Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
aah! Kweli mzee mwenzetu hard disc yako bado nzima maana imetunza hazina kubwa namna hiyo...umenikumbusha kweli enzi za mwalimu ambapo elimu ilikuwa na hazina ya kutosha na vitu vingi vya kukumbuka. Asante sana!