Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

mm ninachojua amri kuu ni upendo....mpende jirani yako kama unavyojipenda ww na wala usimteke.......NEIGHBORHOOD PRINCIPLE.....Neighbor principle is a principle of English law which says that a person should take reasonable care to avoid acts or omissions that s/he can reasonably foresee as likely to cause injury to the neighbor. Lord Atkin....

Upendo Kwa Mungu :Ukimpenda Mungu utashika amri 4 za kwanza.(Amri kuu ya upendo)

20 Mungu akanena maneno haya yote akasema,2Mimi ni BWANA Mungu wako niliyekutoa katika nchi ya misri,katika nyumba ya utumwa.
3Usiwe na miungu mingine Ila mimi.
4Usijifanyie sanamu ya kuchonga,wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni,wala kilicho chini duniani,wala kilicho majini chini ya dunia.
5Usivisujudie wala kuvitumikia;kwa kuwa Mimi,BWANA,Mungu wako,ni Mungu mwenye wivu;nawapatiliza wana maovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao,na kuzishika amri zangu
7Usilitaje bure jina la BWANA,
Mungu wako,maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajae jina lake bure.
8Ikumbuke siku ya sabato uitakase

Ukimpenda mwanadamu mwenzio :utashika amri sita zinazofuata ,maana zote zinadhihirisha upendo kwa mwanadamu.-utapenda baba na mama,hautaua,hautaiba,hautazini,hautasema uongo na hautatamani vitu vya jirani yako

12Waheshimu baba yako na mama yako;siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA,Mungu wako.

13Usiue
14Usizini
15Usiibe
16Usimshuhudie jirani yako uongo
17Usitamani nyumba ya jirani yako,usimtamani mke wa jirani yako;wala mtumwa wake,wala mjakazi wake,wala ng'ombe wake,wala punda wake,wala chochote alicho nacho jirani yako.
Wakakatolic wamegawanya amri ya kumi ya kutamani zikawa 2 na kufuta ya pili
 
Kwahiyo zenu zinatofautiana na za katoliki? Wewe ni KKKT?

Bas nitakuhoji kwahizo amri za KKKT
Nikisema umepaniki unabisha. Mbona tangu mwanzo nilishasema mimi ni dhehebu gani.

Hiyo ni amri au ni maelezo ya amri ya kwanza? Wakati napata kipaimara (Lutheran) tulitakiwa kukariri huo mstari wa Kutoka na hayo yalikua ni maelezo. Ingetambulika kama amri siyo ingefanya amri kua 11?
 
Heheee mimi sipo humu kufatilia madhehebu ya watu

Kama ni KKKT bas hauna tofaut na RC,
Tofauti ipo kubwa sana. Haitakufaa kitu kuongea usichokijua, kama ungekua RC au KKKT ungejua tofauti iliyopo, you are neither, ndiyo maana haujui.
 
1.Ndimi bwana Mungu wako usiamudu miungu mingine
2.Shika kitakatifu siku ya Bwana
3.Usilitaje bure jina la Mungu wako
4.Waheshimu baba na mama upate kheri na miaka mingi duniani
5. usiue
6. usizini
7. usiibe
8. usiseme uongo
9. Usimtamani mwanamke asie mke wako
10. Usitamani mali ya mtu mwingine.
Hizi amri zimekaa vizuri kabisa sawa na biblia takatifu, sema wasabato ni watu waliojaa lawama, kujiona wao ndio wako sawa, wanaoabudu ktk kweli, watu wa majungu, maneno, masengenyo (hata wao kwa wao) na kuhukumu. Ni vyema wakatoa boriti ktk macho yao ndipo waone boriti ktk macho ya wengine.
 
Tofauti ipo kubwa sana. Haitakufaa kitu kuongea usichokijua, kama ungekua RC au KKKT ungejua tofauti iliyopo, you are neither, ndiyo maana haujui.
Nawajua in and out,

Lutheran ni bint wa RC ,

Kumbuka Martin luther baada ya kugundua makosa 95 ndani ya RC aliondoka , lakin bado alikuwa bado anachunguza Maandiko,

Kwahiyo alipoishia ndipo mmegota nyie,maana bado alitoka na Mafundisho ndani ya RC,

Mfano...

