Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,506
113,627
Wanabodi,
Nipashe Leo.png


Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
 

Attachments

  • 1699605484-Muswada_wa_Sheria_ya_Tume_ya_Uchaguzi_wa_Mwaka_2023.pdf
    382.5 KB · Views: 4
  • 1699606698-10.11.2023 MUSWADA WA SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI (1).pdf
    1 MB · Views: 3
Sasa kaka mkubwa umeanza kufanya propaganda. Ni nini kimebadilika kwenye hiyo miswada ya sheria mpya??

Nimeisoma, ni kichekesho. Rais anateua mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume kwa utaratibu uleule aa zamani.

Wajumbe wanateuliwa na rais baada ya kupendwkezwa na kamati inayoundwa na wateule aa rais.

Mkurugenzi wa uchaguzi anateuliwa na rais.

Uchaguzi ngazi ya jimbo unasimamiwa na wakurugenzi wa halmashauri / miji / majiji ambao sio tu wanateuliwa na rais bali ni makada wa chama cha rais.

Alafu tukiwa na akili zetu timamu tuseme eti kuna mabadiliko? Yapi hayo??

SSH ni mlaghai, anajaribu kulaghai wananchi na mataifa ya nje kuwa anafanya mageuzi lakini hakuna kinachofanyika.

Hii ni dhihaka kwa watanzania, ni afadhali hili angeliacha liwe kama lilovyokuwa tu.

Kuna mapendekezo yoyote ya ile kamati ya akina mukandara ambayo yamefanyiwa kazi?? SSH ni mtu wa ajabu kabisa, hana aibu.
 
Sa100 akisimamishwa 2025 hakuna mtanzania atakaye mchagua. Hivyo Basi policcm wataiba Kura nyingi Sana..Sanaa Hadi ulimwengu utashtuka na utawakana.
Kwavile ndo wanashikilia vyombo vya dola watalazimisha Sa100 atangazwe mshindi na hapo ndipo nchi itapoingia ktk machafuko.
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Mkuu Nakuunga mkono! Bandu bandu huisha gogo!
 
Sasa kaka mkubwa umeanza kufanya propaganda. Ni nini kimebadilika kwenye hiyo miswada ya sheria mpya??

Nimeisoma, ni kichekesho. Rais anateua mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume kwa utaratibu uleule aa zamani.

Wajumbe wanateuliwa na rais baada ya kupendwkezwa na kamati inayoundwa na wateule aa rais.

Mkurugenzi wa uchaguzi anateuliwa na rais.

Uchaguzi ngazi ya jimbo unasimamiwa na wakurugenzi wa halmashauri / miji / majiji ambao sio tu wanateuliwa na rais bali ni makada wa chama cha rais.

Alafu tukiwa na akili zetu timamu tuseme eti kuna mabadiliko? Yapi hayo??

SSH ni mlaghai, anajaribu kulaghai wananchi na mataifa ya nje kuwa anafanya mageuzi lakini hakuna kinachofanyika.

Hii ni dhihaka kwa watanzania, ni afadhali hili angeliacha liwe kama lilovyokuwa tu.

Kuna mapendekezo yoyote ya ile kamati ya akina mukandara ambayo yamefanyiwa kazi?? SSH ni mtu wa ajabu kabisa, hana aibu.
Mkuu jitokeze, itakuwa jambo la busara ukifanya press conferences, uainishe hayo mapungufu uliyoyaona kwa taifa/wananchi!
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Pascal Mayalla nisamehe. I dare to say that your post/thread portrays a stupid and slavery mentality.
Mtu kakupora shati lako, unamshukuru kuwa angalau amenipa mkono mmoja kesho atanipa mkono mwingine mpaka shati langu litakamilika! Stupid! alisema Samia
 
Kadri miaka inavyozidi kwenda mbele ndivyo ujinga wa mtu mweusi unajidhihirisha wazi pasi kuacha shaka,watu weupe ndio maana huwa ona kama monkey.

Kaburu Botha alisha sema muda mrefu sana kwamba "Mwafrika hawezi kujitawala"

"Kuna Karne itafika kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi nadhani Karne yenyewe ndo hii"Shaaban Robert

"Upumbavu ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu ,huwezi muelimisha mpumbavu akaacha upumbavu wake"Mwl.Nyerere.

