Tunataka tujue huo mtaji wa mkeo hadi biashara imshinde isijekuwa amening'iniza viungo vya pilau na nyanya halafu wajilinganisha nae
Vending machine izo ni shngp na zinappatikan wpFanya service based business(SBB)
waajiriwa wengi wanafanikiwa zaidi kwny biashara ya kutoa huduma kuliko ya kuuza bidhaa..
Mifano ya SBB
1)ride sharing services ie bolt,Uber,Kama una usafiri wako you can try this after working hours.
2) courier-unaweza kuwa courier wa Amazon au alibaba.
3)Education services -anzisha shule ya nursery,weka matron na mwalimu,mhasibu ww mwenyewe,uko mbeleni ukiwa na mapafu unaanzisha primary school kabisa.
Ongezea na hii idea
4)vending machine-kuna VM za soft drinks,Kuna za snacks,kuna za maziwa,huku mtaani kwetu kuna hadi vending machine ya maji ya kunywa,uwanja ni mpana..mchawi location.
Hizi ni baadhi ya ideas ambazo hazihitaji Sana uwepo wako ,unachohitaji ni upfront cost then after,u keep on downloading money.
Vending machine inafanania hv
View attachment 3419479
Vending machine ya maji
View attachment 3419480
Wapi uko labda sisi tupo kwenye wrong profession?
Biashara gani hiyo miaka mitatu faida lk3 au unauza ubuyuNimefanya biashara miaka mitatu sijawah pata faida zaidi ya laki tatu 😂😂 kwahyo nikipata ajira serikal narukanayo uku nikiendelea na biashara cz najua ajira inanifeva upande wa afya ya familia
Kwamfano huyo anaelipwa m20 unaweza kumfananisha na mfanyabiashara wa level gani hapa nchiniM5 mbona ndogo mm kuna sehm nilikuwa nafanya kaz ila company ni ya mmarekani..MD alikuwa analipwa mil 20 so mtu kulipwa m5 kawaida sana hasa hawa heads of dept kawaida mbona bado allowances