Serikali imefanikiwa kupata zaidi ya trilioni kadhaa kwa ajili ya mapambano ya uviko 19.
Lakini wanasiasa na baadhi ya viongozi wameanza ufinyangaji wa sheria kwa kisingizio cha haraka ya Mh. Rais.
Tumemuona Mkuu wa Mkoa Shinyanga akifanya hivyo, wakurugenzi, madiwani na hata baadhi ya Wizara.
Watu wanasahau kwamba kuna sheria. Kwenye hili Takukuru amkeni. Huko TAMISEMI ni hatari zaidi. Zipo Taasisi zimejipa mamlaka yasiyo yake.
Rushwa, Rushwa..
Lakini wanasiasa na baadhi ya viongozi wameanza ufinyangaji wa sheria kwa kisingizio cha haraka ya Mh. Rais.
Tumemuona Mkuu wa Mkoa Shinyanga akifanya hivyo, wakurugenzi, madiwani na hata baadhi ya Wizara.
Watu wanasahau kwamba kuna sheria. Kwenye hili Takukuru amkeni. Huko TAMISEMI ni hatari zaidi. Zipo Taasisi zimejipa mamlaka yasiyo yake.
Rushwa, Rushwa..