Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 4,855
- 13,150
Hapana.Uhuru gani unazungumzia???
Kuamka na kufungua biashara muda unao taka???🤔
Hapana.Uhuru gani unazungumzia???
Kuamka na kufungua biashara muda unao taka???🤔
Mishahara haina gundu ila muda wa kuiendeleza izae zaidi kama mfanyabiashara ndio kashesheWAKUU nisaidieni basi huwa nawaza HIVI mishahara huwa Ina gundu ? Samahani ka NME wakwaza IKO HIVI👉 Ronaldo analipwa mahela mengi unaambiwa ni MAbilioni SIJUI kwa SAA mara dakika alafu unakuja kushangaaa Miaka YOTE HIYO haja fikia hata bilioni moja ya Dola ya kigogo musk KWENYE zaidi ya MAbilioni ya Dola mia tatu na KITU aliyo nayo JAMAA MPAKA naishiwa nguvu.
Kwishaaaaaa
Bro Alex on la beats yoow..... God is gud
Nimekupata mkuu tuzidi kupambanaAsantee, inategemea mkuu kwenye kupiga
Bado niwageni siwapi mzigo wa bei ghali. Huku nje ya ajira nachofurahia ni uhuru wa kipato. Kuna siku utapata sana km wakiuza mali zote, na kuna siku napita na mmoja kuzunguka nae kuona km anajua kushawishi wateja ili watoe order nzuri akipita tena
Mapema sana kaka...inaonyesha mshahara wako inakutanaaaa.Bado mshahara ninao mfukoni kaka
Daah HAPO SIJUI hata inakuwaje lakini hata Ronaldo ana BIASHARA zake ILA waaapiMishahara haina gundu ila muda wa kuiendeleza izae zaidi kama mfanyabiashara ndio kasheshe
Mimi naweza pata faida ya laki moja kwa mwezi ila uwezo wa kuindeleza hiyo laki moja ije izae laki mbili kwa kutumia biashara ninayofanya ni rahisi kuliko aliyeajiriwa na kupokea mshahara wa laki moja
Muda mwingi anautumia kufanya mazoezi na kucheza mpira tofauti na mask ambae muda mwingi anawaza kutanua biashara na makampuni yakeDaah HAPO SIJUI hata inakuwaje lakini hata Ronaldo ana BIASHARA zake ILA waaapi
Kwishaaaaaaa
Bro Alex on la beats yoow......... Jah iz really
jamaa muongo sana uyo itakuwa ata maana ya mtaji(capital) hafahamu tz vilaza ni wengiBiashara ipi unafanya mkuu
Ya mtaj wa 500k alaf unapata 300k mpk 500k
Inabidi kukubaliana nae maana kupata faida kubwa sawa na mtaji ni = na Impossiblejamaa muongo sana uyo itakuwa ata maana ya mtaji(capital) hafahamu tz vilaza ni wengi
anashangaa nini RONALDO si mwajiriwa tu akipokea mishahara si anafanyia matumizi tena sometimes expensive kulinda brand yake unafikiri pesa zitakaa,ye haoni athletes wengi wanavyokuwa makapuku baada ya kustaafu?issue sio unaingiza tsh ngapi,je unaitumiaje iyo pesa?unaweza kuwa na salary ya 10m kwa mwezi bila bajeti na mipango ni sawa na mtu asiye na kazi unaweza ata usijenge na usiwe na maendeleo yoyoteMishahara haina gundu ila muda wa kuiendeleza izae zaidi kama mfanyabiashara ndio kasheshe
Mimi naweza pata faida ya laki moja kwa mwezi ila uwezo wa kuindeleza hiyo laki moja ije izae laki mbili kwa kutumia biashara ninayofanya ni rahisi kuliko aliyeajiriwa na kupokea mshahara wa laki moja
sio kusitisha. ACHA. hivyo unavyositisha kwa muda unandelea na biashara na baada ya kuingiza pesa kidogo unazitoa na kuendeleza ujenzi kidogo UNADHOOFISHA BIASHARA. utashindwa kuifanya biashara ikue... itadumaa kila siku utakuwa hapo hapo... acha biashara ikue. Fikiria biashara kuzalisha biashara nyingine. muda wa kujenga ukifika utajenga bila kuathiri biashara na bila kusitisha sitisha...... understand????Hii naifanyia kazi nishasitisha ujenzi kidogo nione kama nitasogea kidogo
Hakunielewa kitu kimoja, hapo nimeandika mtaji wa 500k-1milInabidi kukubaliana nae maana kupata faida kubwa sawa na mtaji ni = na Impossible
Nalipa pango kubwa sana kwa mwaka ni pesa nyingi kwa level yangu ya biashara bora nisimamishe kibanda cha room mbili nihamishe familia huko nipange room moja nikijipanga kujenga nyumba kubwasio kusitisha. ACHA. hivyo unavyositisha kwa muda unandelea na biashara na baada ya kuingiza pesa kidogo unazitoa na kuendeleza ujenzi kidogo UNADHOOFISHA BIASHARA. utashindwa kuifanya biashara ikue... itadumaa kila siku utakuwa hapo hapo... acha biashara ikue. Fikiria biashara kuzalisha biashara nyingine. muda wa kujenga ukifika utajenga bila kuathiri biashara na bila kusitisha sitisha...... understand????