Tukutane hapa watumishi ambao hawategemei mishahara, tuelezane changamoto na mbinu

Mimi binafsi sio mtumishi serikalini ila ntachangia machache ninayoweza wakuu

Kwanza, ukiajitiwa iwe serikalini au sekta binafsi usikimbile kuoa au kuolewa, au kuzaa mtoto au watoto. Wekeza kwanza kwenye uchumi angalau miaka 5 nipo uanze hayo mengine.

Pili, ukiajiriwa popote ple usibadili mfumo wako wa maisha kwa zaidi ya 40%,ni kweli ulikwa umechakaa sasa unatakiwa upendeze kiasi na ule vizuri ila sasa unapoanza kutoka usiku kwenda club au bar kisa una uhakika wa mshahara ndipo unapoanza kuharibu uchumi wako.

Tatu, unapoajiriwa popote pale jitahidi sana kuona fursa za kiuchumi nje ya ajira zichambue kisha kusanya mtaji wako baada ya miaka miwili anza kuifanya fursa moja wapo.

Nne, kamwe sinunue gari la mkopo hata kama utashawishiwa vipi hapo kazini kwenu. Ukiona unanunua kwa mkopo jua huwezi kulimliki hilo gari fuata kanuni ya nunua kitu unachoweza kukinunua mara mbili.

Mwisho kabisa, uisubiri ukastaafu ndipo ukaanza biashara yoyote, hautaiweza. Kama umeshastaafu au unaelekea kustaafu na una vijana wakubwa fanya utaratibu wa kufungua biashara ya familia wewe usimamie fedha wao waifanye hiyo biashara na muheshimianekama wafanyabiashara sio baba/mama na wanawe maana mtafeli.

Vikubwa vya kuepuka ni;
1. Starehe
2. Kuiga maisha ya watu
3. Uwizi kazini
4. Kuridhika na mshahara
Nachukua notes mkuu.
 
Mimi binafsi sio mtumishi serikalini ila ntachangia machache ninayoweza wakuu

Kwanza, ukiajitiwa iwe serikalini au sekta binafsi usikimbile kuoa au kuolewa, au kuzaa mtoto au watoto. Wekeza kwanza kwenye uchumi angalau miaka 5 nipo uanze hayo mengine.

Pili, ukiajiriwa popote ple usibadili mfumo wako wa maisha kwa zaidi ya 40%,ni kweli ulikwa umechakaa sasa unatakiwa upendeze kiasi na ule vizuri ila sasa unapoanza kutoka usiku kwenda club au bar kisa una uhakika wa mshahara ndipo unapoanza kuharibu uchumi wako.

Tatu, unapoajiriwa popote pale jitahidi sana kuona fursa za kiuchumi nje ya ajira zichambue kisha kusanya mtaji wako baada ya miaka miwili anza kuifanya fursa moja wapo.

Nne, kamwe sinunue gari la mkopo hata kama utashawishiwa vipi hapo kazini kwenu. Ukiona unanunua kwa mkopo jua huwezi kulimliki hilo gari fuata kanuni ya nunua kitu unachoweza kukinunua mara mbili.

Mwisho kabisa, uisubiri ukastaafu ndipo ukaanza biashara yoyote, hautaiweza. Kama umeshastaafu au unaelekea kustaafu na una vijana wakubwa fanya utaratibu wa kufungua biashara ya familia wewe usimamie fedha wao waifanye hiyo biashara na muheshimianekama wafanyabiashara sio baba/mama na wanawe maana mtafeli.

Vikubwa vya kuepuka ni;
1. Starehe
2. Kuiga maisha ya watu
3. Uwizi kazini
4. Kuridhika na mshahara
Vizuri!
 
Sikuhizi kilimo kinafanywa na kila mtu awe mwajiriwa au mjasilia mali...tusiache kulima wakuu..

Binafsi kilimo cha mpunga kimefanya nisahau lini nilimaliza chuo na ikitokea nimekosa ajira kwa miaka 3 ijayo,sitakubali kuajiriwa tena..
Sitaki kuhamishwa idea kiboya
Hongera.

#YNWA
 
Mimi binafsi sio mtumishi serikalini ila ntachangia machache ninayoweza wakuu

Kwanza, ukiajitiwa iwe serikalini au sekta binafsi usikimbile kuoa au kuolewa, au kuzaa mtoto au watoto. Wekeza kwanza kwenye uchumi angalau miaka 5 nipo uanze hayo mengine.

Pili, ukiajiriwa popote ple usibadili mfumo wako wa maisha kwa zaidi ya 40%,ni kweli ulikwa umechakaa sasa unatakiwa upendeze kiasi na ule vizuri ila sasa unapoanza kutoka usiku kwenda club au bar kisa una uhakika wa mshahara ndipo unapoanza kuharibu uchumi wako.

Tatu, unapoajiriwa popote pale jitahidi sana kuona fursa za kiuchumi nje ya ajira zichambue kisha kusanya mtaji wako baada ya miaka miwili anza kuifanya fursa moja wapo.

Nne, kamwe sinunue gari la mkopo hata kama utashawishiwa vipi hapo kazini kwenu. Ukiona unanunua kwa mkopo jua huwezi kulimliki hilo gari fuata kanuni ya nunua kitu unachoweza kukinunua mara mbili.

