nimerekebisha kauli nimeondoa tu la maji imebaki pipVote haviwezi kuwa sawa... jibu swali umerekebisha au umetengua kauli?
Hivi si ulinambia ulisoma HKL?
Kwanini umerekebisha kauli? Kauli inarekebishwaje??nimerekebisha kauli nimeondoa tu la maji imebaki pip
Wapi nilikwambia babu
pipa wewe bwanaPip au pipa mkuu?
hahahhahaha mwaga tu hata siogopi mimiKwanini umerekebisha kauli? Kauli inarekebishwaje??
Umeshasahau uliponambia? Nimwage mchele kwenye kuku?
Hujajibu swali ujue... Kauli inarekebishwaje??hahahhahaha mwaga tu hata siogopi mimi
Babu sikuelewi ujue
Haya si majina ya nduguze rais wa urusi kweli?Nakumbuka kwamba
a2 + b2 umaamisha a^2 + b^2.
Kama formula haiwezi kurahishiswa zaid tunaiandika hivi (a + b)^2 - 2ab au (a - b)^2 + 2ab. ... ni kama ukiulizwa formula ya a2+b2
pia nakumbuka remote sensing formula nilikuwa hatari najikubali
Remote Sensing (hapa ni kwetu wasomi, wa zamani bila scientific calculators, shule ilikuwa tamu)
Kuna fomula na equation mbili
1 - Rrs equation ya Mobley, (1999) ni
Rrs(λ) = Lu(λ) - ρLsky(λ) / Ed(λ)
2 - hii fomula ya Rrs iko katika vitabu vya Dorji vya. (2016 na 2017) ambayo ni
Rrs(λ) = Lu(λ) x ρLsky(λ) / Ed(λ)
yaan nakumbuka watu walivyowahiangaya kwa alama hizi Lu(λ) na ρLsky(λ) walijiuliza hivi zinajumlishwa au zinazidishwa? hii ni kwa sababu.kwenye chapisho la Mobley la 1999 hii ρLsky(λ)hutolewa (-) kutoka Lu(λ), kama inavyoonekana Rrs(λ)= [Lu(λ) - ρLsky(λ) / Ed(λ)]
Fomula baba hizoHaya si majina ya nduguze rais wa urusi kweli?
Hujajibu swali ujue... Kauli inarekebishwaje??
Utanielewa tu, usiwe na haraka sana...
Hapo sasa unazidi kunichanganya... "Umetwengua" au umetengua kauli?Hahahaha babu nimetwengua kauli basi jamani
nimecheka had watu wamenishangaa, nimetengua babu jamaniHapo sasa unazidi kunichanganya... "Umetwengua" au umetengua kauli?
Hapo sasa nimekuelewa... sina tena swali kwenye hilo...nimecheka had watu wamenishangaa, nimetengua babu jamani
najuta mimi hahahhahahahhaa nilokua naoHapo sasa nimekuelewa... sina tena swali kwenye hilo...
Hao watu waliokushangaa ni kina nani?
Twende kazi.uwiiiii...


