Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Usimtafutie umaarufu , hana lolote zaidi ya kununua kitabu akasome.
View attachment 1126617

Wakuu ni Bernad Membe tena.

Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.

Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.

Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?
 
View attachment 1126617

Wakuu ni Bernad Membe tena.

Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.

Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.

Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?
1127136
 
Kama CHADEMA itampokea membe na kumfanya awe mgombea wao wamekuja urais nitahakikisha wategemezi wangu marafik na majiran nawashawishi tusiipigie kura chadema 2015 sikupga kura sababu ya mamvi
😂😂😂😂 Kule Peramiho ni CCM damu ni ngome ya kijani, Mhagama anauhakika wa kura yako?
 
USIKUTE IMPUTS NYINGI ZA HICHO KITABU NI ZA MEMBE CHEZEA JASUSI MBOBEZ WEYE
Yericko anavyolazimisha watu wanunue kitabu cheke kilichojaa vumbi Amazon usikute alienda kukinadi kwa mbobezi hivyo kapiga picha akijua Membe ni hot cake Masai Mara na TANAPA atavuna wanunuzi wengi kutoka Serengeti sasa
 
Kumbe Sitta alikua akishabikia "ubeberu"??
Wasomi wengi tu hawakukubaliana na Sera ya ujamaa. Ujamaa ulikuwa unafeli kwa kasi ya ajabu kipindi hiko halaf sisi ndio tunaung'ang'ania
 
Huu ni moja ya Uzi wa kipumbafu kabisa, hivi Membe au mwana CCM yeyoye haruhusiwi kuzungumza na MTU wa upinzani? Mbona baadhi ya watu MNA roho za kichawi? Ahadi za TANU na CCM mnazijua?
Kumbuka Mwenyekiti aliwazuia wasiende kumuona lissu hospitali Wala lema gerezani. Hivyo hizo ahadi za TANU/CCM mkamsomee mwenyekiti kwanza
 
Makamanda wamefulia wanakimbilia support ya Makada wa CCM.
 
Membe sina chuki binafsi na yeye lakini hafai kupewa nchi hii. Ataturudisha kwenye serikali dhaifu kama ya kaka yake JK pamoja na mikataba ya ajabu ya kuiua nchi ya Bandari ya Bagamoyo na Gesi. Membe apumzike. Vijana wazuri na makini wa kupewa kazi ya kuiongoza nchi wapo.
JIWE KAUA ZAO LA KOROSHO!

ELEPHANT PROJECT SGR na Stgl Gor...na chato AIRPORT!

KATIKA HILI POMBE LAZIMA IMWAGWE
 
Atakwenda Chadema kuchunguza then anarudi nyumbani kama Mzee Lowasa.
 
Back
Top Bottom