Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
tan thita😉SoToCaH
Sijui nimepatia wale wataalam wa sin cos n tan
tan thita😉SoToCaH
Sijui nimepatia wale wataalam wa sin cos n tan
Hahaha ilikuwa hatariUmenikumbusha "Different of Two Squares" a² - b ²
v/s
"Square of Two Differents" (a - b) ²
Ndio ivyo ivyo sijuitan thita😉
hapo pai uneambiwa utumie ipi 22/7 au 3.14
Sio siri silisasa si siri tena!asante sana mkuu
Kuna Quadratic Equation,Hahaha ilikuwa hatari
Eneo la Duara lenye nusu kipenyo =πr²Nusu x kitako x kimo = eneo la ∆
πr square h= volume
Ndio, nataka baba wa wanangu awe kipanga wa mathematics ili wanangu nao wawe vipangaUnamtaka mwana mathematics mkuu

Umenikumbusha mbali sana, ilisaidia sana hii kanuni kwenye mambo hayoSoToCaH
Sijui nimepatia wale wataalam wa sin cos n tan
Confessor nimekubali jina lako, saluteKama una pepa kesho usisahau 4figure,.
Oh yeah😉Confessor nimekubali jina lako, salute
Uliposema four figer umenikumbusha mbali kinyama .Kama una pepa kesho usisahau 4figure,.