X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,817
Ah ah ah ah, deni lako linafanyiwa kazi.Bora nimekukuta hapa for now i remember deni... Aalafu XP
nakubali hio misemo ila tu huo wa zeru zeru ndio niliosema haufai....
Ndio maana nikasema mila zingine (note sio yooote...)
Ilo la zeru zeru, nadhani ujanielewa. jamii nyingi za Kiafrika wanawachukulia mazeruzeru kama raana fulani hivi na ni watu wenye kutia kinyaa, sasa wazee kwa kutaka watu wenye matatizo ya ngozi kama hao waheshimiwe kwenye jamii, ndio wakaja na msemo huo kama unawaonea kinyaa basi temea mate kwenye nguo yako, kitu ambacho kiukweli ni uchafu na wewe utaona kwanini utemee mate nguo yako, then utawaona nao ni watu wa kawaida tu kama wengine.