Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Enzi hizo ukiongea na mkuu wako mikono nyuma,siku hizi watunatupa mikono kama waimba bongo fleva.
Heshima mbele!!!![]()
Nadhani fegi nazo zina kamchango fulani!warioba ni mzalendo au afya sio murua?
Na kagongo ka kienyeji nasikia pia anagonga kiana.Nadhani fegi nazo zina kamchango fulani!
Heshima mbele!!!![]()
warioba ni mzalendo au afya sio murua?