Ibada ya jumapili

Ibada za wafu

Ibada ya jumapili

Xmas festival

Easter festival

N.k ni mengi sana kuyaeleza hapa...

Lakini Martin Luther alipoishia kuutafuta ukweli ndipo KKKT mmeishia hapo, Na cha kushangaza MMERUDI MLIPOTOKA KWA KUUNGANA MAFUNDISHO NA ROMA katika kukamilisha mchakato wa DINI MOJA .

FB_IMG_1540027431261.jpeg
 
1.Ndimi bwana Mungu wako usiamudu miungu mingine
2.Shika kitakatifu siku ya Bwana
3.Usilitaje bure jina la Mungu wako
4.Waheshimu baba na mama upate kheri na miaka mingi duniani
5. usiue
6. usizini
7. usiibe
8. usiseme uongo
9. Usimtamani mwanamke asie mke wako
10. Usitamani mali ya mtu mwingine.
Hizi amri zimekaa vizuri kabisa sawa na biblia takatifu, sema wasabato ni watu waliojaa lawama, kujiona wao ndio wako sawa, wanaoabudu ktk kweli, watu wa majungu, maneno, masengenyo (hata wao kwa wao) na kuhukumu. Ni vyema wakatoa boriti ktk macho yao ndipo waone boriti ktk macho ya wengine.
Zimekaa vzr si ili ziwafurahishe nyinyi mfanye yenu,

KWENYE BIBLIA KUNA HII AMRI

4Usijifanyie sanamu ya kuchonga,wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni,wala kilicho chini duniani,wala kilicho majini chini ya dunia.

NAOMBA UNIONESHE KWENYE HIZO ZAKO IKO WAPI
 
Nawajua in and out,

Lutheran ni bint wa RC ,

Kumbuka Martin luther baada ya kugundua makosa 95 ndani ya RC aliondoka , lakin bado alikuwa bado anachunguza Maandiko,

Kwahiyo alipoishia ndipo mmegota nyie,maana bado alitoka na Mafundisho ndani ya RC,

Mfano...

Ibada ya jumapili

Ibada za wafu

Ibada ya jumapili

Xmas festival

Easter festival

N.k ni mengi sana kuyaeleza hapa...

Lakini Martin Luther alipoishia kuutafuta ukweli ndipo KKKT mmeishia hapo, Na cha kushangaza MMERUDI MLIPOTOKA KWA KUUNGANA MAFUNDISHO NA ROMA katika kukamilisha mchakato wa DINI MOJA .

View attachment 904590
Hebu lete clip ya viongozi wa dini 400 wakitia saini ya amri ya dini moja.

Usumbue ubongo wako kidogo.

Baada ya amri ya dini moja. Uislamu utaenda wapi? Ukristo utaenda wapi? Uhindu utaenda wapi? Ushikito utaenda wapi? Ubudha utaenda wapi?

Halafu hiyo dini moja itaitwaje?
 
Hebu lete clip ya viongozi wa dini 400 wakitia saini ya amri ya dini moja.

Usumbue ubongo wako kidogo.

Baada ya amri ya dini moja. Uislamu utaenda wapi? Ukristo utaenda wapi? Uhindu utaenda wapi? Ushikito utaenda wapi? Ubudha utaenda wapi?

Halafu hiyo dini moja itaitwaje?
Yaani wewe hufai kujadili vitu kama hivi maana uwezo wako wa haya mambo bado sana,nikama nakuonea

Hujui swala la NEW WOLRD ORDER?

inaonesha hujui hata muungano wa makanisa DUNIANI? (EUCUMENISM)

Unauliza sahihi, kweli? Unadhan haya mambo yaliyotabiliwa uyaone kwa clip?

