Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Najua historia ina mambo mengi na mtu mmoja hawezi elezea yote. Tuelezee sehemu unayoifahamu. Mkusanyiko ukiwa mkubwa tutapata mwanga.
Tujuzane kuhusu historia ya elimu, siasa, uchumi, ulinzi, biashara, kilimo, dini, bunge, mahakama, habari, teknolojia, haki, ufugaji, uvuvi, uhalifu, madini, afya, mahusiano ya kimataifa, fashion, matukio, chakula
utalii nk.
Kama unajua chochote kila au ulishuhudia chochote kile na unaona kinafaa kuwepo kwenye historia ya Tanzania toka tupate uhuru, tujulishe wenzako.
Tujuzane kuhusu historia ya elimu, siasa, uchumi, ulinzi, biashara, kilimo, dini, bunge, mahakama, habari, teknolojia, haki, ufugaji, uvuvi, uhalifu, madini, afya, mahusiano ya kimataifa, fashion, matukio, chakula
utalii nk.
Kama unajua chochote kila au ulishuhudia chochote kile na unaona kinafaa kuwepo kwenye historia ya Tanzania toka tupate uhuru, tujulishe wenzako.