Nani anakumbuka Pajero??Mimi nakumbuka pajero zinaingia nilikuwa Arusha aliyekuwa anamiliki pajero ya kisasa ni mkurugenzi wa AICC!na baadhi ya wahindi!hapo nimwaka 1989!kumbuka na wewe!
Nakumbuka Wabunge walipewa Pajero 1985 wakiziita intercooler bana! aaaaisee tulizoea kuziona mandolini 109 tu ilikuwa balaa!! miaka hiyo Nikiwa nyumbii bombii wakati ule mbunge wetu pale town akiwa yule msomali aliyekamatwa na meno ya tembo palikuwa hapatoshi mjini. Kuna dogo mmoja mjomba wake alikuwa anakuja nayo toka Dar! basi ule uwepo ru wa intercooler pale kwao, dogo aliwatafuna kitaa, kila demu anampa tu bureee hahahh
Nakumbuka kwetu Makete magari ya chama hasa 1990 ndo yalikuwa pajero. Madereva wake walichezea sana vibinti lakini mwisho wa siku wote ni rutuba ya udongo(marehemu) chezea UKIMWI.
Mie naikumbuka Pajero, bar bubu ya mtaa wa Livingstone Dar, ipo mpaka leo bubu hivyohivyo. Kabla haijawa bar bubu na kabla Mzee Mwinyi hajaukwaa Urais alisha kaa hapo na Bi Khadija.
Kuna kabinti under 18 level ya Primary School enzi hizo kalikuwa kanagawa uroda kama hakana akili nzuri vile, vijana wakakapa jila la Pajero.........Mpaka leo hii kameolewa maeneo ya Tandika lakini kakiibuka uswazi watu wanaendelea kukaita Pajero, sijajua connection ya jina hilo na tabia ya hako kabinti.............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.