Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Kutoka 20

1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 Usiue.
14 Usizini.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Kumbe ziko 17
 
Hizi amri zinawahusu pia waislam na wasiokuwa upande wowote?
 
ila hiyo ya Shika kitakatifu siku ya Mungu. NI USANII WA KUEDITI BIBILIA sasa Ushike kipi? siku hiyo. sadaka.bibilia kitakatifu kipi halafu bibilia haijawahi andika hivyo
 
Naomba kuuliza jambo juu amri,
Baada ya kuwa mmebishanaaaa na kukashifianaaaa mkidhani mnamtumikia Mungu,
Naomba kuwauliza na mnijibu kiungwana,
Amri zilikuwepo na Yesu alizikuta,
1:kwa nini alisema Amri MPYA nawapa PENDANENI,(UPENDO)
sote tunajua mtu akisema nakupa kipya anataka kukuambia chazamani kiache kimepwaya,
Kwa yy kusema mpya NAWAPA wakati zipo walizopewa alikuwa anamaanisha nini kwetu,
2:sote tunajua ULEVI ni dhambi,
Kwa nini Mungu hakuiweka hiyo km amri maana tunasisitizwa kuzishika,kwa mujibu wa amri kumi inamaana ulevi si dhambi?,km dhambi kwa nini haikuwekwa,
3:amri kumi mpangilio wake unaanzia ya kwanza,
Kwa nini Yesu alipokuwa anamtamkia yule kijana tajiri aliruka ruka na hakuitaja kabisa ya kwanza mpaka ya tatu na akaruka tena na hakumalizia,na pia kwa nn yule kijana japo alisema anazishika lkn Yesu alionesha kutokamilika kwa yule tajiri japo ni mshika amri kikamilifu?,
3:kanisa katoliko ndo limetuzlia Biblia hizi tunazojidai tunazijua kuliko kanisa katoliki(anaekataa akatae lkn wanaojua watakaa kimya)sasa basi km walikuwa na nia ya kupotosha amri za Mungu na si kufanya summary km alivyofanya Yesu kwa Yule tajiri,kwa nini hawakuzipotosha kwenye Biblia wakati wanaikusanya na kuiandika vizuri na kuitafsiri ila waje kuzipotosha ktk vitabu vyao?

Ukitaka nijibu kwa jazba na ukitaka nijibu kwa hekima
 
Hata mkikaa kimya nitasubiri tu hadi mjibu,
Na nitakuwa nakumbushia mpaka muone kero
 
Naomba kuuliza jambo juu amri,
Baada ya kuwa mmebishanaaaa na kukashifianaaaa mkidhani mnamtumikia Mungu,
Naomba kuwauliza na mnijibu kiungwana,
Amri zilikuwepo na Yesu alizikuta,
1:kwa nini alisema Amri MPYA nawapa PENDANENI,(UPENDO)
sote tunajua mtu akisema nakupa kipya anataka kukuambia chazamani kiache kimepwaya,
Kwa yy kusema mpya NAWAPA wakati zipo walizopewa alikuwa anamaanisha nini kwetu,
2:sote tunajua ULEVI ni dhambi,
Kwa nini Mungu hakuiweka hiyo km amri maana tunasisitizwa kuzishika,kwa mujibu wa amri kumi inamaana ulevi si dhambi?,km dhambi kwa nini haikuwekwa,
3:amri kumi mpangilio wake unaanzia ya kwanza,
Kwa nini Yesu alipokuwa anamtamkia yule kijana tajiri aliruka ruka na hakuitaja kabisa ya kwanza mpaka ya tatu na akaruka tena na hakumalizia,na pia kwa nn yule kijana japo alisema anazishika lkn Yesu alionesha kutokamilika kwa yule tajiri japo ni mshika amri kikamilifu?,
3:kanisa katoliko ndo limetuzlia Biblia hizi tunazojidai tunazijua kuliko kanisa katoliki(anaekataa akatae lkn wanaojua watakaa kimya)sasa basi km walikuwa na nia ya kupotosha amri za Mungu na si kufanya summary km alivyofanya Yesu kwa Yule tajiri,kwa nini hawakuzipotosha kwenye Biblia wakati wanaikusanya na kuiandika vizuri na kuitafsiri ila waje kuzipotosha ktk vitabu vyao?

Ukitaka nijibu kwa jazba na ukitaka nijibu kwa hekima
Nakujibu moja moja ,kwanza Yesu hakutoa Amri Mpya,

Hebu tumsikilize mwenyewe hapa kuhusu AMRI KUMI

MBINGU ZITAPITA ILA MANENO HAYA HAYATAPITA KAMWE...........

