Tujitahidi tusiwe single mpaka uzeeni

Soma post zake anajifanya mtakatifu Sana
Kwa wanawake kumbe kuna mtu anaviziwa

We check wanawake wanavo msifu kwa nyimbo na mapambio
ha ha ha naamini wote wako mature watakayoyaamua wameamua wao...hayo ndio maisha mkuu
 
Makosa gani yanaweza kuvumilika?
Navyodhani anything apart from usaliti na vipigo...

I thnk ts wise kuvunja ndoa ama mahusiano in an event of infidelity or physical abuse

Mengine sijui hajibu msgs.,hamtoki out,anakujibu vibaya,hamfanyi tendo nk nk jipe mda kidogo uyarekebishe
 
Single maza wanapondwa humu tu kitaa ndo wanaongoza kwa kuolewa
 
Navyodhani anything apart from usaliti na vipigo...

I thnk ts wise kuvunja ndoa ama mahusiano in an event of infidelity or physical abuse

Mengine sijui hajibu msgs.,hamtoki out,anakujibu vibaya,hamfanyi tendo nk nk jipe mda kidogo uyarekebishe
Mahusiano yanahitaji busara sana
 
Ngoja niwaweke kwenye maombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…