Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Tunajua kuwa ulimpigia muhagama
Kama CHADEMA itampokea membe na kumfanya awe mgombea wao wamekuja urais nitahakikisha wategemezi wangu marafik na majiran nawashawishi tusiipigie kura chadema 2015 sikupga kura sababu ya mamvi
 
JIWE KAUA ZAO LA KOROSHO!

ELEPHANT PROJECT SGR na Stgl Gor...na chato AIRPORT!

KATIKA HILI POMBE LAZIMA IMWAGWE
Ni sawa. Sijasema habari ya kumwaga pombe au la! But nimetoa maoni yangu kuwa Membe hafai kupewa nchi hii kwa sasa. Ataturudisha katika zama zile zile za nchi kuliwa kama shamba la bibi. Gesi tumelizwa, Mradi wa kunyonga wa Bandari ya Bagamoyo, ESCROW n.k
Tuna vijana wazuri wa kusukuma hii nchi baada ya Magufuli, siyo Membe.
 
Ni sawa. Sijasema habari ya kumwaga pombe au la! But nimetoa maoni yangu kuwa Membe hafai kupewa nchi hii kwa sasa. Ataturudisha katika zama zile zile za nchi kuliwa kama shamba la bibi. Gesi tumelizwa, Mradi wa kunyonga wa Bandari ya Bagamoyo, ESCROW n.k
Tuna vijana wazuri wa kusukuma hii nchi baada ya Magufuli, siyo Membe.
POMBE LAZIMA IMWAGWE 2020 HAMNA NAMNA! MEMBE IS MATERIAL CANDIDATE 2020 .
 
Kwahiyo walioko nje ya CCM hawako salama
Jiulize mwenyewe utapata majibu sahihi, na utajua kwa nini walioenda nje ya CCM wanarudi. They r more safe in CCM than being outside CCM. To be safe I mean they have peace of mind being in CCM than outside CCM. They grew up in CCM make friends with CCM outside CCM is a new life, new friends it takes time to accommodate and assimilate the charges
 
Ni sawa. Sijasema habari ya kumwaga pombe au la! But nimetoa maoni yangu kuwa Membe hafai kupewa nchi hii kwa sasa. Ataturudisha katika zama zile zile za nchi kuliwa kama shamba la bibi. Gesi tumelizwa, Mradi wa kunyonga wa Bandari ya Bagamoyo, ESCROW n.k
Tuna vijana wazuri wa kusukuma hii nchi baada ya Magufuli, siyo Membe.
Hivi kwa sasa hailiwi kwani?
 
View attachment 1126617

Wakuu ni Bernad Membe tena.

Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.

Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.

Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?
Biashara hiyo hapi kuna mwuzaji na mnunuzi hayo mengine hisia tu ila siyo mbaya kufikiri nje ya box
 
Jiulize mwenyewe utapata majibu sahihi, na utajua kwa nini walioenda nje ya CCM wanarudi. They r more safe in CCM than being outside CCM. To be safe I mean they have peace of mind being in CCM than outside CCM. They grew up in CCM make friends with CCM outside CCM is a new life, new friends it takes time to accommodate and assimilate the charges
This is not what you intended... Do not mislead people
 
This is not what you intended... Do not mislead people
What did I intend as per your dream? And why should I mislead people on my own thinking? Probably your the one who wanted to mislead people by trying to interpret what I wrote instead of asking me. I wrote a statement and I left it into juxtaposition to let the readers judge but you wanted more and I put my position so what’s wrong with that
 
Back
Top Bottom