Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Tujikumbushe Amri kuu za Mungu

Una tatizo la kupaniki. Kuna swali hujalijibu mwisho.

Nimeonyesha encounter ya mimi na huo mstari ilipoanzia. Nimeeleza kwamba, kwa amri ya kwanza ilivyo hiyo ni maelezo ya ya kwanza.

Nimeuliza kama hiyo ikihesabiwa ni amri si zitakua 11? Kama zikiwa 11 mbona Musa mwenyewe alisema amri ni 10?
Kuambiwa UMEDANGANYWA NA KUDANGANYIKA NA UNATAKA KUDANGANYA

unasema napaniki?

Ok, ngoja niendelee kukufungua , ila tuwe wanyenyekevu, wala USITOKE NJE YA MADA , wala tusitoe lugha za matusi


AMRI KUMI ZA Mungu alizompa MUSA ZIPO KUMI, NA KANISA LA ROMA KWA KUSHIRIKIANA NA DOLA YA KIRUMI WALIZIBADILISHA hili lilisemwa na NABII DANIELI KUWA LITATOKEA (daniel 7:25)


Nakuleta kwenye hoja yako sasa ,kwanza yale sio maelezo NI AMRI KAMILI

TWENDE KWENYE BIBLE........

AMRI YA PILI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:4-6
Usijifanyie sanamu ya kuchonga,
wala mfano wa kitu cho chote
kilicho juu mbinguni, wala kilicho
chini duniani, wala kilicho majini
chini ya dunia.Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana,
Mungu wako, ni Mungu mwenye
wivu; nawapatiliza wana maovu ya
baba zao, hata kizazi cha tatu na
cha nne cha wanichukiao, nami
nawarehemu maelfu elfu
wanipendao, na kuzishika amri
zangu


AMRI YA PILI KATIKA KATEKISIMU

Inasema

"Usilitaje bure jina la Mungu wako"

UMEONA UTOFAUTI TENA MKUBWA?

haya njoo na hoja nyingine....
images-6.jpeg
 
Hebu jaribu kuelewa na mimi ninachoandika.

Kama amri ya kwanza inasema 'Usiabudu miungu wengine ila mimi' si inamaanisha hata hizo sanamu zimejumuishwa?

Au ikisemwa 'miungu wengine' inakua imemaanisha nini?

Nimetoka kukwambia kua tulitakiwa kukariri huo mstari ulioweka wote na swala la sanamu lipo treated kama maelezo ya amri ya kwanza. Yaani amri inasema 'Usiabudu miungu wengine ila mimi' maelezo ndiyo yanazungumzia kuchonga sanamu na kujifanyia miungu wengine.

Kama amri ya 10 iligawanywa ili ifidie kua kumi hauoni kua na wewe unaigawanya amri ya 1 na maelezo yake ili ziwe 10?
Mkuu hivi unasoma biblia kweli?

Nan kakwambia hayo ni maelezo?

Inaonesha huzijui AMRI ZA BIBLIA ALIZOTOA MUNGU,

na makatekista huwa wanawaambia hayo ni maelezo, ila UKWELI HIYO YA KUCHONGA SANAMU IMEONDOLEWA...


Kwanza tuanzie hapa AMRI ZA Mungu unazijua vzr?
 
Kuambiwa UMEDANGANYWA NA KUDANGANYIKA NA UNATAKA KUDANGANYA

unasema napaniki?

Ok, ngoja niendelee kukufungua , ila tuwe wanyenyekevu, wala USITOKE NJE YA MADA , wala tusitoe lugha za matusi


AMRI KUMI ZA Mungu alizompa MUSA ZIPO KUMI, NA KANISA LA ROMA KWA KUSHIRIKIANA NA DOLA YA KIRUMI WALIZIBADILISHA hili lilisemwa na NABII DANIELI KUWA LITATOKEA (daniel 7:25)


Nakuleta kwenye hoja yako sasa ,kwanza yale sio maelezo NI AMRI KAMILI

TWENDE KWENYE BIBLE........

AMRI YA PILI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:4-6
Usijifanyie sanamu ya kuchonga,
wala mfano wa kitu cho chote
kilicho juu mbinguni, wala kilicho
chini duniani, wala kilicho majini
chini ya dunia.Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana,
Mungu wako, ni Mungu mwenye
wivu; nawapatiliza wana maovu ya
baba zao, hata kizazi cha tatu na
cha nne cha wanichukiao, nami
nawarehemu maelfu elfu
wanipendao, na kuzishika amri
zangu


AMRI YA PILI KATIKA KATEKISIMU

Inasema

"Usilitaje bure jina la Mungu wako"

UMEONA UTOFAUTI TENA MKUBWA?

haya njoo na hoja nyingine....
View attachment 904507
Matusi? Hapana. Achana na kudanganywa kama unavyodai hapa.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
 
Mkuu hivi unasoma biblia kweli?

Nan kakwambia hayo ni maelezo?

