Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

Sio kweli.

N fursa ya wenye akili kupata pesa kupitia wajinga wajinga, n kama mwamposa tuu anavyowanyoosha wajinga
Ni nchi ya kitapeli, wizi, uwongo na sote tu wajinga.

Jumapili nilikuwa nimetulia na mjukuu wangu, akaniambia ndani ya miezi mitatu iliyopita, M-Pesa account yake imekuwa ikipotea tsh 30 mpaka 70 kwa siku bila maelezo.

Ni wangapi tunaibiwa namna hii na tunakaa kimya kisa ni hela ndogo!!??

Ndio maana nasema nchi (mfumo umeruhusu) imekuwa ya kitapeli, kiwizi na kiuwongo.
 
Ni nchi ya kitapeli, wizi, uwongo na sote tu wajinga.

Jumapili nilikuwa nimetulia na mjukuu wangu, akaniambia ndani ya miezi mitatu iliyopita, M-Pesa account yake imekuwa ikipotea tsh 30 mpaka 70 kwa siku bila maelezo.

Ni wangapi tunaibiwa namna hii na tunakaa kimya kisa ni hela ndogo!!??

Ndio maana nasema nchi (mfumo umeruhusu) imekuwa ya kitapeli, kiwizi na kiuwongo.
Cha ajabu Yas nao wameanza unaa, unatumia kibubu huambiw jumla ya hela zako ni kias gan kila ukitoa hela unaambiwa umetoa hela tu. Huambiw kilichobakia nikajitutumua siku hiyo nikazitoa zote. Wakacheze wanakochezaga
 
Ananiharibia uzi jamaa kaja kufurahisha watu wakati si tunataka sauti imfingie mlengwa na wazuie haya mambo huko mitandaoni. Hawa ndo wanasababisha mtu anapewa ban kima tu
Kwenye jamii jiandae kukutana na kila kitu, hadi zile zisivyokufurahisha.

Acha kudeka, kaza
 
Yani anaenda kukopa halafu anayo laki 3 ya kutuma... kweli matatizo siku hizi hayapo serious 😂
Zamani matatizo yetu ilikuwa yakikushika unaenda kukopa ukiwa huna hata 100 mkuu, kesi kama hizi hazikuwepo kabisa
Hiyo inaitwa loan security kuulinda mkopo wako! 🤣🤣🤣
 
Tulia, nandy supermarket, mo dewji, kidoti jokate na sasa hivi diamond PLATNUM casino, ni fake I'd matapeli wanatumia picha na utambulisho wa hawa watu kutapeli watu mitandaoni Facebook na insta, sijawahi shawishiwa kabisa kuibiwa na hawa wahuni
 
Sasa unataka mkopo inakuwaje tena ww ndo utoe pesa?
Hata benki ukihitaji mkopo unatoa pesa inaitwa loan processing fee tofauti hao matapeli wanakuomba utume kabla ila benki hufyeka kwenye mkopo waliokupa!
 
Back
Top Bottom