Mwisho kabisa, uisubiri ukastaafu ndipo ukaanza biashara yoyote, hautaiweza. Kama umeshastaafu au unaelekea kustaafu na una vijana wakubwa fanya utaratibu wa kufungua biashara ya familia wewe usimamie fedha wao waifanye hiyo biashara na muheshimianekama wafanyabiashara sio baba/mama na wanawe maana mtafeli.

Vikubwa vya kuepuka ni;
1. Starehe
2. Kuiga maisha ya watu
3. Uwizi kazini
4. Kuridhika na mshahara

3. Uwizi kazini
Kwa Kazi za serikali bila hili HUWEZI KUTOBOA.

4. Kuridhika na mshahara
Ukiridhika ndio unaukaribisha UMASIKINI.

#YNWA
 
Nimefungua huu uzi kwa ajili ya kuwakutanisha watumishi wote wenye idea ya ujasiriamali, wanaofanya biashara,kilimo,ufugaji na wanaotarajia kufanya biashara, kilimo na ufugaji n.k

Kwa ugumu wa maisha jinsi ulivyo mfumuko wa bei ni ndoto kwa sisi watumishi wa halmashauri kutoboa, Kuna clip moja wasira alisema "mshahara unakupa pesa ya kula tu na kuvaa" na huo ndio ukweli. Bei ya mchele inapepea, sukari juu mafuta juu, Mwisho wa mwezi unabaki na madeni na kuishi kwa kuomba omba na kubangaiza kwanini tusidharaulike na waendesha bodaboda?

Nimetembea mazingira mengi kabla ya kuajiriwa kama Mwalimu na baada ya kuajiriwa, nimeona watumishi wengi waliofanikiwa humu humu kwenye ajira ya serikali, Nawasifu walimu na watumishi wengine waliopo mijini, Kuna Shule moja nilienda nikakuta magari yamepaki japo ni IST Lakini ni sign mojawapo ya kuanza kujikwamua kiuchumi, at the same time wewe unaenda kwenye kituo chako Cha kazi na baiskeli na sio kwamba umeamua kununua baiskeli kwa sababu ya mazoezi hapana ni kwa sababu ya ugumu wa maisha, kwanini bodaboda asitudharau?

Kwenye Maofisi huko unaona kabisa nyuso za watu zikiwa zimekata tamaa kabisa, furaha hakuna maisha Magumu, je ni kweli duniani tumekuja kuteseka? Je wenye biashara mijini/ vijijini ni smart sana kuliko sisi? Tunakwama wapi?

Unakuta mtumishi Kadi ameiacha kwenye hizi ofisi ndogo za kukopesha ambao hawajali 1/3 ya mashahara. Yoote ni ugumu wa maisha na pesa amechukua alichofanyia hakionekani, tunavaa na tunakaa kwenye nyumba kama vile hatulipwi mishahara.

Nafahamu humu Kuna watumishi ambao walijiongeza/ wanajiongeza je waliwezaje? Kipi kifanyike kwa mtumishi kujikwamua kiuchumi?. Wanawezaje kusimamia? Vipi kwa walioko halmashauri ya Kijijini wafanye nini!

Idea yangu ni hii kwa watumishi, Naanza na estimation ya mtaji wa million 5 ambayo Kila mtumishi anaweza kuimudu.

1. Kufungua duka la nafaka mbalimbali (5million unaweza Anza)
2. Duka la simu na vifaa vyake
3. MPESA, TIGOPESA, WAKALA WA BANK ZOTE (wengi wanafanya)
4. Duka la viatu vya kike aina zote za viatu
5. Duka la vinywaji baridi (it depend na location na mkoa ulipo)
6.kilimo (Kuna mabonde ambayo yana maji na hawategemei mvua ekari 300,000)....

Ongeza na za kwako na changamoto yako, action na implementation ni muhimu tuache ngojera, na tukimbie dharau ndogo ndogo.
Mimi ni mtumishi nimekua nikinunua bidhaa zangu online kupitia kwenye company ya www.digxam.co wako Japan na Tanzania

Kiukweli waga sigusi mshahara wangu nimenunua member ship wakinutumia mzigo wa milion moja wa laptops nikiuza Napapata milioni kwa muda wa week moja, mzigo wa simu napata vile vile
 
Mimi ni mtumishi nimekua nikinunua bidhaa zangu online kupitia kwenye company ya www.digxam.co wako Japan na Tanzania

Kiukweli waga sigusi mshahara wangu nimenunua member ship wakinutumia mzigo wa milion moja wa laptops nikiuza Napapata milioni kwa muda wa week moja, mzigo wa simu napata vile vile

Hongera...

#YNWA
 
Mimi ni mtumishi nimekua nikinunua bidhaa zangu online kupitia kwenye company ya www.digxam.co wako Japan na Tanzania

Kiukweli waga sigusi mshahara wangu nimenunua member ship wakinutumia mzigo wa milion moja wa laptops nikiuza Napapata milioni kwa muda wa week moja, mzigo wa simu napata vile vile
 
Back
Top Bottom