Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

Nalia na jeshi la polisi tu,huu utapeli wa kutumia namba zilizosajiliwa kwa alama za vidole haukupaswa kuwepo kabisa.

TCRA waliwahi mno,wangesubiri NIDA iandikishe na kutoa NIN kwa walau watu wengi ndiyo wafungie SIM cards.

Mawakala wanauza namba zilizosajiliwa,TCRA wapo ofisini.

Ukienda Polisi,hatafutwi mwenye taarifa za hiyo namba iliyotumika badala yake wanataka wampate anayetumia hiyo namba wakati huo kwa kutafuta CDR.

Kuipata hiyo CDR kutoka TCRA wanakuambia ni mchakato mrefu wa kuandika barua ila kuna shortcut za njia ya panya! Pesa itoke hapo.

Tapeli gani atatumia namba hiyo kuwasiliana na watu wake wa karibu hadi mumpate kupitia CDR?

Hiki kitengo cha Cybercrime polisi kinahitaji ubia na sector binafsi yenye weledi maana uhalifu umehamia huko kwa sasa!

Traffic si wameingia ubia kukagua magari? Na huku wapewe wenye uwezo na teknolojia.
 
Hata benki ukihitaji mkopo unatoa pesa inaitwa loan processing fee tofauti hao matapeli wanakuomba utume kabla ila benki hufyeka kwenye mkopo waliokupa!
Ina maana gani hii?
 
Nalia na jeshi la polisi tu,huu utapeli wa kutumia namba zilizosajiliwa kwa alama za vidole haukupaswa kuwepo kabisa.

TCRA waliwahi mno,wangesubiri NIDA iandikishe na kutoa NIN kwa walau watu wengi ndiyo wafungie SIM cards.

Mawakala wanauza namba zilizosajiliwa,TCRA wapo ofisini.

Ukienda Polisi,hatafutwi mwenye taarifa za hiyo namba iliyotumika badala yake wanataka wampate anayetumia hiyo namba wakati huo kwa kutafuta CDR.

Kuipata hiyo CDR kutoka TCRA wanakuambia ni mchakato mrefu wa kuandika barua ila kuna shortcut za njia ya panya! Pesa itoke hapo.

Tapeli gani atatumia namba hiyo kuwasiliana na watu wake wa karibu hadi mumpate kupitia CDR?

Hiki kitengo cha Cybercrime polisi kinahitaji ubia na sector binafsi yenye weledi maana uhalifu umehamia huko kwa sasa!

Traffic si wameingia ubia kukagua magari? Na huku wapewe wenye uwezo na teknolojia.
Cybercrimes vituoni hata laptop hawana. Wapo kama ndege maji wanazurura tu kuvizia mishahara

Umeongea kitu cha msingi sana mkuu Sijaona kabisa maana ya kusajili laini kwa namba ya NIDA mana hakuna uhsiano wowote na security ya mtu, privacy wala uhalali.

Mambo yanashamiri na hakuna hatua yoyote inayoleta mwanga. Imekuwa shida sana pale ambapo kidole gumba unacho wewe na namba yako na nida anayo mtu mwingine na mambo yake yanakwenda bila kukwama
 
Tanzania sasa hivi wiziwizi tu. Nchi gani hii kila mtu mwizi? Hakuna mtu ambae yuko salama, yaani nchi hii hata Daktari mwizi, hakimu mwizi, president mwizi. Hii laana hii
😄😄😄😄 Naked truth
 
Ni nchi ya kitapeli, wizi, uwongo na sote tu wajinga.

Jumapili nilikuwa nimetulia na mjukuu wangu, akaniambia ndani ya miezi mitatu iliyopita, M-Pesa account yake imekuwa ikipotea tsh 30 mpaka 70 kwa siku bila maelezo.

Ni wangapi tunaibiwa namna hii na tunakaa kimya kisa ni hela ndogo!!??

Ndio maana nasema nchi (mfumo umeruhusu) imekuwa ya kitapeli, kiwizi na kiuwongo.
Mnoooo Kila mtu tz now ni mpigaji Kila mtu anaweza kutapeli
 
Hata benki ukihitaji mkopo unatoa pesa inaitwa loan processing fee tofauti hao matapeli wanakuomba utume kabla ila benki hufyeka kwenye mkopo waliokupa!
Hiyo pesa inakatwa kwenye huo mkopo, hiyo ni sawa.

Na sio unatoa pesa ili upate mkopo.
 
Back
Top Bottom