Tukio ambalo sitoweza kulisahau daima

KIBITI BOYZ

Member
Mar 31, 2017
14
32
HESHIMA KWENU WANAJUKWAA.

Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro.

Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na kutumia nyasi kama ukuta na juu nkuezeka kwa nyasi, walikuwa simba wawili na sisi ndani tulikuwa watu wanne, punde tukajikuta katika shambulio nashukuru nifakiwa kupanda juu ya kitanda chetu cha miti na kupanda juu ya nguzo moja wapo ya kile kinyumba chetu.

Huku nikiwa juu nilishuhudia simba wakiwatafuna wale ndugu zangu bila huruma hadi kuwaua wote watatu na kuwatafuna na kubakiza mabaki kama ngozi, fuvu la kichwa na miguu na mikono kwa wote. Walipomaliza wakaingia huku na kule na kutoka nje ya nyumba baadae mmoja akarudi ndani na kutoka pia wale simba walienda kuvamia nyumba zingine mbili.

R.I.P ALL.

JE WEWE MWENZANGU NI TUKIO LIPI AMBALO HUTOWEZA KULISAHAU?

Karibu
 
Nakumbuka siku kama ya leo tarehe 21/04/2016 nilikuwa katika mtihani mzito ambao sitakuja usahau katika maisha yangu yaliyobakia hapa duniani, Niliondokewa na mama yangu mzazi Duniani tarehe 19/04/2016 na tulimzika tarehe 21/04/2016 mkoani Tanga Wilayani Muheza. Ndugu zangu had leo hii sina mama mwenzenu, kitu hiki kinaniumiza sana katika maisha yangu ya kila siku. Siwezi kusahau na huwa halinitoki moyoni. Naumia sana. Bali namuomba mwenyezi mungu amuepushe na adhabu ya kaburi na amuwekee mwanga katika kaburi lake. "Ameen"
 
Nakumbuka siku kama ya leo tarehe 21/04/2016 nilikuwa katika mtihani mzito ambao sitakuja usahau katika maisha yangu yaliyobakia hapa duniani, Niliondokewa na mama yangu mzazi Duniani tarehe 19/04/2017 na tulimzika tarehe 21/04/2017 mkoani Tanga Wilayani Muheza. Ndugu zangu had leo hii sina mama mwenzenu, kitu hiki kinaniumiza sana katika maisha yangu ya kila siku. Siwezi kusahau na huwa halinitoki moyoni. Naumia sana. Bali namuomba mwenyezi mungu amuepushe na adhabu ya kaburi na amuwekee mwanga katika kaburi lake. "Ameen"
Pole sana mkuu Gololi one

R.I.P-MAMA
 
HESHIMA KWENU WANAJUKWAA.

Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro.

Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na kutumia nyasi kama ukuta na juu nkuezeka kwa nyasi, walikuwa simba wawili na sisi ndani tulikuwa watu wanne, punde tukajikuta katika shambulio nashukuru nifakiwa kupanda juu ya kitanda chetu cha miti na kupanda juu ya nguzo moja wapo ya kile kinyumba chetu.

Huku nikiwa juu nilishuhudia simba wakiwatafuna wale ndugu zangu bila huruma hadi kuwaua wote watatu na kuwatafuna na kubakiza mabaki kama ngozi, fuvu la kichwa na miguu na mikono kwa wote. Walipomaliza wakaingia huku na kule na kutoka nje ya nyumba baadae mmoja akarudi ndani na kutoka pia wale simba walienda kuvamia nyumba zingine mbili.

R.I.P ALL.

JE WEWE MWENZANGU NI TUKIO LIPI AMBALO HUTOWEZA KULISAHAU?

