popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
Haya jibu sasaKama hii?View attachment 904676
Haya jibu sasaKama hii?View attachment 904676
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi poteza muda wake kubishania masula yanayohusu imani kwenye mitandao. Huo ni ulimbukeni. Mimi siujui Ukatoliki kuna haja gani ya kushambulia imani yao ? Nyie ni wapumbavu, hamjitambui. Mungu awahurumie.Jifunze wenzio wanachosema,ni bahati mbaya tu unaona kama kanisa la roma linashambuliwa. Watu wanajaribu kueleza vitu ambavyo vinafanywa tofauti na biblia inavyoagiza. Tunahitaji tu majibu ,usituagize tuje kweye semina. Weka semina yako hapa hapa watu wote tuone.
Semina yako ianze na haya mambo mawili. Kwanini jumapili na siyo jumamosi na Kwanini sanamu zinaabudiwa(usitudanganye kuwa zipo tu hamziabudu) .Nakuomba uanze na semina ya hayo mambo mawili. Tunatamani kuwa wakatoliki lakini hayo mambo yanatukwaza hivyo tunahitaji msaada.
Me 7 na 8 ndo zimenishinda,mbaya zaidi zimerandana yaani najikuta ili niivunje ya 7 lazima ya nane ihusike and vice versa!Amri namba 6 na 9 hii najaribu kupambana nayo hata shetani anaona kabisa.
Mkuu AROON kama hizi hujazielewa waache wanaozielewa wajikumbushe nazo but pia wewe unaruhusiwa kuweka zile zako unazozijua ili wewe na wale mtakaozielewa mjifunze kwazo haina haja kuanzisha uzi ndani ya uzi wa mwenzako.Hizi ni Amri zilizochakachuliwa na kanisa la ROMA ,
Watu maelfu mmemezeshwa amri zilizochakachuliwa na kuwekwa kwenye katekisimo, Zile Amri kumi ORIGINAL alizopewa musa pale SINAI, zipo kwenye biblia hata hamtaki kuzifatilia ,mfananishe na hizo za PAPA
Kwa ufupi kabisa. Huna unachokijua kaka zaidi ya kukariri. Kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo pale msalabani, kilihitimisha rasmi matumizi ya agano la kale, nenda kasome biblia vizuri. Ndio maana niliwakaribisha kwa maswali au semina ndani ya Kanisa Katoliki tuwafundishe neno la Mungu, sio huku mitandaoni. Mmeng'ang'ana na vimistari vya kuotea vya agano la kale mnabaki mnasumbua watu ! Uzuri tumewazoea. Maana huko kwenu inaonekana mmefundishwa kutukana na Kanisa mnaloshambulia kwa nguvu zote ni Katoliki. Mmapoteza muda, kajaribuni mahali pengine !Mkuu wala sijapaniki ila hukubalian na hoja una kitu kichwan, hebu toka nje ya box tujadiliane, nimekupa had mfano,
Nimekwambia hiyo ni Amri na sio maelezo,
Amri zipo Kumi sio Kumi na moja
Walichofanya WAROMA, amri ya kuchonga SANAMU WAMEIONDOA KABISA
AMRI YA KUMI WAKAIGAWA MARA MBILI.ILI KUFIDIA ZIWE KUMI ,
Fananisha amri za Biblia na za katekisimu,
Amri nyingine walioibadilisha kabisa ni AMRI YA 4
Mbona simple tu na ipo wazi, angalia juu kule nimeziandika AMRI ZA MUNGU na ZA KATEKISIMU(ZA PAPA)
NIMEZIFANANISHA MOJA BAADA YA NYINGINE ,View attachment 904495
Nyinyi mnaojiita wasabato ndio mlitengeneza mpango wa kumuua Yesu leo mnajifanya mnamjua Mungu kuliko wengineamri kumi za Mungu mbona ni zaidi.? au hizi za kisabato au wafalagha.?
Itakua unakunywa balimiTitle ingesomeka "..., Amri kumi za Mungu"
Alafu USIZINI ni ya 6 au ya 7?
Mbona umezirudia zile zile mkuu?Kutoka 20
1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 Usiue.
14 Usizini.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Akili yako fupi kweli, unaona zinafanana hizo AMRI na hizo za katekisimu?Mbona umezirudia zile zile mkuu?
Muwe mnaelewa mnachojifunza nyie wasabato maana kuna mda mnakua kama memory card..yaan ata ikipewa kisichofaa inapokea tu.