Hili ni jambo amabalo limetabiriwa na BIBLIA, sio lazima mpaka nione clip, taarifa tu kama hizi ninapoziona ,huwa najua what will happen

UNAULIZA UISLAMU, UBUDHA UTAENDA WAPI?

Ndio maana nasema uwezo wako wa haya maswala ni mdogo sana,

MAANA ungejua kuwa UISLAMU ulianzishwa na ROMA, ungejua kuwa Ubudha, ushinto, na dini zingine , ZINAUNGANA NA RC ktk moja ya mafundisho,

Unauliza ulokole utaenda wapi kweli?

HIVI HUJUI ULOKOLE NI KIJIKUU CHA ROMA?

kumbuka Roma anaitwa MAMA.WA MAKAHABA , ambaye ana mabint zake , Hao MABINT NDIO MAKANISA YALE MAKUBWA, achana na walokole ambao ni kama vilembwe tu, na wote HAO WANAFATA MAFUNDISHO KWA 90% KUTOKA ROMA

WEWE MLUTHER NIKIKUULIZA KWANINI

Unasherekea Xmass,easter HUNA MAJIBU ILA MROMA ANA MAJIBU MAANA NDIYE MWANZILISHI WA HIZO SIKUKUU

nikikuuliza wewe MLUTHER AU MLOKOLE KWANINI anasali Siku ya kwanza YA JUMA (JUMAPILI) badala siku ya 7(jumamosi) wewe huna majibu ,ILA ROMA WANA MAJIBU TENA YAPO CLEAR kwenye vitabu vyao ,
 
Yaani wewe hufai kujadili vitu kama hivi maana uwezo wako wa haya mambo bado sana,nikama nakuonea

Hujui swala la NEW WOLRD ORDER?

inaonesha hujui hata muungano wa makanisa DUNIANI? (EUCUMENISM)

Unauliza sahihi, kweli? Unadhan haya mambo yaliyotabiliwa uyaone kwa clip?

Hili ni jambo amabalo limetabiriwa na BIBLIA, sio lazima mpaka nione clip, taarifa tu kama hizi ninapoziona ,huwa najua what will happen

UNAULIZA UISLAMU, UBUDHA UTAENDA WAPI?

Ndio maana nasema uwezo wako wa haya maswala ni mdogo sana,

MAANA ungejua kuwa UISLAMU ulianzishwa na ROMA, ungejua kuwa Ubudha, ushinto, na dini zingine , ZINAUNGANA NA RC ktk moja ya mafundisho,

Unauliza ulokole utaenda wapi kweli?

HIVI HUJUI ULOKOLE NI KIJIKUU CHA ROMA?

kumbuka Roma anaitwa MAMA.WA MAKAHABA , ambaye ana mabint zake , Hao MABINT NDIO MAKANISA YALE MAKUBWA, achana na walokole ambao ni kama vilembwe tu, na wote HAO WANAFATA MAFUNDISHO KWA 90% KUTOKA ROMA

WEWE MLUTHER NIKIKUULIZA KWANINI

Unasherekea Xmass,easter HUNA MAJIBU ILA MROMA ANA MAJIBU MAANA NDIYE MWANZILISHI WA HIZO SIKUKUU

nikikuuliza wewe MLUTHER AU MLOKOLE KWANINI anasali Siku ya kwanza YA JUMA (JUMAPILI) badala siku ya 7(jumamosi) wewe huna majibu ,ILA ROMA WANA MAJIBU TENA YAPO CLEAR kwenye vitabu vyao ,
New World Order imeanza kusemwa muongo mmoja nyuma, haya sasa hivi ni marudio. Kila unachoongea, kipo kwenye historia.

Mimi sijibani kwenye dini pekee.

Kwahiyo gazeti la Nyakati lina kichwa kinasema viongozi 400 wamesaini amri ya dini moja ila wewe hutaki akili yako ijiulize kua mbona hakuna clip? Wala still pictures za tukio?

Wanachokisaini ni kibaya? Kama ni kibaya mbona wamekifanya kwa uwazi hadi gazeti limepata taarifa?