Karibu
Pole sana mkuu KIBITI BOYZ

R.I.P-ALL
 
Nakumbuka siku kama ya leo tarehe 21/04/2016 nilikuwa katika mtihani mzito ambao sitakuja usahau katika maisha yangu yaliyobakia hapa duniani, Niliondokewa na mama yangu mzazi Duniani tarehe 19/04/2017 na tulimzika tarehe 21/04/2017 mkoani Tanga Wilayani Muheza. Ndugu zangu had leo hii sina mama mwenzenu, kitu hiki kinaniumiza sana katika maisha yangu ya kila siku. Siwezi kusahau na huwa halinitoki moyoni. Naumia sana. Bali namuomba mwenyezi mungu amuepushe na adhabu ya kaburi na amuwekee mwanga katika kaburi lake. "Ameen"


Amiin ya Rabb. Pole sana Ndugu yangu.
 
HESHIMA KWENU WANAJUKWAA.

Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro.

Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na kutumia nyasi kama ukuta na juu nkuezeka kwa nyasi, walikuwa simba wawili na sisi ndani tulikuwa watu wanne, punde tukajikuta katika shambulio nashukuru nifakiwa kupanda juu ya kitanda chetu cha miti na kupanda juu ya nguzo moja wapo ya kile kinyumba chetu.

Huku nikiwa juu nilishuhudia simba wakiwatafuna wale ndugu zangu bila huruma hadi kuwaua wote watatu na kuwatafuna na kubakiza mabaki kama ngozi, fuvu la kichwa na miguu na mikono kwa wote. Walipomaliza wakaingia huku na kule na kutoka nje ya nyumba baadae mmoja akarudi ndani na kutoka pia wale simba walienda kuvamia nyumba zingine mbili.

R.I.P ALL.

JE WEWE MWENZANGU NI TUKIO LIPI AMBALO HUTOWEZA KULISAHAU?

Karibu
Wewe yaani Ndugu zako wanatafunwa na Simba unaangalia tu bila hata kupiga makelele au kurusha hata udongo au kuwakojolea hao Simba, RIP Ndugu wa huyu jamaa
 
HESHIMA KWENU WANAJUKWAA.

Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro.

Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na kutumia nyasi kama ukuta na juu nkuezeka kwa nyasi, walikuwa simba wawili na sisi ndani tulikuwa watu wanne, punde tukajikuta katika shambulio nashukuru nifakiwa kupanda juu ya kitanda chetu cha miti na kupanda juu ya nguzo moja wapo ya kile kinyumba chetu.

Huku nikiwa juu nilishuhudia simba wakiwatafuna wale ndugu zangu bila huruma hadi kuwaua wote watatu na kuwatafuna na kubakiza mabaki kama ngozi, fuvu la kichwa na miguu na mikono kwa wote. Walipomaliza wakaingia huku na kule na kutoka nje ya nyumba baadae mmoja akarudi ndani na kutoka pia wale simba walienda kuvamia nyumba zingine mbili.

R.I.P ALL.

JE WEWE MWENZANGU NI TUKIO LIPI AMBALO HUTOWEZA KULISAHAU?

Karibu
pole sana Mungu anakusudi na wewe bado
 
HESHIMA KWENU WANAJUKWAA.

Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro.

Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na kutumia nyasi kama ukuta na juu nkuezeka kwa nyasi, walikuwa simba wawili na sisi ndani tulikuwa watu wanne, punde tukajikuta katika shambulio nashukuru nifakiwa kupanda juu ya kitanda chetu cha miti na kupanda juu ya nguzo moja wapo ya kile kinyumba chetu.

Huku nikiwa juu nilishuhudia simba wakiwatafuna wale ndugu zangu bila huruma hadi kuwaua wote watatu na kuwatafuna na kubakiza mabaki kama ngozi, fuvu la kichwa na miguu na mikono kwa wote. Walipomaliza wakaingia huku na kule na kutoka nje ya nyumba baadae mmoja akarudi ndani na kutoka pia wale simba walienda kuvamia nyumba zingine mbili.

R.I.P ALL.