“Msidhani [wengi mno leo wanadhani] ya kuwa nalikuja kuitangua torati [Sheria] au manabii;” akasema, “sikuja kutangua [kuifutilia mbali], bali kutimiliza [kuitekeleza]. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka [bado zipo], yodi moja [,] wala nukta moja [.] HAITAONDOKA hata yote yatimie [yaani, mpaka hapo mbingu na nchi
zitakapoondoka]. Basi [kwa hiyo] mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo [Yak.2:10-12], na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa [mnyonge hataingia – Ufu.21:27] katika ufalme wa mbinguni; bali mtu ATAKAYEZITENDA [Amri Kumi] NA KUZIFUNDISHA, huyo ataitwa mkubwa [mtawala/mfalme – Ufu.20:4; Dan. 7:27] katika ufalme wa mbinguni.” Mathayo 5:17-19.

HAYA ENDELEENI KUKUMBATIA AMRI ZA KWENYE KATEKISIMU
 
Naomba kuuliza jambo juu amri,
Baada ya kuwa mmebishanaaaa na kukashifianaaaa mkidhani mnamtumikia Mungu,
Naomba kuwauliza na mnijibu kiungwana,
Amri zilikuwepo na Yesu alizikuta,
1:kwa nini alisema Amri MPYA nawapa PENDANENI,(UPENDO)
sote tunajua mtu akisema nakupa kipya anataka kukuambia chazamani kiache kimepwaya,
Kwa yy kusema mpya NAWAPA wakati zipo walizopewa alikuwa anamaanisha nini kwetu,
2:sote tunajua ULEVI ni dhambi,
Kwa nini Mungu hakuiweka hiyo km amri maana tunasisitizwa kuzishika,kwa mujibu wa amri kumi inamaana ulevi si dhambi?,km dhambi kwa nini haikuwekwa,
3:amri kumi mpangilio wake unaanzia ya kwanza,
Kwa nini Yesu alipokuwa anamtamkia yule kijana tajiri aliruka ruka na hakuitaja kabisa ya kwanza mpaka ya tatu na akaruka tena na hakumalizia,na pia kwa nn yule kijana japo alisema anazishika lkn Yesu alionesha kutokamilika kwa yule tajiri japo ni mshika amri kikamilifu?,
3:kanisa katoliko ndo limetuzlia Biblia hizi tunazojidai tunazijua kuliko kanisa katoliki(anaekataa akatae lkn wanaojua watakaa kimya)sasa basi km walikuwa na nia ya kupotosha amri za Mungu na si kufanya summary km alivyofanya Yesu kwa Yule tajiri,kwa nini hawakuzipotosha kwenye Biblia wakati wanaikusanya na kuiandika vizuri na kuitafsiri ila waje kuzipotosha ktk vitabu vyao?

Ukitaka nijibu kwa jazba na ukitaka nijibu kwa hekima
Swali lako la pili mbona lakujifikiria tu,

Ukinywa pombe, unaharibi main, figo n.k hivo unajiua

Hapo unakuwa umevunja amri ya USIUE

AMRI KUMI NI KATIBA YA MUNGU NA NDIYO ATAITUMIA KUHUKUMU

Mungu atatumia AMRI ZAKE KUMI kuuhukumu ulimwengu huu Usemao AMRI KUMI hazina kazi

. "Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe UZISHIKE AMRI ZAKE, Maana kwa JUMLA ndiyo IMPASAYO [WAJIBU WAKE] MTU. Kwa maana Mungu ataleta HUKUMUNI kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya." "Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. Kwa maana yeye aliyesema,
Usizini, pia alisema, Usiue. Basi ijapokuwa hukuzini, lakini umeua, umekuwa mvunja sheria [mwenye dhambi]. Semeni ninyi na kutenda kama watu WATAKAOHUKUMIWA KWA SHERIA YA UHURU Mhubiri 12:13,14; Yakobo 2:10-12.

Yesu mwenyewe anasema kwamba ili uweze kuingia mbinguni inakupasa uzishike Amri Kumi za Mungu.

"Na tazama, mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu, NITENDE JAMBO GANI JEMA, ILI NIPATE UZIMA WA MILELE? Akamwambia Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini UKITAKA KUINGIA KATIKA UZIMA, ZISHIKE AMRI
." Mathayo 19:16,17.
 
