Siwezi kusahau nilikuwa kwenye ngonjera na bado ninakumbuka beti zangu, na mwimbo wa kuingilia ulikuwa "watoto ni mwaka wetu, tusonge mbele tusirudi nyuma daima".Ahsante sana kwa kumbukumbu murua!
Basi nikuchekeshe. Mimi hizo raba zilisababisha niteuliwa kuwa BAND MEMBER ktk school band, nilikuwa napiga filimbi!Siwezi kusahau nilikuwa kwenye ngonjera na bado ninakumbuka beti zangu, na mwimbo wa kuingilia ulikuwa "watoto ni mwaka wetu, tusonge mbele tusirudi nyuma daima".
Haha, kisosi cha chipukiz je ulicheza gwaride?Basi nikuchekeshe. Mimi hizo raba zilisababisha niteuliwa kuwa BAND MEMBER ktk school band, nilikuwa napiga filimbi!
Naikumbuka sana hiyo Calendar, Enzi zile ukienda chipukizi na Moro shoes au buti fulani ya Bora nene nyeusi ndani ya uniform unatokelezea, Nilicheza Chipukizi kikosi cha scarf.Haha, kisosi cha chipukiz je ulicheza gwaride?
Siku tulipochujwa wapatikane wa chipukizi mimi nilipanic nilirusha mguu na mkono, wenzangu waliokwenda kwenye gwaride baada ya michezo waliitwa wakale wale na pofu wakati sisi wa ngonjera unalinda ile shilingi uliyopewa home asubuhi.Haaa. Haaa. Haaa. Nikicheza my. Tulikuwa tunatumia uwanja wa SABA SABA opp na jengo la CCM Morogoro. Shati la green. Suruali Black. Haaa. Haaa. Haaa. Old times are great times.
Hivi viatu vinaitwaje?Loso ni kitambaa kwa sehemu kubwa....wadada wamejibweda sana nazo zile.kitu chepeesiiiiiii
Kama nakuona!Siku tulipochujwa wapatikane wa chipukizi mimi nilipanic nilirusha mguu na mkono, wenzangu waliokwenda kwenye gwaride baada ya michezo waliitwa wakale wale na pofu wakati sisi wa ngonjera unalinda ile shilingi uliyopewa home asubuhi.
Yaa uwanjani mnaingia na mnawekewa sehemu yenu maalum wakati wa mtaani wanapigwa na jua. Ratiba inaanza wale wa ngonjera wajiandae, mwalimu anawapanga, kumbu kumbu flani amazing.Kama nakuona!
Hivi viatu vinaitwaje?
Mmmh kuvipata hivyo viatu hadi kwa foleni na uaamke alfajiri !!! siajabu ukifika waambiwa Mwl kapiga marufuku !!!!Mwaka 1979 ulikuwa mwaka wa ki-mataifa wa mtoto, kulikuwa na viatu pia vilitoka Bora, viliitwa mwaka wa mtoto.