Uislamu na Ukristo zimetokea eneo moja nalo siyo Roma (Hiyo ni historia, tafuta ujue) zote zimetokea Mashariki ya Mbali (Nchi za Kiarabu) zimesambaa lakini huko zilipoenda zilikuta dini za watu tayari.

Kwahiyo kujibu kwamba eti Shikito, Budhism, Hinduism, Uislamu ni mabinti wa RC ni uongo, kama unajijua uko low kwenye History usijisumbue kunilisha uongo zaidi.
 
Mbona unakimbilia napaniki wakat mm nipo poa? Sijakuquote wewe, nimekosea nime quote wawili, sasa ndio kupaniki?
Kwenye hizo amri zenu ongezeni na ile Yesu alisema amri MPYA nawapa Pendaneni,
Nadhani sasa ubishi wa amri 10 utaisha maana siyo kumi tena,ni zaidi,
Na anaesema 17 ni zaidi sasa,
 
New World Order imeanza kusemwa muongo mmoja nyuma, haya sasa hivi ni marudio. Kila unachoongea, kipo kwenye historia.

Mimi sijibani kwenye dini pekee.

Kwahiyo gazeti la Nyakati lina kichwa kinasema viongozi 400 wamesaini amri ya dini moja ila wewe hutaki akili yako ijiulize kua mbona hakuna clip? Wala still pictures za tukio?

Wanachokisaini ni kibaya? Kama ni kibaya mbona wamekifanya kwa uwazi hadi gazeti limepata taarifa?

Uislamu na Ukristo zimetokea eneo moja nalo siyo Roma (Hiyo ni historia, tafuta ujue) zote zimetokea Mashariki ya Mbali (Nchi za Kiarabu) zimesambaa lakini huko zilipoenda zilikuta dini za watu tayari.

Kwahiyo kujibu kwamba eti Shikito, Budhism, Hinduism, Uislamu ni mabinti wa RC ni uongo, kama unajijua uko low kwenye History usijisumbue kunilisha uongo zaidi.
Kama umeweza kuamini Amri za mwanadamu ndio za Mungu,

Utaelewa nini tena?

Ikiwa hapo nimekuonjesha tu,

Hata huelewi chochote,
 
Kwenye hizo amri zenu ongezeni na ile Yesu alisema amri MPYA nawapa Pendaneni,
Nadhani sasa ubishi wa amri 10 utaisha maana siyo kumi tena,ni zaidi,
Na anaesema 17 ni zaidi sasa,
Wewe wahi kusujudia sanamu la maria
 
Hivi nyie ndugu zetu hamwezi kuleta hoja kwenye jamvi bila kutukana ? au huko mnakoabudu mmeaambiwa ili mpate wafuasi wapya ni lazima mlisemee vibaya Kanisa Katoliki ? mnataka kutuaminisha wote imani yenu ili tuhamie kwenye hicho kikundi chenu cha ujasiriadini? imenibidi nianze na haya maswali kwanza kwa kuwa kila thread mnayoanzisha ni kutukana Kanisa Katoliki pamoja na Uongozi wake. SILILIZA NIKWAMBIE ndugu yangu, kutumia nguvu nyingi kudhihaki imani za watu kwenye mitandao, ni ishara ya mtu mwenye kiwango hafifu zaidi cha uelewa. Kwa nini msiwe wastaarabu mkaendelea kumtumikia Mungu kwa imani hizo mnazozisadiki pasipo kuleta bughdha kwa watu wengine na kujiona ninyi ni watakatifu na ni watu ambao hamna hatia ? Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa ambayo ipo chini ya himaya ya UTATU MTAKATIFU WA MUNGU, haliwezi kuyumba, halikuwahi kuyumba na halitayumbushiwa na mtu au kikundi cha watu wenye nia ovu ya kulichafua Kanisa kama wewe. HAMTAWEZA. Lakini pia sio ustaarabu kabisa kudhihaki imani za watu. Nyie mnaojua zaidi si mtulie na imani yenu ? pili pili usiyoila yakuwashia nini ?

