Tujikumbushe jinsi Hayati Magufuli alivyokataa pesa za Matajiri akiwemo Mzee Mengi katika kampeni zake

Tujikumbushe jinsi Hayati Magufuli alivyokataa pesa za Matajiri akiwemo Mzee Mengi katika kampeni zake

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
Wazungu wanamsemo wao unasema " Scratch my back I Scratch yours " hii kwa kiswahili inaitwa nipe nikupe.

Hicho ndo maCCM wanafanya dhidi ya matajiri. Je watakuja kulipa nini. Wakikwepa kodi or whatever watawafanyaje?

Wafanyabiashara wa kiafrika wanamakandokando mengi sana ukiwachekea utavuna mabua.


 

Attachments

  • VID-20250814-WA0010.mp4
    5 MB
Magufuli Alikuwa anaona mbali sana, ukishachangiwa michango na mtu yeyote tegemea na wewe watataka urudishe fadhila kwao,hawa wafanyabiashara tegemea watakwepa sana kodi na wengine watasamehewa,Chini ya Uongozi wa huyu mama tusitegemee makubwa kwenye maendeleo ya nchi ila tutegemee rushwa na ubadhilifu wa Mali za Umma wa kutisha, Sijawai kumuona Samia akikemea rushwa hata siku moja
Aliwaruhusu kula kulingana na urefu wa kamba, Amefanya nichukie sana uongozi wa mwanamke!!!
 
Magu alikuwa anakwapua pesa za matajiri bank na ukiuliza unapewa kesi ya uhujumu uchumi…!!

Utawala wake nao ulikuwa mbovu na hii kunyanyasa upinzani na kutuwekea bunge kijani tupu aliharibu..!!
 
GT
Wazungu wanamsemo wao unasema " Scratch my back I Scratch yours " hii kwa kiswahili inaitwa nipe nikupe.

Hicho ndo maCCM wanafanya dhidi ya matajiri. Je watakuja kulipa nini. Wakikwepa kodi or whatever watawafanyaje?

Wafanyabiashara wa kiafrika wanamakandokando mengi sana ukiwachekea utavuna mabua.

View attachment 3440703
Toka 2010 CCM waliamua kuachana na ufadhili wa matajiri kutokana na masimango,inadaiwa bashe alimsimanga ridhwan kuwa mfadhili wa bashe ndiyo wa JK
Hii gala ni kama tone tone tu
 
Magu alikuwa anakwapua pesa za matajiri bank na ukiuliza unapewa kesi ya uhujumu uchumi…!!

Utawala wake nao ulikuwa mbovu na hii kunyanyasa upinzani na kutuwekea bunge kijani tupu aliharibu..!!
Bora Bunge kijani tupu kuliko Bunge la Upinzani feki. Vyama kupewa Ubunge kwa maridhiano.
 
Bora Bunge kijani tupu kuliko Bunge la Upinzani feki. Vyama kupewa Ubunge kwa maridhiano.
Nini? 😳
Lile bunge lililopita wewe umeliona lina weledi kabisa?
Bunge kibogoyo wanapitisha miswaada ya kudidimiza taifa?
 
GT
Wazungu wanamsemo wao unasema " Scratch my back I Scratch yours " hii kwa kiswahili inaitwa nipe nikupe.

Hicho ndo maCCM wanafanya dhidi ya matajiri. Je watakuja kulipa nini. Wakikwepa kodi or whatever watawafanyaje?

Wafanyabiashara wa kiafrika wanamakandokando mengi sana ukiwachekea utavuna mabua.

View attachment 3440703
Mfano Nyalandu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom