mkuu nipo mwanza nina shida sana na kitabu hiki, nisaidie nakipataje?
Kaburi bila msalaba!kuna kimoja cha kenya kuhusu mambo ya ujasusi...sikumbuki jina vizuri..NURU GIZANI,,,na kingine MAITI BILA KICHWA,,,,
Nakumbuka inkosikazi,namkumbuka makumazanSolais bibi wa usiku alikuwa anapendwa sana na Sir Good wakati Henry alimpenda sana Nyleptha,.Unamkumbuka Mtoto Flosie pale mji wa mission?Vipi pale mtumbwi wao ulivyochukuliwa na mto wa chini ya ardhi?Unakumbuka kisa cha wale viboko?
naomba kama unacho cha hofu cha jembe willy gamba naomba ndg nicheki kwa 0712905393 hii namba plz
kuna kimoja cha kenya kuhusu mambo ya ujasusi...sikumbuki jina vizuri..NURU GIZANI,,,na kingine MAITI BILA KICHWA,,,,
Simu ya kifo mtunzi nimemsahau jina
Kibanga ampiga mkolon
Anaitwa Faraji H. H. Katalambula
Hivi inkubu ndo alikua nani vile?Solais bibi wa usiku alikuwa anapendwa sana na Sir Good wakati Henry alimpenda sana Nyleptha,.Unamkumbuka Mtoto Flosie pale mji wa mission?Vipi pale mtumbwi wao ulivyochukuliwa na mto wa chini ya ardhi?Unakumbuka kisa cha wale viboko?
hiki ndio kitabu bora Tanzania Hakijapata Kutokea Mpaka Leo ``HOFU`` kimeandikwa na A.E.MUSIBA muhusika mkuu katika kitabu hiki anaitwa WILLY GAMBA,kilichapishwa 1988 ni kizuri sana kwa wale wanaokijua na kama hauna naweza kukupa ukitoe copy ukakisome maana hakipatikaniki