Tukio la mabomu unachotakiwa kujua

Kujiuzuru ni lazima. Kwa maana tukio hilo hilo linajirudia tena na tena. Kwa tafsiri yangu kiongozi husika yaani waziri wa ulinzi kaonesha uwezo mdogo mno wa kusimamia wizara yake. Tukiendekeza hili, tusishangae makubwa yatakayokuja mbele yetu.
 
Hakuna haja ya kuunda tume au baraza la kuchunguza matukio haya. Msemaji wa TPDF Brigedia Shy amemaliza kutoa utafiti wake.

This research stinks.
 
Naamini kama tunaweza kubadili magari ya kifahari kwa ajili ya wabunge na viongozi wengine kila baada ya muda mfupi hatuwezi kushindwa kubadili au kuharibu mabomu yaliyopita muda wake. Mungu tuongoze.
 
upuuzi at max level, we ulitaka na sisi tukashiriki kuyahifadhi hayo mabomu?
 
WANANCHI HATUKO SALAMA TENA NA MALI ZETU, KIIO KILA LEO NA MAYATIMA
KUONGEZEKA HIVYO SERIKALI NZIMA IJIUZULU HATA KABLA YA MAANDAMANO
YA KUTETEA 'UHAI WA WENZETU' KUANZA KOTE NCHINI


Mheshimiwa Kikwete kama amiri jeshi mkuu ajiuzulu pamoja na serikali yake. Jukumu la msingi halijazingatiwa; wananchi hatuko salama!! Tusianze kuzungusha kiswahili hapa ni uhai umepotea kwa uzembe!!! Hawa mayatima wanahitaji sauti zetu!!

Hatutaki tena tume kwa hata kule Mbagala chombo kama hicho hakikutusaidia zaidi ya kuwapa wanasiasa na makampuni ya kibiashara kujinadi kwenye kioo cha televisheni mgongoni mwa msiba na damu kwa wengine.

Jukumu la kwanza la kuhitajika uwepo wa serikali katikati yetu NI KUHAKIKISHA USALAMA KILA MMOJA WETU NA MALI ZETU. Kwa mtaji hizi picha nilizoona, serikali nzima ya CCM ijiuzulu mara moja

Mauaji Arusha walitupuuza kana kwamba kuliuaua nzi tu. Kule kwenye mashamba ya mpunga wala hawakujishughulisha kitu kuwajibika mtu. Sasa kama kweli kuna JAMBO AMBALO KIUKWELI KABISA KINATUHITAJI KUANDAMANA MPAKA KUELEWEKE NI KATIKA KUTETEA UHAI WA WENZETU.

Kama tutaona vifo hivi kama vile ni ya 'akina wale' na kwamba sisi wengine hatuhusiki basi hapo ndipo kiama chetu kinapoanzia. Kwa vifo hivi vyote 17 taifa tumepata yatima wangapiii?????????????
 
Hivi hayo mabomu wanayanunua ya nini kama kuyatunza tu yanawashinda shame on you JK mbona hatujasikia Rwanda,Kenya,Uganda yakilipuka kwa nini ni hapa Tanzania tena Dar pekee ilpotokea Mbagala wakasema haitatokea tena sasa Gongola mbote je?
Hapa lazima watu waonyeshe uwajibikaji huu ni uzembe wa hali ya juu:decision::decision::decision:
 
..inavyoelekea kuna watu ambao hawafuati kanuni za uhifadhi wa hayo mabomu.

..kuna uzembe unaoendelea mahali fulani na kusababisha hayo mabomu yakalipuka.

..madai kwamba raia wamewafuata wanajeshi huko porini walipokuwa wameweka kambi hayana msingi.

..je, ni nani alitoa kibali kwa wananchi kujenga karibu na kambi la jeshi?

..JWTZ nao walichukua hatua na juhudi gani kuzuia ugawaji viwanja karibu na makambi yenye silaha za hatari kama hapo Gongolamboto?