Baada ya kusema hayo, nirudi kwenye maada yako, na nikushauri njoo ktk Katoliki hata kwa Semina tu, tukufundishe neno la Mungu ili uache kuishi kwa kukariri wewe na watu wa aina yako. Sitaweza kuelezea hapa kwa kuwa ni maada ndefu. Ila milango iko wazi ndani ya Kanisa, njooni tuwapige neno, bila shaka mtaelewa. Wakati mwingine kuyaelewa maandiko Matakatifu, inahitaji nguvu ya Roho Mtakatifu. Kinyume na hapo mtaendelea kukariri. Wakati mkijipanga kuja kwenye semina zinazoandaliwa na Kanisa (mkitaka), endeleeni kwanza kupitia vifungu hivi vya Biblia ; Warumi 10: 4, Wagalatia 3: 23-25, Waefeso 2: 15.
Nawashauri pia kujaribu kuwa wastaaraba ba kuacha kushambulia imani za watu, hata Mungu hapendi. Mungu atubariki sote na amani itawale.

Jifunze wenzio wanachosema,ni bahati mbaya tu unaona kama kanisa la roma linashambuliwa. Watu wanajaribu kueleza vitu ambavyo vinafanywa tofauti na biblia inavyoagiza. Tunahitaji tu majibu ,usituagize tuje kweye semina. Weka semina yako hapa hapa watu wote tuone.
Semina yako ianze na haya mambo mawili. Kwanini jumapili na siyo jumamosi na Kwanini sanamu zinaabudiwa(usitudanganye kuwa zipo tu hamziabudu) .Nakuomba uanze na semina ya hayo mambo mawili. Tunatamani kuwa wakatoliki lakini hayo mambo yanatukwaza hivyo tunahitaji msaada.
 
Hahahhahaaa wewe jamaa bhana ,

HIYO YA SANAMU INASEMA MSICHONGE ....hilo neno mnaliacha na HALIPO KWENYE KATEKISIMU WHY?

KWANINI AMRI YA 10 INAGAWANYWA?

MAANA NI AYA MOJA TU , wakati amri ya kwanza mnaiunganisha na ya PILI japo hiyo ya pili hamuitaji kabisa?
Mfano ktk zama hizi ambazo kupata sanamu si lazima uchonge unaweza fyatua tu,hii kuchonga yako unayoikomalia itaaply?
 
Matusi? Hapana. Achana na kudanganywa kama unavyodai hapa.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Mbona mnazichonga sasa
 
Katekisimu,misale ya waumini na hivo vitabu vyote ,ukivyosema vya kipaimara vyote NI MAFUNDISHO YA WANADAMU KUWAPELEKA WATU MOTONI
Ni fundisho lipi Mungu alilileta duniani bila kumpitia mwanadamu,
Hii biblia unayoitumia mbona yenyewe pia ni kazi ya mkono wa binadamu kutunza maneno ya Mungu,
Hata helkena nae kaandika mengi mnayoyafuata hata ile kuwaambia mwisho wa dunia ni lini alinukuu ktk vitabu alivyoita neno la Mungu japo ni kazi ya mwanadamu,
 
Ni fundisho lipi Mungu alilileta duniani bila kumpitia mwanadamu,
Hii biblia unayoitumia mbona yenyewe pia ni kazi ya mkono wa binadamu kutunza maneno ya Mungu,
Hata helkena nae kaandika mengi mnayoyafuata hata ile kuwaambia mwisho wa dunia ni lini alinukuu ktk vitabu alivyoita neno la Mungu japo ni kazi ya mwanadamu,
Leta nukuu wap alisema hayo maneno
 
Wewe wahi kusujudia sanamu la maria
Ninashaka na kichwa chako,
Tizama nilichosema na ulichojibu,
Siyo kila jambo unalijibu kwa ugomvi,
Yamkini wakati unatungwa ilikuwa kwa hasira ndo maana ukazaliwa na sirika ya hasira
 
Back
Top Bottom