Hizi ni Amri zilizochakachuliwa na kanisa la ROMA ,

Watu maelfu mmemezeshwa amri zilizochakachuliwa na kuwekwa kwenye katekisimo, Zile Amri kumi ORIGINAL alizopewa musa pale SINAI, zipo kwenye biblia hata hamtaki kuzifatilia ,mfananishe na hizo za PAPA
Kweli mkuu! Uchakachuz wa Amri za Mungu umefanywa na Roma na hata baadhi ya maandiko
 
Naomba kuuliza jambo juu amri,
Baada ya kuwa mmebishanaaaa na kukashifianaaaa mkidhani mnamtumikia Mungu,
Naomba kuwauliza na mnijibu kiungwana,
Amri zilikuwepo na Yesu alizikuta,
1:kwa nini alisema Amri MPYA nawapa PENDANENI,(UPENDO)
sote tunajua mtu akisema nakupa kipya anataka kukuambia chazamani kiache kimepwaya,
Kwa yy kusema mpya NAWAPA wakati zipo walizopewa alikuwa anamaanisha nini kwetu,
2:sote tunajua ULEVI ni dhambi,
Kwa nini Mungu hakuiweka hiyo km amri maana tunasisitizwa kuzishika,kwa mujibu wa amri kumi inamaana ulevi si dhambi?,km dhambi kwa nini haikuwekwa,
3:amri kumi mpangilio wake unaanzia ya kwanza,
Kwa nini Yesu alipokuwa anamtamkia yule kijana tajiri aliruka ruka na hakuitaja kabisa ya kwanza mpaka ya tatu na akaruka tena na hakumalizia,na pia kwa nn yule kijana japo alisema anazishika lkn Yesu alionesha kutokamilika kwa yule tajiri japo ni mshika amri kikamilifu?,
3:kanisa katoliko ndo limetuzlia Biblia hizi tunazojidai tunazijua kuliko kanisa katoliki(anaekataa akatae lkn wanaojua watakaa kimya)sasa basi km walikuwa na nia ya kupotosha amri za Mungu na si kufanya summary km alivyofanya Yesu kwa Yule tajiri,kwa nini hawakuzipotosha kwenye Biblia wakati wanaikusanya na kuiandika vizuri na kuitafsiri ila waje kuzipotosha ktk vitabu vyao?

Ukitaka nijibu kwa jazba na ukitaka nijibu kwa hekima
Swali la 3

Hili swali mbona hufikirii kabla ya kuja kuuliza?

Context pale Yesu sio kuorodhesha Amri kumi zote,

Kuanzia ya 1-10 ,

Mfano Baba yako awe na watoto kumi, mtu aulize unawajua watoto wa flani, sio lazima niwataje wote kumi, nikiwataja Wawili au watatu , Yule anayeulizwa atapata nafas ya kusema Nawajua NDIO

KUONESHA HIVO YESU MWENYEWE AMESEMA HIV KUHUSU HIZO AMRI KUMI

MBINGU ZITAPITA ILA MANENO HAYA HAYATAPITA KAMWE...........

“Msidhani [wengi mno leo wanadhani] ya kuwa nalikuja kuitangua torati [Sheria] au manabii;” akasema, “sikuja kutangua [kuifutilia mbali], bali kutimiliza [kuitekeleza]. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka [bado zipo], yodi moja [,] wala nukta moja [.] HAITAONDOKA hata yote yatimie [yaani, mpaka hapo mbingu na nchi
zitakapoondoka]. Basi [kwa hiyo] mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo [Yak.2:10-12], na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa [mnyonge hataingia – Ufu.21:27] katika ufalme wa mbinguni; bali mtu ATAKAYEZITENDA [Amri Kumi] NA KUZIFUNDISHA, huyo ataitwa mkubwa [mtawala/mfalme – Ufu.20:4; Dan. 7:27] katika ufalme wa mbinguni.” Mathayo 5:17-19.

