Mkuu wala sijapaniki ila hukubalian na hoja una kitu kichwan, hebu toka nje ya box tujadiliane, nimekupa had mfano,
Nimekwambia hiyo ni Amri na sio maelezo,
Amri zipo Kumi sio Kumi na moja
Walichofanya WAROMA, amri ya kuchonga SANAMU WAMEIONDOA KABISA
AMRI YA KUMI WAKAIGAWA MARA MBILI.ILI KUFIDIA ZIWE KUMI ,
Fananisha amri za Biblia na za katekisimu,
Amri nyingine walioibadilisha kabisa ni AMRI YA 4
Mbona simple tu na ipo wazi, angalia juu kule nimeziandika AMRI ZA MUNGU na ZA KATEKISIMU(ZA PAPA)
NIMEZIFANANISHA MOJA BAADA YA NYINGINE ,
View attachment 904495