Inaonesha huzijui AMRI ZA BIBLIA ALIZOTOA MUNGU,

na makatekista huwa wanawaambia hayo ni maelezo, ila UKWELI HIYO YA KUCHONGA SANAMU IMEONDOLEWA...


Kwanza tuanzie hapa AMRI ZA Mungu unazijua vzr?
Asante AROON, unazidi kunikosha, toka kule kwa the gooners hadi huku kwa amri za Mungu.
 
Mkuu hivi unasoma biblia kweli?

Nan kakwambia hayo ni maelezo?

Inaonesha huzijui AMRI ZA BIBLIA ALIZOTOA MUNGU,

na makatekista huwa wanawaambia hayo ni maelezo, ila UKWELI HIYO YA KUCHONGA SANAMU IMEONDOLEWA...


Kwanza tuanzie hapa AMRI ZA Mungu unazijua vzr?

Biblia sisomi.

Darasani tuliambiwa ni maelezo. Na akili yangu imeona hivyo.

Nazijua, tulitakiwa kuukariri huo mstari wote.

Hayo maelezo hayajaondolewa. La sivyo nisingeyajua.

Nazijua.
 
Matusi? Hapana. Achana na kudanganywa kama unavyodai hapa.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Kwanza mimi sigawanyi amri ,

Amri ya kwanza ipo inajitegemea inasema USIWE NA MIUNGU MINGINE

YA PILI INAKATAZA KUCHONGA SANAMU hii waroma waliifutilia mbali ili waweze kuchonga vzr,

Ili kufidia wakaigawanya ya 10 ili zikamilike

Inaonesha hutaki kudadisi na kusoma mwenyewe ,mimi nakuwekea AMRI ALIZOLETA MWANADAMU HIZI HAPA

1.Usiabudu miungu wengine.
2. Usiape bure kwa jina la Mungu wako.
3. Shika Kitakatifu Siku ya Mungu wako
4. Waheshimu Baba na Mama, upate miaka mingi na heri duniani.
5. Usiue
6. Usizini
7. Usiibe
8. Usiseme uongo
9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.

AMRI KUMI ZA MUNGU HIZI HAPA

Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 Usiue.
14 Usizini.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.


HAYA FANYA ANALYSIS NIMEKUTAFUNIA
 
Biblia sisomi.

Darasani tuliambiwa ni maelezo. Na akili yangu imeona hivyo.

Nazijua, tulitakiwa kuukariri huo mstari wote.

Hayo maelezo hayajaondolewa. La sivyo nisingeyajua.

Nazijua.
Basi elewa umedanganywa na uwe huru kusoma mwenyewe

Kuabudu miungu mingine na kuchonga sanamu vitu viwil tofauti
 
Matusi? Hapana. Achana na kudanganywa kama unavyodai hapa.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
USIWE NA MIUNGU MINGINE

NA USICHONGE SANAMU ....

WEWE umeambiwa ni sawa japo zote ni zambi?
 
Matusi? Hapana. Achana na kudanganywa kama unavyodai hapa.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Jibu haya maswali kwanza ili twende sawa.
USIWE NA MIUNGU MINGINE

NA USICHONGE SANAMU ....

WEWE umeambiwa ni sawa japo zote ni zambi?
 
Eti alimpa Abraham mlimani Sinai ! Amri unazo moyoni mwako , just natural law .
 
Jibu haya maswali kwanza ili twende sawa.
Mbona nimekujibu mara 3 bado huelewi au tayar umeshamezeshwa hizo.za katekisimu?

Nimekwambia hizo ni Amri mbil tofaut kabisa , YAKUCHONGA SANAMU iliondolewa ili watu wapate fursa ya KUCHONGA VITU KAMA HIVI
FB_IMG_1539890403869.jpeg
 
Mbona nimekujibu mara 3 bado huelewi au tayar umeshamezeshwa hizo.za katekisimu?

Nimekwambia hizo ni Amri mbil tofaut kabisa , YAKUCHONGA SANAMU iliondolewa ili watu wapate fursa ya KUCHONGA VITU KAMA HIVIView attachment 904525
Nachukulia hujanielewa ndiyo maana unaruka.

Nitaandika tena.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
 
Nachukulia hujanielewa ndiyo maana unaruka.

Nitaandika tena.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Aliyekwambia zinaongelea kitu kimoja nani ?

Usiwe na Miungu ni kitu kingine kabisa na logic YA KUCHONGA VINYAGO a.k.a SANAMU

MBONA IPO WAZI, na ukisema hivo uiache ya kuchonga sanamu, ndio ikawafanya wazigawe amri ya 10 ,ya usitaman ,Ziwe mbili tena zina LOGIC MOJA

LENGO NI KUIKWEPA YA KUCHONGA SANAMU NA ZITIMIE 10

Nadhan umeanza kuelewa
 
Aliyekwambia zinaongelea kitu kimoja nani ?

