Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,529
- 27,584
Lakini ni ngumu kupata ujasiri huo au kuwatuliza wenzio. Ngumu sana asikuambie mtu. Wengi hatuwezi.Hapo kwa namna flan nimekusoma mkuu
Lakini ni ngumu kupata ujasiri huo au kuwatuliza wenzio. Ngumu sana asikuambie mtu. Wengi hatuwezi.Hapo kwa namna flan nimekusoma mkuu
Yaaps hilo swala la Kuwaokoa wenzio Katika hali km hio labda km utakua na namna ya kujikinga ukishindwa utabaki ukiumia tuu km n binadam, ila km n mtu utaona sawa tu.Lakini ni ngumu kupata ujasiri huo au kuwatuliza wenzio. Ngumu sana asikuambie mtu. Wengi hatuwezi.
Naona mada imehama..imekua ni kupeana pole kwa kupotelewa na wazazi..anyways labda sijaelewa.
Spare my ribs hahhahahahaa Umenichekesha sana mkuu hahahah dahAcha kujitoa akili kijana. Tunapokea matukio ktk hali tofauti,acha kumcrash mwenzio.
Wewe unataka mtu aelezee tukio litakalo kusisimua mwili zzzz kwani umeambiwa tunapigana shot hapa?
Hapa mkuu umenena. Maana varangati la simba wenye nia ya kuua ili wale ni stori ingine kabisa. Yaani kama ni sanctioned hunters, kwenye situations ka hizo kinachowaokoa ni kupiga risiti juu kwa rifle kama kuwatisha na hii mara nyingi husaidia. Ila mikono mtupu na ni ghafla bin vuu asee hata kama mko 4 mlioshiba hao simba wa2 wanaweza wageuza vitoweo kiutaniutani tu.Lakini ni ngumu kupata ujasiri huo au kuwatuliza wenzio. Ngumu sana asikuambie mtu. Wengi hatuwezi.
Chekini mbumbumbu mwingine huyu hapa...
Tarehe ngapi jombaa!!!!
Chekini mbumbumbu mwingine huyu hapa...
Tarehe ngapi jombaa!!!!
Acha masihara na simba wewe.Wewe ni mtu wa hovyo kabisa yaani Ndugu zako wanatafunwa na Simba unaangalia tu bila hata kupiga makelele au kurusha hata udongo au kuwakojolea hao Simba, RIP Ndugu wa huyu jamaa
Inasikitisha..Mm ni 208 /10/15 usiku saa 2 usiku kupewa taarifa ya kifo cha mchumba wangu, mbaya zaidi sikufanikiwa hats kushiriki maziko zaidi ya kuhani msiba baada ya kama miezi mitatu,ndani ya wiki niliisha mwili
Ushaambiwa mauza uza ya kijiji.mkuu simba anakula kama paka yaan kidogokidogo na anakula maeneo ya utumbo anaweza kuamua kuburuza maiti mpaka kwa watoto wake kama anao au kama hana ataweka makaz ya mda siku nzima akila mpaka atakaporidhika na kuwaachia tai au fisi maana hua wanarukaruka pemben kusikilizia mnuso sasa simba wawili wale watu watatu si kweli tena fasta

Wabongo bwana...
Ili mradi tu na wewe uonekane una kitu special...
Kwahiyo kila mtu aliyefiwa na mama yake aje hapa aanze kulia lia kama wewe then watu wampe pole!!
Si tutapeana pole jukwaa zima sasa!!
Kufiwa na mama watu kibao tumefiwa bwana, wala sio jambo eti special kiviiile mpaka uanze kutoa makamasi...
Tunataka tukio special, ambalo ukisimulia miili yetu isisimke zzzzzz!!
Halafu mijitu humu ilivo mbumbumbu eti inakupa pole..
Mie hata sikupi pole.
Jinsi ya kujiokoa ukikutana na simba
How to Survive a Lion Attack
How to Survive a Lion Attack | Smart News | Smithsonian
Mwisho angalia umuhimu wa kuondoa woga na kujiamini
Hahaaa...sura zao si kama za hao 15 waliofukuzwa kama paka wakanyang'anywa msosi wao na watu watatu tu.Bro unaijua sura ya simba wa porini lkin
Mengine labda vipapai,wamewawekea simba marinjirinjiHahaaa...sura zao si kama za hao 15 waliofukuzwa kama paka wakanyang'anywa msosi wao na watu watatu tu.