JE WEWE MWENZANGU NI TUKIO LIPI AMBALO HUTOWEZA KULISAHAU?

Karibu


Ndugu yangu kama ni kweli pole sana. Ila napata mashaka, yani umejiokoa na ukawaacha ndugu zako tena wa damu wakitafunwa na wewe umetulia tu unawaangalia? Dah.
 
Nakumbuka siku kama ya leo tarehe 21/04/2016 nilikuwa katika mtihani mzito ambao sitakuja usahau katika maisha yangu yaliyobakia hapa duniani, Niliondokewa na mama yangu mzazi Duniani tarehe 19/04/2017 na tulimzika tarehe 21/04/2017 mkoani Tanga Wilayani Muheza. Ndugu zangu had leo hii sina mama mwenzenu, kitu hiki kinaniumiza sana katika maisha yangu ya kila siku. Siwezi kusahau na huwa halinitoki moyoni. Naumia sana. Bali namuomba mwenyezi mungu amuepushe na adhabu ya kaburi na amuwekee mwanga katika kaburi lake. "Ameen"
 
rafiki yangu mwanamke ambae nilimtelekeza akiwa mjamzito walinichezea picha ambalo sitalisahau.....nlitelekeza ujauzito ila baada ya miaka mitatu rafiki yangu alinambia kuna swahiba wake amemualika katika birthday mtoto wake so aliomba nimsndikize nami nkakubali...dah nlichokutana nacho ni moja ya vitu sitosahau yani nihudhulia birthday ya kijana wangu kama mgeni,nkashangaa kuskia mc anaita majina yngu ya utani baba wa mtoto kwa jina langu nlipoangaza vzur ndipo namwona mtoto mwenye birthday akiwa na mama yake,mtoto alikuwa copy yangu yan nlijikutanakosa nguvu hata ya kusema samahan
nakumbukanilipolud niliwaelezadada zangu na mama mdgo yaliyonikutahuku mwanaume chozi likinitoka ila wao kutokana na mshangao walijikuta wakicheka midomo wazi almost siku wiki nzima,ilikuwa nimoja ya aibu kubwa sana katika ujana wangu hadi leo huwa nikimchek kijana wangu huwa najikuta najicheka
 
Wewe ni mtu wa hovyo kabisa yaani Ndugu zako wanatafunwa na Simba unaangalia tu bila hata kupiga makelele au kurusha hata udongo au kuwakojolea hao Simba, RIP Ndugu wa huyu jamaa
Ndugu yangu kama ni kweli pole sana. Ila napata mashaka, yani umejiokoa na ukawaacha ndugu zako tena wa damu wakitafunwa na wewe umetulia tu unawaangalia? Dah.
Nimeshikwa na hasira na comment zenu nyie jamaa bila kujali kama mleta mada habari yake ni ya kweli au sio. Kuweni waungwana na wenye kufikiria kabla ya kuongea. Kupona kwake ni kama muujiza. Kama watu watatu walioliwa wameshindwa kupambana na simba wawili je yeye mmoja angeweza kweli? Sio kila jambo mnaleta mzaha. Kuna kiwango cha mwisho cha ujasiri hasa kama umeshitukizwa hauna silaha.
 
Kitu kimoja pekee kingeweza kuwaokoa ni ummoja na kujiamini. Wangefanya formation ya defence kama wafanyavyo zebra kuwekeana migongo mkiwatazama simba, simba wangeogopa kuwashambulia lakini ni kama wangekuwa ktk eneo wazi nje ya kibanda. Kama waliwaona simba ndio wakakimbilia ndani basi hilo ndio lilikuwa kosa lao kubwa. Simba walishajua jamaa ni waoga hawawezi kudhuru hao simba. Simba mwoga pia lakini ujasiri wa kutowaogopa ni lazima ufundishwe au Siku hiyo Mungu akupe huo ujasiri ili ukuokoe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom