Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

Kama CHADEMA itampokea membe na kumfanya awe mgombea wao wamekuja urais nitahakikisha wategemezi wangu marafik na majiran nawashawishi tusiipigie kura chadema 2015 sikupga kura sababu ya mamvi
Ni TUNDU TUU
 
Ukweli mchungu ni kuwa hakuna atakayegombea kupitia CHADEMA na akashinda uchaguzi. Haitowezekana hata Kama asilimia 99.9 wataipigia kura CHADEMA

KUMBUKA PIA kuwa MATOKEO YA URAIS YAKISHATANGAZWA hayatakiwi kuhojiwa popote pale. Pamoja na yote lakini Mwalimu NYERERE pia alituletea katiba ya hovyo Sana. Katiba inayotufanya tufungwe kwenye udikteta.

Hivyo Basi namshauri Membe akomae huko huko CCM. CHADEMA pia wakomae na TAL
Wakuu ni Bernad Membe tena.
Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.
Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.

Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?
 
Ukweli mchungu ni kuwa hakuna atakayegombea kupitia CHADEMA na akashinda uchaguzi. Haitowezekana hata Kama asilimia 99.9 wataipigia kura CHADEMA

KUMBUKA PIA kuwa MATOKEO YA URAIS YAKISHATANGAZWA hayatakiwi kuhojiwa popote pale. Pamoja na yote lakini Mwalimu NYERERE pia alituletea katiba ya hovyo Sana. Katiba inayotufanya tufungwe kwenye udikteta.

Hivyo Basi namshauri Membe akomae huko huko CCM. CHADEMA pia wakomae na TAL
Kosa si la Nyerere kosa ni letu kuendelea kuiridhia KATIBA hilo rabda kwa wakati wake ilibidi iwe hvyo
 
Hahahaha acheni kumdhalilisha Membe kwa kiwango hiki jamani, hivi kweli Chadema imtume Yericko akaongee na Membe?
 
Hahahaha acheni kumdhalilisha Membe kwa kiwango hiki jamani, hivi kweli Chadema imtume Yericko akaongee na Membe?
Unamchukuliaje yeriko mkuu, yeriko amekosa cheo tu lakini ni mmoja kati ya wanachadema wenye akili kubwa mno, sasa membe atashindwaje kukutana na mtu mwenye akili kubwa mno! Ndio maana mpaka kitabu amenunua
 
Kwa Nini alijiwekea hivyo??? Ina maana hata wakati wake Mwalimu hakupenda challenge na alikuwa tayari kupora ushindi dhidi ya "kivuli"
Kosa si la Nyerere kosa ni letu kuendelea kuiridhia KATIBA hilo rabda kwa wakati wake ilibidi iwe hvyo
 
Wakuu ni Bernad Membe tena.
Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.
Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.

Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?
Kuatafuta mshenga
 
Yeriko pia alikutana na masanja mkandamizaji alikuwa anamaanisha Nini?

Yeriko nibmfanyabiashara Kama mtu Mwingine mwenye wateja wa vyama vyote,makabila yote ,,rangi zote na Dini zote.


Sasa ulitaka asifanye biashara na Membe kiss NI mwanasisiemu?

Benard Membe Mimi simkubali kabisaa, Alitaka kuingiza Nchi kwenye Nchi za Kiislamu. kiss misaada .

Mbona RAIS Magufuli anaendesha Nchi na Hana misaada na mishahara inapatikana hospital zinajengwa, n.k?

Membe akagombee uwakilishi wa tawi la C.C.M .Kwenye urais hafai. TUNATAKA Rais Kama Magufuli mwenye uwezo wa kuwakabili wazungu wazi wazi bila kupepesa macho Kama Membe alivyotaka kuiunganisha Nchi kwenye OIC Kiss Zanzibar ipokee misaada mwisho wa siku Sharia zingeanza kutumika hata kwa wasio wa Islamu.
 
Yeriko Ni machinga huwa anazunguka kuuza kitabu chake .Kuna siku alienda ofisi ya CCM lumumba ila hakuuza alitoa bure.Hapo alienda kuuza,Anyway biashara ya vitabu Ni ngumu sababu watanzania hawana utamaduni wa kusoma vitabu.Ukiona anasoma Ni vya shule au chuo.Hivi vya ziada Wala hawana mpango
 
Yeriko pia alikutana na masanja mkandamizaji alikuwa anamaanisha Nini?

Yeriko nibmfanyabiashara Kama mtu Mwingine mwenye wateja wa vyama vyote,makabila yote ,,rangi zote na Dini zote.


Sasa ulitaka asifanye biashara na Membe kiss NI mwanasisiemu?

Benard Membe Mimi simkubali kabisaa, Alitaka kuingiza Nchi kwenye Nchi za Kiislamu. kiss misaada .

Mbona RAIS Magufuli anaendesha Nchi na Hana misaada na mishahara inapatikana hospital zinajengwa, n.k?

Membe akagombee uwakilishi wa tawi la C.C.M .Kwenye urais hafai. TUNATAKA Rais Kama Magufuli mwenye uwezo wa kuwakabili wazungu wazi wazi bila kupepesa macho Kama Membe alivyotaka kuiunganisha Nchi kwenye OIC Kiss Zanzibar ipokee misaada mwisho wa siku Sharia zingeanza kutumika hata kwa wasio wa Islamu.
Fanya utafitu usibwabwa kama MPUMBAFU kafanye research uone Nchi zilizoomo kwenye OIC
Kuna nchi za ulaya zimo OIC ktk AFRICA YA MASHARIK Uganda imo OIC na inawaislam wachache kuliko Tangannyika
Na mpka leo mbn hsitawaliwi kiislam
BAADHI WAKATI UWEUNANYAMAZA KUFICHA UJINGA WAKO
Upande mwengine walisapoti jiwe coz anawabia ukweli wazungu kwa wazungu gani?? Na anatumia lugha gani
Kikubwa mm ninacho kiona ni kuitayarisha CHATO kuwa Mjim mkubwa wa kibiashara badala ya Dar
 
Back
Top Bottom