Tujulishane tabia za wachaga

If is a little smart will get you, otherwise he'll end up much stressed!
Kuna Kabila zaidi ya 120 hapa tz, si uangalie fursa kwingine Kama unaona uchagani unaona hapafai!
 
Wachagga wanapenda hela
 
Jamani,
Mimi ni m2 wa Mbeya,nina kazi ya uhakika nahitaji kuoa na nimekutana na wadada wengi ambao ni level yangu kielimu lakini sijaona ambae anaupendo na mimi.

Recently,nimekutana na mtoto wakichanga ambae ninaona kama unaupendo na mimi toka moyoni,sijamwambia intention yangu lakini naona kama ananifaa japokua kuna difference kubwa kishule though its not an issue kwangu.

Maisha yangu yote sijawahi kufikiria kuoa uchagani kwa sababu ninazozijua mimi lakini baada ya kukutana na huyu naomba kama niko mbioni.Ebu nisaidieni jamani what should I expect from those ends?
 
Hakuna kabila lenye wanawake wazuri kama wachaga,eti hafai kwanza ni watafutaji sana wanajua bajet hawapendi starehe!!uko hapo mleta mada
 
Wachaga wana juhudi sana ktk mambo ya maendeleo pia wengi wao ni wazuri wa sura,ILA kiukweli wamachame wana hasira sana na ukatili,wamarangu wengi ni wasomi na wengi wao wana dharau,nina ushahidi kabisa ktk hayo,mshauri kama ni kuoa akaoe Mrombo.
kaka ushauri mzuri sana huu.
Msikilize huyu jamaa
 
Una Toyota Strauss(gari ya kubeba mizigo) au kabati ya mbeu(friji)? Je sim banking( mbesa-fweza)? Kama una vyote jipange vizuri mjomba use common sense kuoa huko. They are very sensitive kwenye cash.
 
Jiandae kupewa kiwanja cha bure kwenye shamba LA wakwe huko moshi. Baada ya hapo uwe tayari na hela ya kujenga mjengo wa maana ili muwe mnafikia mnapokwenda kuhiji au kuhesabiwa mwezi disemba ili kuficha aibu.
Mwisho uwe na hela au biashara ya kueleweka ili mpate hela ya kununua kitimoto na bia kila wiki.
Namaliza kukutahadhalisha na mashemeji kuja kuishi kwenu ili uwapige tafu wakiwa wanatafuta ramani ya mbesa.
 
Wanawake wa Kichagga ni hasa wa Machame ni noma. Wanatabia ya kuwaibia waume zao hela majumbani wabaya sana sana kwa upande wa mambo ya hela wanaweza hata kuku R I P
 
MKUU, HONESTLY wanawake wa kichaga mwanzoni wakati mnaanza uhusiano unaweza ukampenda sanaa na ukamwamini kwani wanajua sana kupretend ili tu waolewe, na wanapenda kuharakisha ndoa ili usimsome sana.

ILA utakuja kumfahamu vizuri kitabia na kuona makucha yake ukishamuoa na kumwandikishia mali au uhusiano ukikomaa sana.

Huo ndio ukweli.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…