TNA
Member
- Aug 24, 2011
- 18
- 3
Mboga ya Kibondei......nyanya chungu, bamia,nyanya, kitunguu,nazi nk
Hivi ni kiipwi au khipwi?
Mboga ya Kibondei......nyanya chungu, bamia,nyanya, kitunguu,nazi nk
Makande ya uwele na juisi ya mwarobaini. Lakini hata uji wa maganda ya maparachichi huwa naupenda sana.
Imbalaga(ndizi) na Ikisambula(kisamvu )au Ilyanyungu(mboga ya maboga) unapokula lazima uhakikishe una mkombe wa maji ya kunywa wa lita 2 ,kwani imbalaga hizo zaidi ya chumvi na maji haziwekwi kitu chochote zinakuwa ngumu kama nondo du kwa hiyo zinakaba koo, kabali za watoto wa Kwa Mtogole ni cha mtoto kwa imbalaga zinavyokaba koo
Mkuu hii inapatikana pande za wapi?ugali unga wa kikobhole na nguniani iliyotiwa kipome hapo mimi mguu juu
Teh teh....hii adhabu sasa
Kitu cha wapi hicho?Kitu cha ngararumo na ngera safi kabisa
Kitu cha wapi hicho?
Dah,kambale tamu yasinda nyama.Matoke ya bukoba na mboju jamii ya kambale awe mbichi ndo apikwe weee na wapakulie kwenye majani ya mgomba!!!
Kwa mzee EL siyo?Kitu cha Monduli hicho
Kitu cha ngararumo na ngera safi kabisa
jamani mambo yote upate mtindi kwa soda ya bariiiiiidi.
Msosi huu lazima uukubali.Asili yake?nikipata ugali wa viazi (UFUGE) na nyama ya kuku wa kienyeji aaaah basi umeniua!
kha sasa wewe sijui ni chakula cha wapi hichojamani mambo yote upate mtindi kwa soda ya bariiiiiidi.
asili yake iringa hiyo mkuu!msosi huu lazima uukubali.asili yake?