Hujui biblia wewe, lenda andiko Yesu alikomesha NEW TESTAMENTKwa ufupi kabisa. Huna unachokijua kaka zaidi ya kukariri. Kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo pale msalabani, kilihitimisha rasmi matumizi ya agano la kale, nenda kasome biblia vizuri. Ndio maana niliwakaribisha kwa maswali au semina ndani ya Kanisa Katoliki tuwafundishe neno la Mungu, sio huku mitandaoni. Mmeng'ang'ana na vimistari vya kuotea vya agano la kale mnabaki mnasumbua watu ! Uzuri tumewazoea. Maana huko kwenu inaonekana mmefundishwa kutukana na Kanisa mnaloshambulia kwa nguvu zote ni Katoliki. Mmapoteza muda, kajaribuni mahali pengine !
Huku kwetu kuna watu wametokea kwenye hicho kisacoss chenu wakaja kwenye mafundisho, baada ya kulishwa neno la Mungu kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, wameamua kubaki ndani ya kanisa.
Hata hivyo, wewe ni mpumbavu kwa kuwa umejihesabia haki na kuona kama dhehebu lako ni Takatifu na litawafikisha peponi. Nani kakudanganya?
Ishu ni namba au ni ufupi maana naona maana ni moja tu except kwenye sabato kidogo wamechakuchuaHIVI KWANINI KANISA LA ROMA LIMEDANGANYA MAELFU YA WATU KIASI HIKI?
YAANI WATU TOKA WATOTO WANAMEZESHWA AMRI ZA KATEKISIMU , BADALA AMRI ZA MUNGU KUTOKA KTK BIBLIA
KATIKA KIPENGELE HIKI TUTATUMIA
USHAHIDI WA BIBLIA NA, KITABU
CHA KATEKISIMU NDOGO YA
KANISA KATOLIKI UK 56, ILI
KUTIBITISHA;
A. Amri kumi katika biblia KUTOKA
20:1-17 na Amri kumi katika
katekisimu ndogo ya kanisa katoliki;
I. AMRI YA KWANZA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:1-3
Mimi ni Bwana, Mungu wako,
niliyekutoa katika nchi ya Misri,
katika nyumba ya utumwa.Usiwe na
miungu mingine ila mimi
AMRI YA KWANZA KATIKA
KATEKISIMU
Ndimi Bwana Mungu wako,
usiabudu miungu wengine
II. AMRI YA PILI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:4-6
Usijifanyie sanamu ya kuchonga,
wala mfano wa kitu cho chote
kilicho juu mbinguni, wala kilicho
chini duniani, wala kilicho majini
chini ya dunia.Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana,
Mungu wako, ni Mungu mwenye
wivu; nawapatiliza wana maovu ya
baba zao, hata kizazi cha tatu na
cha nne cha wanichukiao, nami
nawarehemu maelfu elfu
wanipendao, na kuzishika amri
zangu
AMRI YA PILI KATIKA KATEKISIMU
Usilitaje bure jina la Mungu wako
III. AMRI YA TATU KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:7
Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu
wako, maana Bwana hatamhesabia
kuwa hana hatia mtu alitajaye jina
lake Bure
AMRI YA TATU KATIKA KATEKISIMU
Shika kitakatifu siku ya Mungu
IV. AMRI YA NNE KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:8-11
Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Siku sita fanya kazi, utende mambo
yako yote; lakini siku ya saba ni
Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku
hiyo usifanye kazi yo yote, wewe,
wala mwana wako, wala binti yako,
wala mtumwa wako, wala mjakazi
wako, wala mnyama wako wa
kufuga, wala mgeni aliye ndani ya
malango yako. Maana, kwa siku sita
Bwana alifanya mbingu, na nchi, na
bahari, na vyote vilivyomo,
akastarehe siku ya saba; kwa hiyo
Bwana akaibarikia siku ya Sabato
akaitakasa.
AMRI YA NNE KATIKA KATEKISIMU
Waheshimu Baba na Mama, upate
miaka mingi na heri Duniani
V. AMRI YA TANO KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:12
Waheshimu baba yako na mama
yako; siku zako zipate kuwa nyingi
katika nchi upewayo na Bwana,
Mungu wako.
AMRI YA TANO KATIKA KATEKISIMU-
Usiue
VI. AMRI YA SITA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:13
Usiue.
