MNEKI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 992
- 1,310
Hivi karibuni Mwijaku kalizua baada ya video kusambaa ikionyesha watoto wa chuo wakimgombania.
Kwenye malumbano Yao inaonekana mara mwisho Mwijaku alizini na mmoja kati Yao mwanzoni mwa mwezi huu ikiwa ni ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani na mfungo kwaresma pia.
Ikumbukwe ana mke na familia.
Stadi zinaonyesha Kuwa akili au tabia za rafiki zako watano ni akili zako pia.
Yani huna tofauti sana na rafiki zako watano.
Na mwijaku kama tujuavyo ni kipenzi Cha viongozi wakuu wa Serikali pamoja na chama tawala.
Kitendo cha viongozi Wa Serikali kukumbatia watu kama kina Mwijaku kinanipa wasiwasi sana na akili zinazotuongoza.
Viongozi wetu mkumbuke mmeapa kulinda Mila na desturi kwenye Taifa hili hivyo mnahitaji jicho la ziada kuona jinsi gani Serikali INAVYONAJISIWA na na hawa wanaojiita Wasanii au wahamasishaji kwa Kuwa wao ni kioo Cha jamii.
Kwenye malumbano Yao inaonekana mara mwisho Mwijaku alizini na mmoja kati Yao mwanzoni mwa mwezi huu ikiwa ni ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani na mfungo kwaresma pia.
Ikumbukwe ana mke na familia.
Stadi zinaonyesha Kuwa akili au tabia za rafiki zako watano ni akili zako pia.
Yani huna tofauti sana na rafiki zako watano.
Na mwijaku kama tujuavyo ni kipenzi Cha viongozi wakuu wa Serikali pamoja na chama tawala.
Kitendo cha viongozi Wa Serikali kukumbatia watu kama kina Mwijaku kinanipa wasiwasi sana na akili zinazotuongoza.
Viongozi wetu mkumbuke mmeapa kulinda Mila na desturi kwenye Taifa hili hivyo mnahitaji jicho la ziada kuona jinsi gani Serikali INAVYONAJISIWA na na hawa wanaojiita Wasanii au wahamasishaji kwa Kuwa wao ni kioo Cha jamii.