Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,402
Kamanda aliyejinasibu kufanya hivyo si mwingine bali ni Salum Mwalimu katibu mkuu wa chauuma.. Akijisifia kubomoa ngome zote za CHADEMA(hapa alijisahau kidogo)
Kwa majigambo mengi kuhusu chopa.. Alisema ana connection na ana miundombinu ya kupata chopa imara na thabiti kwa hiyo kazi.. Maana huko alikokuwa alifanya sana kazi
Ikaja chopa nyekundu nduu..baada ya excuse kibao kuhusu kuchelewa kufika..(kumbe ilikuwa kwa fundi maiko😂) ikapiga kazi siku saba kasoro.. IKATAGA! tena yai viza
Hapo ilipitagia ikashikwa na ugonjwa wa matende.. Ikashindwa kuruka hata futi moja.. Ikashikwa na kifaduro
Ikashikwa na TB
Ikashikwa na tetekuwanga
Ikashikwa na mafua ya ndege
Za ndaani kabisa zinasema.. Kumbe chopa ilikuwa na upungufu wa kinga kwenye mashine
Kwa mara ya kwanza tukashuhudia chopa likiwa juu ya fuso.. Self created brake down
Sijui nani aliingizwa cha city..! Mfadhili au dalali wa chopa?
Kwa majigambo mengi kuhusu chopa.. Alisema ana connection na ana miundombinu ya kupata chopa imara na thabiti kwa hiyo kazi.. Maana huko alikokuwa alifanya sana kazi
Ikaja chopa nyekundu nduu..baada ya excuse kibao kuhusu kuchelewa kufika..(kumbe ilikuwa kwa fundi maiko😂) ikapiga kazi siku saba kasoro.. IKATAGA! tena yai viza
Hapo ilipitagia ikashikwa na ugonjwa wa matende.. Ikashindwa kuruka hata futi moja.. Ikashikwa na kifaduro
Ikashikwa na TB
Ikashikwa na tetekuwanga
Ikashikwa na mafua ya ndege
Za ndaani kabisa zinasema.. Kumbe chopa ilikuwa na upungufu wa kinga kwenye mashine
Kwa mara ya kwanza tukashuhudia chopa likiwa juu ya fuso.. Self created brake down
Sijui nani aliingizwa cha city..! Mfadhili au dalali wa chopa?