AMRI YA SITA KATIKA KATEKISIMU
Usizini
VII. AMRI YA SABA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:14
Usizini
AMRI YA SABA KATIKA KATEKISIMU-
Usiibe
VIII. AMRI YA NANE KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:15
Usiibe
AMRI YA NANE KATIKA KATEKISIMU
Usiseme uongo
IX. AMRI YA TISA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:16
Usimshuhudie jirani yako uongo
AMRI YA TISA KATIKA KATEKISIMU
Usitamani mwanamke asiye mke
wako
X. AMRI YA KUMI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:17
Usiitamani nyumba ya jirani yako,
usimtamani mke wa jirani yako; wala
mtumwa wake, wala mjakazi wake,
wala ng'ombe wake, wala punda
wake, wala cho chote alicho nacho
jirani yako
AMRI YA KUMI KATIKA KATEKISIMU
Usitamani mali ya mtu mwingine
View attachment 901465
Hatuna tendency ya kulumbana na watu waovu, ilinididi nikujibu sababu uzalendo ulinishinda. Ndio maana nikasema sio lazima utetee unachokiamini kwa kushambulia Kanisa Katoliki, na hapo nimediriki kukuita wewe ni mpumbavu. Hata kiingereza hukijui. Siku hizi new testament imekuwa agano la kale ? NARUDIA KUSEMA, nendeni mkasome maandiko vizuri, msikariri vifungu, na mkiishapata ukweli kwa mujibu wa tafsiri yenu, hakuna haja ya kudhihaki wengine wenye mitazamo tofauti na ya kwenu. Sijui hata unaabudu wapi. Sitaki kuamini kama huko unakoabudu mnamuhuburi Mungu huyu anayehubiriwa na watu wote au mnafundishwa matusi. Badilika Brother. You seem to be much know but i want to assure you, spiritually, you are empty minded ! Kanisa Katoliki ni kisima cha maarifa, na hutakaa ujue ni nini tunakifanya kwa kuwa akili yako imefungwa, na huko tayari kudadisi. Mtabaki kusema wanaabudu sanamu, mara ho wanasali jumapili n.k, ili mpate wafuasi wapya. Wapo waliokuja na matusi kama wewe na walipojua ukweli wamebaki kimya na wapo wanaendelea kumtukuza Mungu.Hujui biblia wewe, lenda andiko Yesu alikomesha NEW TESTAMENT
Niletee andiko,
Aksante sana mkuu kwa kutiririka. Kumbe amri za "Mungu" ni 17!!!?Kutoka 20
1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 Usiue.
14 Usizini.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Acha bla blaa nyingi,Hatuna tendency ya kulumbana na watu waovu, ilinididi nikujibu sababu uzalendo ulinishinda. Ndio maana nikasema sio lazima utetee unachokiamini kwa kushambulia Kanisa Katoliki, na hapo nimediriki kukuita wewe ni mpumbavu. Hata kiingereza hukijui. Siku hizi new testament imekuwa agano la kale ? NARUDIA KUSEMA, nendeni mkasome maandiko vizuri, msikariri vifungu, na mkiishapata ukweli kwa mujibu wa tafsiri yenu, hakuna haja ya kudhihaki wengine wenye mitazamo tofauti na ya kwenu. Sijui hata unaabudu wapi. Sitaki kuamini kama huko unakoabudu mnamuhuburi Mungu huyu anayehubiriwa na watu wote au mnafundishwa matusi. Badilika Brother. You seem to be much know but i want to assure you, spiritually, you are empty minded ! Kanisa Katoliki ni kisima cha maarifa, na hutakaa ujue ni nini tunakifanya kwa kuwa akili yako imefungwa, na huko tayari kudadisi. Mtabaki kusema wanaabudu sanamu, mara ho wanasali jumapili n.k, ili mpate wafuasi wapya. Wapo waliokuja na matusi kama wewe na walipojua ukweli wamebaki kimya na wapo wanaendelea kumtukuza Mungu.
Pointi yangu ni kwamba jaribuni kuwa wastaarabu, mnaudhi sana mnapotetea hoja zenu kwa njia ya matusi na tena mbaya wenu ni Kanisa Katoliki. none sense ! Mnakiuka hata sheria za Nchi. Ni kweli Serikali haina dini, lakini watu wa aina yako ndio mnaosababisha chuki katika jamii pasipo kujua kwa kuwa hamjui impact ya mnachokifanya.
Baaada ya kusema hayo, nimefunga rasmi mjadala na wewe. Ikiwa u uchi halafu kichaa akachukua nguo zako na kuanza kukimbia nazo, ukianza kumfukuza kichaa ili akurudishie nguo, wapita njia watadhani wote nyie ni vichaa. Nakutakia tafakuri njema !
Hazipo 17 ,1-17 hizo ni AyaAksante sana mkuu kwa kutiririka. Kumbe amri za "Mungu" ni 17!!!?
Lakini mkuu napata shida kidogo kama kweli Musa alikuwa akiongea na Mungu wakati akipewa amri hizo. Kulingana na nukuu yako hapo juu amri hizi za 5, 7, 10, 11 na 12 zinanichanganya, ni kama vile Musa alikuwa akipewa amri hizo na mtu mwengine!
Sio kwenye sabato tu, amri ya kukataza KUCHONGA SANAMU UMEIONA HAPO?Ishu ni namba au ni ufupi maana naona maana ni moja tu except kwenye sabato kidogo wamechakuchua