Y are all real numbers hahahaha wazembe walikuwa hawafanyi calculation,ikifika hapo wanasema Y are all real numbersWe ulikuwa unajua kuandika domain na range all real numbers
Nishamuelewa bana

Mkifika kwenye projectile and circular motion mnitag
Daa we umenikumbusha mbali sana sana, hio siku nimechelewa darasan ile naingia tu nikaambiwa niandk io mambo nilisahau baada ya kuandka HAH nikaandka HHA nilikula bao mpk nikanesa nikapata wenge nikiwaangalia wanafunz wenzangu naona kama malaika wanapaa paa mpk mwl akanionea huruma tena,
Walimu Mungu anawaona

Lala na hii:aisee!mm sikua haba sana kwa hesabu!
hahahaha
hakuna brackets mkuu kuna alama ile ya kipeuo cha piliKuna bracket somewhere
je kma nilikua hilo swali nalirukaUsiniangushe madame, hata kwenye mtihani ungejibu hivyo...![]()
![]()
![]()
![]()
hahaha usicheke sana
halafu unasema hiii hiiii hiiiiSijawahi kusikitika kwa kupata sifuri hesabu, mambo ya sin, cos, tan mwalimu ata afundishe vipi sielewi, huwa namuangaliaa
halafu nacheka tu
![]()
at X- intercept, Y=0,Hebu mmoja wenu anifanyie hili swali
Tafuta slope ya x intercept na y intercept ya hii equation
f(x) = 5x + 4 ?
Hilo halitoki,Lala na hii:
Let Z=zα(μ+1) and f=Znμ+1, n≠0
Find Θα,μ
Hizi formula na zingine nilikariri nikiwa Shule ya msingi kuna mtu alikuwa amezichapisha hafu anaziuzaEneo la Duara lenye nusu kipenyo =πr²
Eneo la Trapeza = ½(a+b)h
Mzingo wa mchemraba = 6h
Eneo la piramidi = πr²h
Sasa hivi una ya solve kwa msaada wa 🍻🍻Ila nashangaa kipindi ile nilikua nayaona magumu, sahv yanaibuka tu,