Tukumbushie kidogo misosi ya kwetu

Imbalaga(ndizi) na Ikisambula(kisamvu )au Ilyanyungu(mboga ya maboga) unapokula lazima uhakikishe una mkombe wa maji ya kunywa wa lita 2 ,kwani imbalaga hizo zaidi ya chumvi na maji haziwekwi kitu chochote zinakuwa ngumu kama nondo du kwa hiyo zinakaba koo, kabali za watoto wa Kwa Mtogole ni cha mtoto kwa imbalaga zinavyokaba koo

hii adhabu sasa
 
Matoke ya bukoba na mboju jamii ya kambale awe mbichi ndo apikwe weee na wapakulie kwenye majani ya mgomba!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom