Tulikua na viwanda na si manenoNa hizi ndio zilikuwa zama zetu!
View attachment 491309
Tulikua na viwanda na si manenoNa hizi ndio zilikuwa zama zetu!
View attachment 491309
Dah..... Hizo zilikuwa Enzi za 60s.... Wachache sana humu tulikuwepoUkimwi ulikua akuna ukienda uwanja wa fisi kavukavu![]()

Nami najua hivo ni loso kuna mdau hapo kasema loso ni kitambaa
Kaka, tuletee suruali, shati na radio za santuli .
Basi nikuchekeshe. Mimi hizo raba zilisababisha niteuliwa kuwa BAND MEMBER ktk school band, nilikuwa napiga filimbi!
Mwaka huo ulikua mgumu Sana, serikali ikatangaza tufunge mkanda miezi michache mambo yatarudia kua sawa(baada ya vita ya kagera), weeeeeeeeee, mpaka Leo hajawahi kurudi kua sawa.
Umenikumbusha mbali Sana Mkuu, kupanga foleni kusubiri unga wa Yanga.
Ha ha ha Haaaa , kwahiyo tuliwahi kufurahia maisha miaka 6 Tu baada ya uhuru, baada ya hapo Ni majanga mpaka Leo?Mambo hayakuanza kuharibika mwaka huo. Mambo yalianza kuharibika mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha 1967.
Miaka huyo ya 79 na 80s ni climax tu ilikuwa inafikia.
Very strategic, kwamba kipo kiwanda cha baiskeli cha Swala lakini BORA wanatengeneza tairi kama 'out-supply'.
Ukweli ni kwamba Mwalimu Nyerere aliikomboa na anaendelea kuikomboa nchi hii lakini sababu ya ujinga wetu uliokithiri hatuelewi hili. Miaka kama sabini ijayo tunaweza kuelewa labda! Tunaendelea kuamini katika kutopenda kufanya kazi hivyo kujiaminisha kuwa ukiikabidhi nchi kwa madalali ndio 'maendeleo' kumbe nao watakufanyisha kazi mara kumi zaidi na kwa masilahi madogo kupitiliza na mwisho wanahamisha chote walichopata kupeleka kwingine.
Ukimwi ulikua akuna ukienda uwanja wa fisi kavukavu![]()
Bila kusahau crepe bandages zilikuwa zinauzwa shilingi tatu nyeupe hizi nzuri sana basi utajifunga mguu au mkono hata kama hujaumia ili watu wajue unayo ilikuwa ni kogo (mikogo )ya enzi zetu.Ile Ijumaa ya mwisho ya holiday mnakutana wote kwenye duka la Tanzania Elimu Supplies kununua mdaftari kalamu, vifutio, mikebe.......
Yaah kuhusu kondomu Swadakta kabisa maneno yako hilo wimbi la kutumia halikuwepo jaribu tu kukumbuka mwaka 1992 remmy ongala aliimba MAMBO KWA SOKSI na bado ikaonekana hauna maadili huo wimbo itakuja kuwa enzi zetu adhwimu hizo?kaswende kisonono duh ujue pana watu waliharibika vizazi kabisa kwa kadhia hizo watu walidungwa mpaka sindano za mifugo.Gonjwa pekee lililokuwa linatutesa ni Gono, mambo ya Condom hayakuwepo na hata yalipoanza kuingia tuliamini ndani yake kuna virusi vya Ukimwi vimepandikizwa na Wazungu tukawa tukiwa kwny Safar za Kikazi ni Mwendo wa Misuguano ya Ngozi kwa ngozi tu
Loso mbona ni za juzijuzi tu, miaka ya 1987 kuendelea.Loso ni kitambaa kwa sehemu kubwa....wadada wamejibweda sana nazo zile.kitu chepeesiiiiiii
LOSO ni kitambaa tena sio vya zamani sana ni miaka ya 1987 kuendelea, hivyo vya ngozi na soli ndefu viliitwa raizoni ama teremka tubonge.Nami najua hivo ni loso kuna mdau hapo kasema loso ni kitambaa
unajua sababu ya kuitwa buku? najua wengi hawajui.kumbe tuko wengi wa longi humu! nakumbuka nilinunuliwa baieskli mpya kabisa kwenye duka la RTC ilikua inauza sh 661 aina ya Raleigh, yani buku ilikua hela nyingi sana
Kudadeki!....la pili hapo niko!Na hizi ndio zilikuwa zama zetu!
View attachment 491309