Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,577
- 14,338
Wakuu ni Bernad Membe tena.
Mwanadiplomasia nguli na waziri wa mambo ya nje wa serikali ya awamu ya nne amekutana na kufanya mazungumzo na kada mtiifu pia mwanaharakati mbobevu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere.
Membe anayetajwa tajwa kutimkia CHADEMA iwapo hatapitishwa kugombea urai ndani ya CCM mwakani pia amenunua kitabu maarufu cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi kutoka kwake Yericko Nyerere.
Je hii tafsiri yake ni nini?
Safari ya Membe kwenda CDM imeshaanza?