Usiwe na Miungu ni kitu kingine kabisa na logic YA KUCHONGA VINYAGO a.k.a SANAMU

MBONA IPO WAZI, na ukisema hivo uiache ya kuchonga sanamu, ndio ikawafanya wazigawe amri ya 10 ,ya usitaman ,Ziwe mbili tena zina LOGIC MOJA

LENGO NI KUIKWEPA YA KUCHONGA SANAMU NA ZITIMIE 10

Nadhan umeanza kuelewa
Dah ebwana itakua haunielewi hebu jibu swali zima. Mbona unaruka ruka sana kuna shida gani wewe kuongea mawazo yako na siyo uliyokaririshwa?

Nitaandika tena.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
 
Nachukulia hujanielewa ndiyo maana unaruka.

Nitaandika tena.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Ngoja NIENDELEE KUKUELEZA

AMRI YA USIABUDU MIUNGU MINGINE , haihusiani na KUCHONGA SANAMU zisome vizuri.

Unadai ulifindishwa KUCHONGA SANAMU NI MAELEZO YA KUTOKUWA NA MIUNGU MINGINE,

Nimekwambia ulidanganywa LENGO KUU ILIKUWA KUKWEPA HIYO AMRI ILI SANAMU ZICHONGWE BILA BUGHA

Umekimbilia zina logic sawa, ndio maana waliiacha

NAOMBA NIKUSWALIKE SWALI, HAO HAO WALIOIACHA AMRI YA KUCHONGA SANAMU, KWA KUWA INALOGIC SAWA NA YA KWANZA

WAMEEENDA KWENYE AMRI YA 10 WAKAIGAWA NA INA LOGIC YA usitamani

Unalizungumziaje ? Sio Double standard? Umegundua kuwa uliingizwa cha kike?

Angalia walivyozigawa

9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.
 
Hizi ni Amri zilizochakachuliwa na kanisa la ROMA ,

Watu maelfu mmemezeshwa amri zilizochakachuliwa na kuwekwa kwenye katekisimo, Zile Amri kumi ORIGINAL alizopewa musa pale SINAI, zipo kwenye biblia hata hamtaki kuzifatilia ,mfananishe na hizo za PAPA
Kawasomee wasabato wenzio.
 
Dah ebwana itakua haunielewi hebu jibu swali zima. Mbona unaruka ruka sana kuna shida gani wewe kuongea mawazo yako na siyo uliyokaririshwa?

Nitaandika tena.

Wewe binafsi logically unahisi inawezekana Amri ya 1 ikataze kuabudu miungu wengine halafu ya 2 ikataze kuchonga sanamu? Mbona zitakua zinaongelea kitu kimoja?

Nijibu na hili pia, kwako wewe miungu wengine siyo sanamu, wala mti au mlima? Kwako wewe miungu wengine ni nini?
Wewe unataka jibu gani?

Mbona nimekuelewa vzr, umedai.uliambiwa zina maana moja ndio maana imeachwa ni maelezo tu, nimekwambia umedanganywa

KUCHONGA SANAMU NI amri inayokataza DIRECT, ndio maana haipo kwenye KATEKISIMU ZENU
images-1.jpeg
 
Ngoja NIENDELEE KUKUELEZA

AMRI YA USIABUDU MIUNGU MINGINE , haihusiani na KUCHONGA SANAMU zisome vizuri.

Unadai ulifindishwa KUCHONGA SANAMU NI MAELEZO YA KUTOKUWA NA MIUNGU MINGINE,

Nimekwambia ulidanganywa LENGO KUU ILIKUWA KUKWEPA HIYO AMRI ILI SANAMU ZICHONGWE BILA BUGHA

Umekimbilia zina logic sawa, ndio maana waliiacha

NAOMBA NIKUSWALIKE SWALI, HAO HAO WALIOIACHA AMRI YA KUCHONGA SANAMU, KWA KUWA INALOGIC SAWA NA YA KWANZA

WAMEEENDA KWENYE AMRI YA 10 WAKAIGAWA NA INA LOGIC YA usitamani

Unalizungumziaje ? Sio Double standard? Umegundua kuwa uliingizwa cha kike?

Angalia walivyozigawa

9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.
Sawa sawa kabisa na kwa kadri unavyoweza kuchambua unaona 'Kutamani mke wa mtu mwingine' na 'Kutamani mali ya mtu mwingine' ni kitu kimoja?
 
Wewe unataka jibu gani?

Mbona nimekuelewa vzr, umedai.uliambiwa zina maana moja ndio maana imeachwa ni maelezo tu, nimekwambia umedanganywa

KUCHONGA SANAMU NI amri inayokataza DIRECT, ndio maana haipo kwenye KATEKISIMU ZENUView attachment 904536
Ngoja niandike kifupi.

Kwako wewe miungu wengine ni ipi?

Kwako wewe sanamu ni ipi?

Miungu wengine siyo sanamu?
 
Back
Top Bottom