Tulikuwepo Hukuwepo!

Tulikuwepo Hukuwepo!

Mwaka 1979 ulikuwa mwaka wa ki-mataifa wa mtoto, kulikuwa na viatu pia vilitoka Bora, viliitwa mwaka wa mtoto.
muda acha uende.Mimi niliishia kupima tu kama vinanitosha,niliahidiwa kununuliwa sabasaba ikikaribia.Mungu alivyo na makusudi,nilitumwa kununua unga nikapewa sh.20.Ili uwahi unakoenda ni eidha uwe na ringi la kuzungusha au mpira wa majani ya mgomba,unaupiga na kuukimbilia.Mpira wangu uliniponza nikapoteza 20 ya mama,nilipigwa hadi nilichoka kulia.Ahadi ya viatu iliishia hapo hapo,ila kila mara nilikua naenda kwenye duka la Bora navichungulia viatu vyangu kwenye kioo.R.I.P mama yangu mpenzi.
 
muda acha uende.Mimi niliishia kupima tu kama vinanitosha,niliahidiwa kununuliwa sabasaba ikikaribia.Mungu alivyo na makusudi,nilitumwa kununua unga nikapewa sh.20.Ili uwahi unakoenda ni eidha uwe na ringi la kuzungusha au mpira wa majani ya mgomba,unaupiga na kuukimbilia.Mpira wangu uliniponza nikapoteza 20 ya mama,nilipigwa hadi nilichoka kulia.Ahadi ya viatu iliishia hapo hapo,ila kila mara nilikua naenda kwenye duka la Bora navichungulia viatu vyangu kwenye kioo.R.I.P mama yangu mpenzi.
Ooh, pole sana. Umenikumbusha mtoto mmoja aliitwa Ali, alitumwa akanunue mchele dukani, Enzi zile kula wali ilikuwa big deal, alipopewa pesa amefika dukani amefungiwa mchele kilo mbili kwenye mfuko wa khaki. Njiani mvua ilianza kunyesha, akakimbia nyumbani ili mama awahi kupika mchele. Mfuko ulilowana mchele ukaanza kumwagika, aliwahi kuukinga kwenye viganja. Mama anamuuliza mchele kilo mbili ni huu? Alikula bakora.
 
Ooh, pole sana. Umenikumbusha mtoto mmoja aliitwa Ali, alitumwa akanunue mchele dukani, Enzi zile kula wali ilikuwa big deal, alipopewa pesa amefika dukani amefungiwa mchele kilo mbili kwenye mfuko wa khaki. Njiani mvua ilianza kunyesha, akakimbia nyumbani ili mama awahi kupika mchele. Mfuko ulilowana mchele ukaanza kumwagika, aliwahi kuukinga kwenye viganja. Mama anamuuliza mchele kilo mbili ni huu? Alikula bakora.
Yalikuwa ni maisha ambayo ukiyakumbuka sasa unaishia kucheka tu.
 
muda acha uende.Mimi niliishia kupima tu kama vinanitosha,niliahidiwa kununuliwa sabasaba ikikaribia.Mungu alivyo na makusudi,nilitumwa kununua unga nikapewa sh.20.Ili uwahi unakoenda ni eidha uwe na ringi la kuzungusha au mpira wa majani ya mgomba,unaupiga na kuukimbilia.Mpira wangu uliniponza nikapoteza 20 ya mama,nilipigwa hadi nilichoka kulia.Ahadi ya viatu iliishia hapo hapo,ila kila mara nilikua naenda kwenye duka la Bora navichungulia viatu vyangu kwenye kioo.R.I.P mama yangu mpenzi.
Great memories. REST IN ETERNAL PEACE Mama.
 
Mwaka huo ulikua mgumu Sana, serikali ikatangaza tufunge mkanda miezi michache mambo yatarudia kua sawa(baada ya vita ya kagera), weeeeeeeeee, mpaka Leo hajawahi kurudi kua sawa.

Umenikumbusha mbali Sana Mkuu, kupanga foleni kusubiri unga wa Yanga.
 
Mwaka huo ulikua mgumu Sana, serikali ikatangaza tufunge mkanda miezi michache mambo yatarudia kua sawa(baada ya vita ya kagera), weeeeeeeeee, mpaka Leo hajawahi kurudi kua sawa.

Umenikumbusha mbali Sana Mkuu, kupanga foleni kusubiri unga wa Yanga.
Mungu wangu. Nilikuwa nimelazwa hospital. Huo unga wa Yanga nilianza kuunywa uji Hospital!
 
Mwaka huo ulikua mgumu Sana, serikali ikatangaza tufunge mkanda miezi michache mambo yatarudia kua sawa(baada ya vita ya kagera), weeeeeeeeee, mpaka Leo hajawahi kurudi kua sawa.

Umenikumbusha mbali Sana Mkuu, kupanga foleni kusubiri unga wa Yanga.
Tuliuita ugali wa mayai.
 
Mungu wangu. Nilikuwa nimelazwa hospital. Huo unga wa Yanga nilianza kuunywa uji Hospital!
Hospitali kulikuwa na uji wa bulgar uliletwa kutoka Marekani, ulichanganywa na sukari na maziwa three in one.
 
Wakuu bila kuisahau na timu yao ya mpila wa "pete" Netball walikuwa na mchezaji wao mwana mama Judith chifupa mwaka 1984 akatangazwa mchezaji bora, huku kwa mpila wa wanaume football alikuwa mchezaji kutoka timu ya simba sports club Ramadhani Lenny abega, Gazeti lilikokuwa linapendwa lilikuwa linatoka kila Jumamosi ni Mfanyakazi, mhariri wake mkuu wa gazeti alikuwa James nhende, na mwandishi aliejizolea umaarufu mkubwa enzi zile la sakata la uuzwaji mbuga ya wanyama ya loliondo aliouziwa mtoto wa mfalme wa saudia Arabia na yeye alikuwa mstari wa mbele kupinga marehemu stanlaus katabaro
 
Mwaka 1979 ulikuwa mwaka wa ki-mataifa wa mtoto, kulikuwa na viatu pia vilitoka Bora, viliitwa mwaka wa mtoto.
Umenikumbusha, walichaguliwa watoto wenye miaka 10 kama sikosei walienda Ethiopia, shuleni kwetu alichaguliwa mwanaume mie nilikuwa na miaka hiyo lakini nilikosa kigezo. Zamani raha kulikuwa hamna rushwa ingekuwa leo wangeenda watoto wenye wazazi wao CCM.
 
Back
Top Bottom