Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,650
- 3,529
Hiyo ilikuwa inaitwa Raba Mtoni Mkuu!Sana. Mzee alikuwa MORO SHOE, aliwahi kunletea raba nikiwa darasa la pili, wadogo zangu wawili nao waliachiana raba hiyo hiyo!
Hiyo ilikuwa inaitwa Raba Mtoni Mkuu!Sana. Mzee alikuwa MORO SHOE, aliwahi kunletea raba nikiwa darasa la pili, wadogo zangu wawili nao waliachiana raba hiyo hiyo!
kumbe tuko wengi wa longi humu! nakumbuka nilinunuliwa baieskli mpya kabisa kwenye duka la RTC ilikua inauza sh 661 aina ya Raleigh, yani buku ilikua hela nyingi sanaUmesahau raba za Moro shoes, zilikuwa zinauzwa 450/= wakati huo. Hiyo ilikuwa kwenye 1982 huko.
wewe buku mwanaume anaenda kuichukulia mkopo bank.kumbe tuko wengi wa longi humu! nakumbuka nilinunuliwa baieskli mpya kabisa kwenye duka la RTC ilikua inauza sh 661 aina ya Raleigh, yani buku ilikua hela nyingi sana
Ninakumbuka dingi alikuwa anasafiri sana, basi akituaga alikuwa anatupa sh 30-50 unajiona tajiri vibaya mno, outing ni Fanta na mihogo ya kukaanga jioni kama ukipewa ruhusa.kumbe tuko wengi wa longi humu! nakumbuka nilinunuliwa baieskli mpya kabisa kwenye duka la RTC ilikua inauza sh 661 aina ya Raleigh, yani buku ilikua hela nyingi sana
mtandao raha sana, enzi hizo radio ni RTD tu kulikua na idhaa ya biashara huk ndo utasikia miziki kuanzia jioni,wewe buku mwanaume anaenda kuichukulia mkopo bank.
Ukimwi ulikua akuna ukienda uwanja wa fisi kavukavu[emoji12]Dah..... Enzi hizo ndom shillingi mbili tu....halafu zinauzwa kwa magendo...... [emoji13] [emoji13]
inawezekana, nakumbuka nilikua natumwa kulipia kudi ya nyumba NHC sh 350 kwa mwezi, 3bedrooms,kitchen choo ndani na eneo la kutosha tuwewe buku mwanaume anaenda kuichukulia mkopo bank.
Mdogo wangu hapo hakuna loso, ni mitwango yetu walume ndagoNdo mlikua mnaziita "roso/loso" eeeh
Ugonjwa wetu Mkuu ulikuwa mandeletele au kaswendeUkimwi ulikua akuna ukienda uwanja wa fisi kavukavu[emoji12]
Mkuu wa wilaya alikuwa makamba snr kama sikoseiSiwezi kusahau nilikuwa kwenye ngonjera na bado ninakumbuka beti zangu, na mwimbo wa kuingilia ulikuwa "watoto ni mwaka wetu, tusonge mbele tusirudi nyuma daima".
Wali na pofu umenikumbusha mwanafunzi mmoja alitoka Lushoto basi lile pilau alikataa kula kwa kuwa lilikuwa chafu na mijiti. (mdalasini)Siku tulipochujwa wapatikane wa chipukizi mimi nilipanic nilirusha mguu na mkono, wenzangu waliokwenda kwenye gwaride baada ya michezo waliitwa wakale wale na pofu wakati sisi wa ngonjera unalinda ile shilingi uliyopewa home asubuhi.
Now days zimebaki kuvaliwa na walimu wetuNa hizi ndio zilikuwa zama zetu!
View attachment 491309
Kumbe Moro ilikua na viwanda?!Umesahau raba za Moro shoes, zilikuwa zinauzwa 450/= wakati huo. Hiyo ilikuwa kwenye 1982 huko.
Palikuwa na bimkubwa mmoja pale bora shoes akikuona tu hahitaji kukupima mguu anakwenda penye chanja akirudi na mguu hutoki yaani mulemule. Palikuwa na buti moja nyeusi hivi kule chini soli yake ilikuwa kama msumeno hivi ilikuwa balaa hapa juu pana fungwa tundu tatu tuliviita vya jeshi nilisota navyo sana haviishi tu basi nikitoka school mawe yote halali yangu lakini wapi kiatu kipo tu.Na hizi ndio zilikuwa zama zetu!
View attachment 491309
Umenikumbusha kuna sneaker alinletea mzee nikavaa mpaka kikanibana,akavaa mdogo wangu naye vikamruka akavaa na mdogo wake enzi hizo wakinga hawajaanza kwenda china kuleta vitu feki.Sana. Mzee alikuwa MORO SHOE, aliwahi kunletea raba nikiwa darasa la pili, wadogo zangu wawili nao waliachiana raba hiyo hiyo!
Zile Fanta zilikuwa na utamu wa kipekee mimi nilikuwa nazibatiza (naongeza maji ili iwe nyingi )lakini ule utamu wake ulikuwa haupotei kirahisi.Ninakumbuka dingi alikuwa anasafiri sana, basi akituaga alikuwa anatupa sh 30-50 unajiona tajiri vibaya mno, outing ni Fanta na mihogo ya kukaanga jioni kama ukipewa ruhusa.