Hizi stori ulikua unasimuliwa na walezu wako ili usinzie unazileta huku, ujue huku unaongea na watu wazima.
huku kudekadeka mlikozoea enzi hizo saiv haipo, kama mmezoea michuzi ya nyama sasa mle ugali mkavu
Laliwa na nyoka sio? Zero PhD!!tango pori
Kauli yake kuwa watu wataishi kama mashetwani itamkosti sana tu, how come watu wa MUNGU wawe mashetwani? Take it easy, hakujua anafanya kazi ya MUNGU? Mungu ndie ANAE weka tawala za wanadamu, je anaongoza mashetwani sio, kipindi kifupi tu kila sura imekunjamana, watu wamejawa na hofu, WEWE fanya kareseach hapo kwenu MTAA, uniambie umegundua niniWakati utasema nami sitachoka kukumbusha! Mabadiliko yoyote yanataka utashi. Kulikuwa na pesa ambazo walikuwa wanamiliki na kufaidi watu wachache. Ila wengi wa watu wa kati na maskini kama mimi hatukuziona hizo pesa. Au nawe ni muhanga wa hapa kzi tu!