Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kasome post za mwanzoni zipi hizo sema sass
Kasome post za mwanzoni zipi hizo sema sass
Umepaniki ndiyo maana umequote wawili. Mtu Ukipaniki uangalifu na focus inapungua ndiyo maana umeniquote na kurespond kitu ambacho sijaongea halafu unashindwa kuelewa maswali.Mbona unakimbilia napaniki wakat mm nipo poa? Sijakuquote wewe, nimekosea nime quote wawili, sasa ndio kupaniki?
Hahahhahaaa wewe jamaa bhana ,Elewa.
Miungu wengine ni amri, maswala ya sanamu ni maelezo ya kucompliment 'Miungu wengine'
Ya kumi 'Usitamani mali ya mtu mwingine''
Hahaha mimi sifanyishi mitego hapa.Unajibiwa ila hutaki kukubali kwakuwa una majibu ya katekista
NAKUULIZA SASA WEWE ILI NIKUBALIANE,
KWAKUWA UNADAI AMRI YA USIABUDU MIUNGU NA KUCHONGA SANAMU NI amri moja (,ila hamsemi why NENO KUCHONGA SANAMU HAMLIWEKI)
TUKIHESABU ZITAKUWA 9,
YA KUMI IPO WAPI?
nataka nikufunge na mtego wako mwenyewe
Kutoka : 20 : 4 - Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.1.Usiabudu miungu wengine.
2. Usiape bure kwa jina la Mungu wako.
3. Shika Kitakatifu Siku ya Mungu wako
4. Waheshimu Baba na Mama, upate miaka mingi na heri duniani.
5. Usiue
6. Usizini
7. Usiibe
8. Usiseme uongo
9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.
Acha nicheke, tu ....mimi mijadala kama.hii sijawahi na siwez kupaniki,Umepaniki ndiyo maana umequote wawili. Mtu Ukipaniki uangalifu na focus inapungua ndiyo maana umeniquote na kurespond kitu ambacho sijaongea halafu unashindwa kuelewa maswali.
Umepaniki.
NIMEKUJIBU, UMEGOMA KWAKUWA UNA MAJIBU YA KATEKISTA,Hahaha mimi sifanyishi mitego hapa.![]()
Kwahiyo ulikua haujibu unaogopa kujifunga?
Hapana kitabu chetu hakiitwi Katekisimu.Hahahhahaaa wewe jamaa bhana ,
HIYO YA SANAMU INASEMA MSICHONGE ....hilo neno mnaliacha na HALIPO KWENYE KATEKISIMU WHY?
KWANINI AMRI YA 10 INAGAWANYWA?
MAANA NI AYA MOJA TU , wakati amri ya kwanza mnaiunganisha na ya PILI japo hiyo ya pili hamuitaji kabisa?
Si kila mstari ni amriAliyekwambia zipo 17 nan?
Katekisimu,misale ya waumini na hivo vitabu vyote ,ukivyosema vya kipaimara vyote NI MAFUNDISHO YA WANADAMU KUWAPELEKA WATU MOTONIHapana kitabu chetu hakiitwi Katekisimu.
Kuna mstari wa Kutoka uliouleta wewe halafu kuna kitabu cha kipaimara ndiyo kina hizo amri kumi zenye kufanana na alizoleta mleta uzi.
I know, ndio maana zipo 10 , japo ntmyingine zimenyofolewaSi kila mstari ni amri
Hapana hatuna hiyo shika kitakatifu. Kuna ikumbuke siku ya bwana na kuitakasa.NIMEKUJIBU, UMEGOMA KWAKUWA UNA MAJIBU YA KATEKISTA,
HAYA NIMEKUULIZA KWA HAYO HAYO MAJIBU YAKO,
NIJIBU BAS , HALAFU TUTAFIKA WHY MSEME shika kitakatifu....badala ya IKUMBUKE SIKU YA SABATO....
TUTAFIKA HAPO
Kama haujapaniki kwanini umeniquote na kunijibu kitu kisichonihusu?Acha nicheke, tu ....mimi mijadala kama.hii sijawahi na siwez kupaniki,
Wewe bhana ,tulia hapa , NIMEKUPA MAJIBU UMEGOMA , na mimi sitaki kukuacha mtupu, nina njia nying za kukusaidia ujijibu mwenyeweHapana hatuna hiyo shika kitakatifu. Kuna ikumbuke siku ya bwana na kuitakasa.
Kama hautaki kunijibu ukihofia kujifunga inamaanisha nisitarajie wewe kujibu nitakachouliza. Mimi nitakua sina la zaidi kama ni hivyo
Kwahiyo mtu akikosea kum quote mtu kapanik? Mbona una hoja dhaifu hivo?Kama haujapaniki kwanini umeniquote na kunijibu kitu kisichonihusu?
Kwahiyo zenu zinatofautiana na za katoliki? Wewe ni KKKT?Hapana hatuna hiyo shika kitakatifu. Kuna ikumbuke siku ya bwana na kuitakasa.
Kama hautaki kunijibu ukihofia kujifunga inamaanisha nisitarajie wewe kujibu nitakachouliza. Mimi nitakua sina la zaidi kama ni hivyo
Kabla hujafanya uasherati, Utaanza kutamaniUasherati haipo eeh