..baada ya wananchi kuwa wameshajenga karibu na kambi la Gongolamboto, JWTZ walichukua hatua gani za kiusalama[safety & security measures] kuepusha ajali kama iliyotokea?
 
Wewe shy ni msen......malizia mwenyewe hata kama nikiongozi umejibadilisha jina ku@;"@&$);:?'#^*#€ma weww huwezi andika as if huelewi sawa wamejenga serikali ilikuwa wapi kuwazuia wasijenge...hala kama wewe si mjinga wa wajinga,wewe umetoa solution ipi kama gharama ya kuhamisha ni kubwa acha kutafuta cheap popularity unakuwa mpumbavu kama si mtanzania unati&$@%^£><<€+=]}a nini? **** mkubwa umeniudhi walai ningekujua nakushoot wacha nikanyeee debe.....
 
hii serikali bwana ni kichekesho kabisa,
nilikuwa naongea na Mwananjeshi mmoja ananiembia kuwa hayo mabomu mengiu yalikuwa ni ya mwaka 1971,1972..etc
inasemekana walikuwa wakipewa pesa kila mwaka kununua mapya na vifaa vingine jamaa wanaweka kibindoni na kuthaminisha hayo yaliyo expire.
Ni uwazi usiopingika kuwa wanajeshi woye walijua kuwa hayo mabomu yangeweza kulipuka mda wowote
hivyo si ajabu wote wakawa wameshakimbia nyumba zao kabla ya mlipuko
wasingeweza kutoa taarifa kwa wannchi kwani waliogopa kujulikana kuwa walijua litatokea na kwa nini walishindwa kuyazuia mapema?
Hivyo hilo lilijulikana, na kama hawajafa ..inawezekana kabisa ikawa hivyo
Hata jamaa yangu kanieleza kuwa hakuna mwanjeshi hata mmoja aliyekufa( unless kama ameniingiza mjini kwa hilo):usa2:
 
Tutaachaje kuilauumu serikali wakati ndiyo inayoongoza na haijawahi kupata kuwepo nyingine baada ya Uhuru? Inamaana kuwepo kwao kuna maanisha nini kama si kuongoza? Na kuoongoza maana yake ni nini si ni pamoja na kupangilia makazi ndani yake kukiwepo ulinzi wa mali na uhai wa raia wake? Si serikali hiihii inayo ratibu vifo na uzazi ama....

Tutaacha kuilaumu iwapo kama kwa miaka kadhaa ya uhuru raia waligoma kulipa kodi ya kufanya shughuli za serikali kama sivyo lawama haikwepeki ndiyo maana waliomba kutuongoza na ulinzi na usalama wa raia na mali zao ni moja la jukumu kuu la serikali; wamebeba hiyo dhamana na hakuna mwingine mwenye hiyo dhamana! Kama watashindwa na kama wataomba kusaidia basi wawapishe wenye uwezo...Roho za binadamu si za kuku ambaye unaweza mchinja saa yeyote ile unapotaka bila kujali vitetea vyake vitabaki vipi let us be serious!
 


unastahili kunyongwa tafadhali jitokeze hadharani kama kweli utanusurika kwa kauli za kijinga kama hizi! Go to hell~
 
Unafuga simba huku humpi nyama ale unategemea aache kukutafuna?
Ni heri hayo mabomu yasinunuliwe mbona yanasababisha hasara kwanza kuyanunua kwa pesa zetu adimu halafu kuua mnunuzi!
Jiulize je hao waliojenga karibu na kambi ni chanzo cha milipuko?
Kwa sababu si hao tu walio umia. haya mabomu yamefika hadi mbezi Tabata na maeneo mengine ya mbali toka glamboto.
Wote tumeumia kwa sababu mabilioni ya pesa yalitumika kununua hayo mabomu. Na mabilioni pia yatatumika kufidia wahanga wa hayo mabomu.
Hapo lazima mtu awajibike tu
ili UZEMBE huu USIJIRUDIE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…