Tulikuwepo Hukuwepo!

Slim5

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
28,203
37,896
Na hizi ndio zilikuwa zama zetu!
IMG-20170402-WA0012.jpg
 
Sana. Mzee alikuwa MORO SHOE, aliwahi kunletea raba nikiwa darasa la pili, wadogo zangu wawili nao waliachiana raba hiyo hiyo!
watoto watundu huwa wanazichana na wembe akiona imekaa muda mrefu haichakai na yeye anataka kitu kipya, hahahahaha
 
Back
Top Bottom