ANASEMA HAITAONDOKA HATA YODI WALA NUKTA MOJA TU YA ZILE AMRI KUMI,

Anayesema hivo ni Yesu mwenyewe,

KWAHIYO NDUGU USIJIDANGANYE YESU ALIZIONDOA AMRI
 
Naomba kuuliza jambo juu amri,
Baada ya kuwa mmebishanaaaa na kukashifianaaaa mkidhani mnamtumikia Mungu,
Naomba kuwauliza na mnijibu kiungwana,
Amri zilikuwepo na Yesu alizikuta,
1:kwa nini alisema Amri MPYA nawapa PENDANENI,(UPENDO)
sote tunajua mtu akisema nakupa kipya anataka kukuambia chazamani kiache kimepwaya,
Kwa yy kusema mpya NAWAPA wakati zipo walizopewa alikuwa anamaanisha nini kwetu,
2:sote tunajua ULEVI ni dhambi,
Kwa nini Mungu hakuiweka hiyo km amri maana tunasisitizwa kuzishika,kwa mujibu wa amri kumi inamaana ulevi si dhambi?,km dhambi kwa nini haikuwekwa,
3:amri kumi mpangilio wake unaanzia ya kwanza,
Kwa nini Yesu alipokuwa anamtamkia yule kijana tajiri aliruka ruka na hakuitaja kabisa ya kwanza mpaka ya tatu na akaruka tena na hakumalizia,na pia kwa nn yule kijana japo alisema anazishika lkn Yesu alionesha kutokamilika kwa yule tajiri japo ni mshika amri kikamilifu?,
3:kanisa katoliko ndo limetuzlia Biblia hizi tunazojidai tunazijua kuliko kanisa katoliki(anaekataa akatae lkn wanaojua watakaa kimya)sasa basi km walikuwa na nia ya kupotosha amri za Mungu na si kufanya summary km alivyofanya Yesu kwa Yule tajiri,kwa nini hawakuzipotosha kwenye Biblia wakati wanaikusanya na kuiandika vizuri na kuitafsiri ila waje kuzipotosha ktk vitabu vyao?

Ukitaka nijibu kwa jazba na ukitaka nijibu kwa hekima
Swali lako.la mwisho, kwanza umedanganywa, biblia ya kwanza ni VULGATE , ilitafsiriwa na jopo la watu 70

Roma aliipokea kama wengine tu, KWANZA ELEWA NENO LA MUNGU LINALINDWA NA MUNGU MWENYEWE,

Roma hii unayoishabikia , Ilishaua maelfu ya watu waliokuwa wanailinda BIBLIA na walioitafsiri BIBLIA ili ikufikie wewe,

Nadhan hili hulijui na huwezi kuambiwa,

Tyndale aliuliwa na KANISA LA ROMA KWA KUTAFSIRI BIBLIA KWENDA LUGHA YA ENGLISH

MUNGU MWENYEWE ALISHAAHIDI ATALILINDA NENO LAKE DAIMA aliyasema hayo kupitia nabii Isaya miaka 700 kabla hata YESU hajazaliwa

Isaiah 40:7-8


7 The grass withers and the flowers fall,
because the breath of the
LORD blows on them.
Surely the people are grass.
The grass withers and the flowers fall,

8 but the word of our God endures forever.”

NIMEMALIZA
tapatalk_1540210261712.jpeg
 
Swali lako.la mwisho, kwanza umedanganywa, biblia ya kwanza ni VULGATE , ilitafsiriwa na jopo la watu 70

Roma aliipokea kama wengine tu, KWANZA ELEWA NENO LA MUNGU LINALINDWA NA MUNGU MWENYEWE,

Roma hii unayoishabikia , Ilishaua maelfu ya watu waliokuwa wanailinda BIBLIA na walioitafsiri BIBLIA ili ikufikie wewe,

Nadhan hili hulijui na huwezi kuambiwa,

Tyndale aliuliwa na KANISA LA ROMA KWA KUTAFSIRI BIBLIA KWENDA LUGHA YA ENGLISH

MUNGU MWENYEWE ALISHAAHIDI ATALILINDA NENO LAKE DAIMA aliyasema hayo kupitia nabii Isaya miaka 700 kabla hata YESU hajazaliwa

Isaiah 40:7-8


7 The grass withers and the flowers fall,
because the breath of the
LORD blows on them.
Surely the people are grass.
The grass withers and the flowers fall,

8 but the word of our God endures forever.”

NIMEMALIZAView attachment 907108
Hao watu unasema sabini walikuwa akna nani na je hawakuwa na imani Fulani?
Ulikuwepo ukatoliki na upagani na wasabato,
Mwenye akili huwa hakashifu akiulzwa,
Lkn pia akiulizwa maswali matatu huyajibu maswali yote,
 
Katafsiri au kaicompile
Kutafsiri hata wasukuma wapo walioitafsiri Biblia kuja lugha ya kisukuma,hawawezi sema walishiriki kuitengeneza,
Kutafsiri hata mm naweza tafsiri kwa kimambwe toka kiswahili,
Be wise
 
Back
Top Bottom