DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Paulo mchafu.
Emil and Detectives
Chopeko na mnofu, Sadiki na Sikiri(Chitemo), Jogoo na Pazi, Hawafu mwenye nguvu, Juma na Uledi, Tegeki na Nembo, Moyo na Ndevu, Kibo na Mawenzi, Ali Mtoto Mtundu, Siku ya gulio Katerero, Kuku na Kanga, Mbwa na Paka, Sungura na Fisi(Chawote), Mfalme ana masikio marefu kama ya Punda, Kijiji cha Ujamaa, Mua uliozamisha meli n.k
Paulo mchafu.
Manenge na Mandawa.
Karudi baba mmoja.
Katiba ya ccm/ somo la siasa.
MY TAKE:sred kama hii iliwahi kutokea humu. Wasubiri wazee wa kuzodoa.
Nani anakumbuka kijitabu kimoja kilikua kinasema Mgeni siku ya KWANZA mpe sijui wali na nyama, Mgeni siku ya PILI sijui nini nini... Nakumbuka tu Mgeni siku ya SABA mpe JEMBE akalime! Loh!