Watanzania kwa sasa wapo katika kiwango cha upumbavu na sio ujinga,huwezi weka imani kwa vilaza na mazuzu kuleta mageuzi ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pasi kuacha sayansi na teknolijia.
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
We jamaa!

Acha kumpumbaza mama yetu coz aliambiwa"uchaguzi wa serikali za mitaa usubiri hadi katiba mpya"na wale jamaa!!

Yeye kacheza Dana Dana yaani kapapasa maagizo!!

Ngoja tuone sasa kitakachojiri!!
 
"Upumbavu ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu ,huwezi muelimisha mpumbavu akaacha upumbavu wake"Mwl.Nyerere.
With an exception of may be 0.000000000000000000000000000000001% ambao wanajitambua, waliobaki watanzania ni wapumbavu! Tukiwa na 0.1% ya welevu,nchi hii itakombolewa. Hiyo ni akina say Mbowe et al na wachache kama wewe hivi .
 
Binafsi sina cha kupongeza, wala kushukuru. Maana natambua fika watawala wa CCM ni wabinafsi waliopitiliza! Na kimsingi hawana nia yoyote ile njema na Taifa letu.
 
Wewe p mayala ni msengelema sana! Acha kuwa kiherehere wakisengerema!, Ukiamua kupongeza pongza wewe na familia yako. Huu wito ungewatafuta ndugu zako machawa wenzako, next time ukija na andiko la kisengelema hivi nakutafuta live nikuchape box zakutosha. Nimeamua kudeal na chawa Kama nyie live!.
 
Pascal Mayalla nisamehe. I dare to say that your post/thread portrays a stupid and slavery mentality.
Mtu kakupora shati lako, unamshukuru kuwa angalau amenipa mkono mmoja kesho atanipa mkono mwingine mpaka shati langu litakamilika! Stupid! alisema Samia

Mkuu Paskali anafahamu vizuri watanzania tulivyo, ana first hand experience ya unafiki wa wetu watanzania.

Paskali Mayalla aliposulubiwa na Kamati ya bunge tarehe 18.04.2018 kuhusu ukweli aliousema, kuna mtu hata moja alijitokeza kusimama naye?

Au hata kuonyesha hadharani kutokukubaliani na agizo la Ndugai kama ishara ya kumuunga mkono Mayalla?

Kuna watu wengi wamesulubiwa na serikali na hivi tunapoongea kina Mdude na mwabukusi si wameitisha maandamano kuhusu hiyo katiba, kuna aliyejitokeza kuwa unga mkono wakiwa wamezingirwa na polisi?

Kwa kulifahamu hilo ndio maana ndugu Paskali Mayalla anashauri bora kupokea kidogo kwa sababu wote humu ndani hatuthubutu Kudai haki yetu! Tupo mstari wa mbele kuwatanguliza wenzetu tu!

Duniani haki hudaiwa! Ukiogopa Kudai kulia mezani, ukipewa makombo usilalamikie!
 
Mkuu Paskali anafahamu vizuri watanzania tulivyo, ana first experience ya unafiki wa wetu watanzania.

Paskali Mayalla aliposulubiwa na Kamati ya bunge tarehe 18.04.2018 kuhusu ukweli aliousema, kuna mtu hata moja alijitokeza kusimama naye?

Au hata kuonyesha hadharani kutokukubaliani na agizo la ndugai kama ishara ya kumuunga mkono Mayalla?

Kuna watu wengi wamesulubiwa na serikali na hivi tunapoongea kina Mdude na mwabukusi si wameitisha maandamano kuhusu hiyo katiba, kuna aliyejitokeza kuwa unga mkono wakiwa wamezingirwa na polisi?

Kwa kulifahamu hilo ndio maana ndugu Paskali Mayalla anashauri bora kupokea kidogo kwa sababu wote humu ndani hatuthubutu Kudai haki yetu! Tupo mstari wa mbele kuwatanguliza wenzetu tu!

Duniani haki hudaiwa! Ukiogopa Kudai kulia mezani, ukipewa makombo usilalamikie!
Una hoja kubwa.
 
Back
Top Bottom